Nasisi sasa tuikatae kwani inasababisha Kansa sasa Waziri husika akanyie kazi hili.
Below are 15 articles of the fight in Africa, Europe, Japan and Russia banning Monsanto Genetically Modified...
KWA TUNAO ZALISHA BIDHAA ZENYE MTAZAMO TOFAUTI KWA WALAJI JE TUNAFANYAJE?
Ni ukweli ulio wazi kabisa kuna basdhi ya product either Watanzania hatuna utamaduni wa kula au kuna upotoshaji.
1...
wote wa jukwaa la Ujasiriamali, nichukue fursa hii kuwatakia kila la heri katika sikukuu ya Mwaka mpya na sikuu ya Krismasi.
Katika safari ya Ujasirimali kuna Changamoto nyingi sana tena mno, na...
Nilipoeleza changamoto ninayoipata kuhusu ndege ambaye wadau mmeniambia anaitwa kipanga wengine mlinishauri kuwapaka Rangi kuku, Nimelifanya hilo zoezi na huu ni mrejesho 'feedback'
1. Juzi...
Wajasiriamali wenzangu,Assalaam Aleykum
Ningeomba kujua Sikukuu ya Nane Nane kitaifa itafanyika wapi?
Narajia kwenda kwa malengo yafuatayo:-
A)Kuona na kujifunza mbinu za kilimo na ufugaji kutoka...
Habari wajasiriamali.
Kifungu fish farm iliyopo Kigoma inawatangazieni kuwa inawauza vifaranga wa sato (oreochromis tanganyikae) kwa tsh. 300 kwa kifaranga. Tutawauzia vifaranga wakubwa (urefu...
jamani wataalm wa wanyama naombeni msaada
kuna stray cat ameinukia kwangu mdogo sana na kila nikimfukuza anarudi. nimeamua kumhudumia chakula kama paka wangu kabisa. kila siku maziwa samaki ni...
Naomba msaada kwa mwenye mawasiliano chuo cha mifugo Tengeru,nampago Mdogo wangu nimpeleke huko maana anapenda na amepata c-chemistry,c-biology,c-math,na c-geog amechaguliwa EGM Mwenge sekondari
Habari wakuu na wadau wa kilimo?
leo katika pita zangu mtandaoni,nikampitia millardayo...nimekuta akihojiana na wakuvanga mchekeshaji kutoka kundi la orijino komedi...ambaye ameamua kuingia katika...
Moja ya changamoto kubwa ya kuku wa asili ni vifo vitokanavyo na
magonjwa mbalimbali. Nilichogundua ni kuwa watu wengi hawawapatii
kuku dawa ipasavyo, wataalamu wa mifugo wamekuwa wakishauri...
Wakulima wenzangu naomba yeyote mwenye ufaham wa kiliimo cha karanga anijulishe ABC zake hasa ktk hali ya hewa zinapostawi sana, kiasi cha mvua zinazoitajika, udongo na hata magonjwa yanayozikumba...
CHANGAMOTO ZA UTENGENEZAJI WA CHAKULA CHA KUKU.
Gharama za ufugaji wa kuku zikiwa asilimia 100. basi 80 huwa ni chakula na 20 ndo mambo mengine kama dawa.
Watu wengi tumekuwa tukijaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.