Wana JF, habari ni za siku nyingi. Mradi wetu Mifugo na KILIMO sasa unataka kujipanua hadi kufikia kilimomazingira. Tutajikita katika kilimo mazao, misitu, Nyuki, samaki na usindikaji wa mazao...
wadau ninatengeneza mkaa wa kisasa briquette kama sehemu ya ajira yangu tangu nimalize masomo. sasa changamoto kubwa ni kwenye masoko, hivyo naomba kwa yeyote anayeweza kunisaidia mahali...
Wakuu habari!,Mimi nataka nianze ujasiliamali wa ufugaji wa kuku jamii ya chotara nilichotaka kufahamu katika hawa chotara aina mbili kati ya kuroiler na wale wa Malawi ipi mbegu bora katika...
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu uthibitisho wa vyakula vya mifugo wanavyopewa wanyama yetu siku zote Bila Majibu. Ni Nani wanahusika Tfda au TBS.. mbona havijawahi kushikwa ambavyo ni substandard au...
Habari za kutwa ndugu zangu..
Mimi nikijana niliemaliza chuo na sina ajira, nmejichanga kwa muda sasa, nimepata million 3, sasa nataka kuingia kwenye kilimo ninaishi mkoa wa Mbeya.
Nmefanya...
Nimeamua kujikita kwenye ujasiriamali wa kilimo, hivi sasa nimeshalima mpunga kwa mara ya kwanza. Katika kujiandaa vzuri na kilimo nina lengo la kununua powertiller, Hivyo ninaomba msaada wa...
Tuamke tukaanze Kilimo wakuu hali ni mbaya siyo lazima wote mkaajiriwa. Mimi Roho huwa inaniuma Mtu anavyokuja na Kuandika thread nataka Sehemu ya Kujitolea bila Malipo hebu Imagine Sehemu hiyo...
Habari zenu wakuu, mimi ni kijana wa kiume ninaetaka kujikwamua kwenye janga la umaskini kupitia vimitaji vidogo lakini biashara ninayo ona itanifaa ni kuchukua matikiti bush kuyaleta town.
Kwa...
Wada mnajua yakua kuna vilimo vya mazao mengi sana sasa nina million I nataka nilime kati ya mwaka 2018 je mnaweza kunishauli kilimo gani ambacho ukilima huaga uakika yan kwamba akikupi hasara...
Wadau wa Kilimo nipo Kongowe - Kibaha natafuta mbegu ya kiroba nzuri ya kutosha heka tano yaani vipande/vipandikizi 20,000. Mashariti mbegu iwe imekomaa isipungue umri wa miezi 9 shambani.
Wakuu tokea masika tu kuisha mipapai yangu imekuwa na muonekano huu. Nilimtafuta kijana mmoja mlima bustani na kumuomba aliulizie wataalam wa mimea kama ni shambulio, jibu likawa ni ukungu. Sasa...
Naitaji wadau wenye nia ya dhati kufanya kilimo hiki kwa soko la nje na ndani tushare mambo....... Ni mzoefu na tafuta partner's wa kufanya hii project. Moshi 0763370175 watsup
Samahani wadau nasikia wiki 2 zilizopita Tz imeingia makubaliano na serikali ya China kuanzisha kiwanda kitakochokuwa kinaprocess muhogo,hapa nikiri kwamba sina details za kutosha but kwa upande...
Lango la kuungana na partner 2 ili tuwe 3 tuingie kwenye kilimo cha kisasa katika hiyo mikoa kati ya MOROGORO AU MBEYA ni kuunganisha nguvu ili tuandae shamba,tulime,na tusimamie wenyewe.
Karibuni PM
Habarini wakuu!
Nimekuwa nikitafuta tafuta vipesa kwa muda mrefu, ila nimebahatika kupata kama milioni 5. Napenda kuwekeza kwenye chakula hasa mahindi. Tatizo ninalopata ni kuwa nimepata vipesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.