Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Naona inarefuka tu ila hakuna maua
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Magonjwa ndicho chanzo kikubwa cha vifo vya Mifugo na umasikini wa Wafugaji. Maelfu ya mifugo hufa kila mwaka kutokana na magonjwa. Tanzania Educational Publishers inakuletea kitabu cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
anajamvi nahitaji shamba la kukodi lenye ukubwa wa heka 1 nianze kilimo cha tikiti maji. eneo liwe na maji na usafiri uwe unafika vizuri.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
If you have got a chance of reading this book, obvious you are aware with this man. In form two secondary school there is a book called MABALA THE FARMER. The main characters in this book were...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Hayo ndo mashamba ya vitunguu yaliyotayar
2 Reactions
8 Replies
2K Views
kwa mahitaji ya unga wa samaki kama chakula cha kuku na nguruwe 0762655938
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba anayejua jinsi ya kutengeneza tomato sorce na utaratibu wa kuanzisha kiwanda chake, gharama za uanzishaji. utengenezaji na uendeshaji, nyanya nitaanzisha shamba la greenhouse, aksanteni.
0 Reactions
14 Replies
11K Views
Habari ndugu wana JF Mimi ni mkulima,nimelima vitunguu na nilipandikiza tarehe 27 march,hivyo mwezi wa 7 mwanzoni nategemea kukivuna kitunguu changu (maji) Lengo la kuandika uzi huu ni kuwaomba...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Mh.Raisi JPM bado hujaifikia kero yangu,hakuna utendaji pasipo maagizo yako ya moja kwa moja kero yangu ni wafugaji kuingiza mifugo kwenye mashamba ya wakulima mkoani morogoro wilaya ya mvomero...
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Habarini wana JF? Mungu amewapa uhai wake tena siku ya leo, mbarikiwe sana. Samahani, Nilikuwa na pesa fulani hivi sasa nahitaji kuwekeza katika kilimo cha matikiti nifanyaje? Naweza pata...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari zenu wanajamii,naomba ushauri wenu mimi nina heka mbili ambazo zimepitiwa na maji ya jirani yangu aliyepitisha bomba la maji kati kati ya shamba langu na kufanya hekari moja kuwa chini na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WAFUGAJI NINAO KUKU PURE KIENYEJI WALIO TAYARI KUTAGA NA WAMEPATA CHANJO ZOTE MUHIMU NAPATIKANA MBEZI DSM BEI 15000 LETA ODA YAKO 0769841836
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nauza incubator laki 3 imetumika for 2 months only ni manual na haili umeme. Mayai mpk 70 au zaidi sababu haitumii trey
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Habari zenu waungwana Nina shida, natafuta nyoka aidha green snake au black snake. ninapoishi saizi kuna tatizo la panya na Mende wanasumbua sana. Hivyo nimeona njia sahihi ni kufuga nyoka ili...
0 Reactions
103 Replies
18K Views
Habari zenu wana JF. Naombeni msaada kutoka kwenu...nahitaji kufahamu kama arusha kuna market nzuri ya mapapai na pia mikoa mingine tanzania....nipo kwenye research stage kwa sasa Asanteni na...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello Gentlemen and ladies, Naomba msaada please., Nina kuku ina ya chotara wa Malawi na wa Israel wako 30 na wameshaanza kutaga ni week ya pili sasa .Na chakula cha layers nanunua mfuko elfu 50...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu.. Naomba kujua ni mbegu gani ya mahindi hapa nchini ambayo inaongoza kwa kuhimili ukame na ni yamuda mfupi?..
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakulima wadogo nchini Tanzania hivi karibuni wataweza kupata taarifa mbalimbali za kijiditali kuhusu masuala ya pembejeo, ukiwemo ushauri utakaosaidia kutatua matatizo yanayowakabili kama vile...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kuuliza kuna madhara gani ya kuwalaza kuku na bata kwenye banda moja???.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji kujua bei ya mtoto wa nguruwe alieacha kunyonya ni kiasi gani?? Nipo dar kigamboni
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Back
Top Bottom