Habari wakuu,poleni kwa ukata,Na hongereni kwa sikukuu ya pasaka.
Wakuu mshahara wangu ni nusu kipenyo sasa nikaona nijiongeze kwa kulima bustani ya Nyanya.
Kwa wale wataalam Na wazoefu naomba...
Katika hotuba ya Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi leo 19/05/2017 bungeni kuhusu bajeti ya 2017/2018,amesema, "Hadi kufikia Machi 2017 jumla ya tani 3,162.65 za nyama ziliuzwa nje ya nchi katika...
Hi, mimi ni mtaalamu wa mifugo kwa wanyama mbalimbali kama mbwa, kuku, bata maji, bata bukini, Nguruwe, kondoo, mbuzi etc...kwa wakazi wa bagamoyo, bunju, boko, goba,mbezi, kimara......Gharama...
Wadau nimepata mchongo wa shamba maeneo ya Bagamoyo, kama unaingia eneo maarufu kwa jina la KIWANGWA.
Je,ni mazao gani yanafaa kulimwa katika eneo hili?
Mimi ni kijana wa miaka24 maisha yangu napenda sana kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji, nimefanikiwa kupata ardhi inayoniwezesha kufanya kilimo na mimi nimefikiria kupanda miti ya mbao na miembe ya...
Kuku wa mayai (layers) wekundu wakubwa wanauzwa.
Wanapatikana kimara Dar es salaam.Wanafaa kwa kuliwa.
Mawasiliano 0716927054
Wapo 70 na bei ya jumla ni 7,000@.
Karibuni.
Tanzania Educational Publishers ltd ni kampuni inayotoa Elimu na Ushauri mbalimbali kwa Wakulima na Wafugaji kwa njia ya vitabu. tunavyo vitabu vingi kama Ufugaji Bora wa kuku,Kuku wa kienyeji...
Habarini. Nimebahatika kupata eneo katikati ya jiji la Dar es salaam nimevutiwa sana na kilimo cha nyanya...maji yapo ya kutosha masaa 24 tatizo linalo nikabili ni udongo wa kichanga kama ule wa...
Wadau heshima KWENU,
Naomba mnifungue juu ya elimu ya vitunguu maji na hitaji kulima heka moja yenye ukubwa wa 70m@70m
Je! Niandae mbegu kiasi gani? Na elimu nyingine tafadhari nisaidieni...
Habari za mida hii?
Kama kichwa cha habar kinavojieleza.
Kabla ya kuomba ushauri wacha nitoe habar kamili.
Nilifanya uchunguzi mfupi na kugundua Mkoa wa Simiyu Wilaya ya Bariadi iko na wakulima...
Wakuu nahitaji patner au tulime matunda aina ya parachachichi au kupanda miti ya mbao pines
.
Eneo la kulima ni mkoani njombe
Binafsi ninamtaji kiasi na Ardhi kiasi cha eka 15 maalumu kwa kilimo...
Bila shaka mko vizuri,naomba kujua zao gani la msimu kwa sasa,na je msimu wa matikiti ni lini?nataka kuanza mara moja asanteni kwa msaada wenu shamba la kukodi nimepata huko Ruvu!!na je mboga...
Dear Sir,
We are , Şah Tarim foreign trade company , we are glad to share a brief company introduction with your esteemed company requesting your feedback on our products.
our company is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.