Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Naam kikundi cha vifaranga groups kinapenda kutoa mafunzo ya utengenezaji incubator za aina zote , kwa teknolojia rahisi sana Hapa mafundi wakiunda incubator kwa njia rahisi Mashine hapo juu...
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Wanajamii forum napenda mnishauri kwani nataka nianze kulima kigamboni sina shamba nataka nikodi naomba kujua gharama za kukodi shamba Kuandaa , mazao yanayostawi nk naombeni mnisaidie
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ndugu zangu mim ni mhitimu Stashahada ya mambo ya uvuvi kutoka chuo cha uvuvi nyegezi Mwanza. Kama kuna mtu anamradi wa ufugaji Samaki au angependa kufuga Samaki anaweza kuwasiliana nami kwa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wana JF mimi ni kijana nimelima vitunguu ekari moja kwa unwagiliajibwa pump maeneo ya Ruaha Iringa nataraji kuvuna mwezi wa 7 naomba msaada wa masoko yenye tija. Natanguliza shukrani
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Nahitaji interlocking brick making machine ya kununua. Kwa yeyote anayefahamu zinapouzwa tafadhali nifahamishe.
0 Reactions
21 Replies
13K Views
Habar zenu wadau! Hope mnaendelea vzuri na miangaiko ya hapa na pale. Naulizia mashamba ya kukodi au kununua kwa mkoa wa Geita. Vigezo ni maji yawe krb either krb na mto au ziwa na liwe virgin af...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Zipo ekar 12 Bei ni million 12 Aina ya Miti ni pine Linauzwa pamoja na Ardhi Lipo ktk kijiji cha image tarafa ya Lupembe mkoan NJOMBE Kwa mahitaji piga 0764426929,0655726929 au 0742188846
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Zifutazo ni BAADHI tu ya fursa ambazo zinapatikana katika sekta ya mifugo na mnyororo wake wa thamani. Jipimie inayoweza kukufaa zaidi na uifanyie kazi katika kujitanua kibiashara na kujiongezea...
10 Reactions
12 Replies
10K Views
Hivi ng'ombe kuwa hivi ni nini? Nimejiuliza sana nikaona nitafute msaada.Pengine naona vibaya
3 Reactions
71 Replies
25K Views
Napenda kuuliza soko zuri la Tangawizi linapatikana wapi hapa nchini?
2 Reactions
23 Replies
15K Views
nimekaa na kufikiri sana kuhusu mazao yetu mengi tunayo lima ni ya msim mmoja tu, huvuni kwa mwendelezo, lakini nimesikia kuna nyanya zinaitwa tree tomato zinalimwa sana kenya na pia huku kwetu...
1 Reactions
11 Replies
12K Views
HIVI NI MAZAO GANI NAWEZA KUANZA NAYO KWA KILMO MWEZI WA NANE
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari watanzania wenzangu. naomba mwenyeuzowefu katika uzalishaji na biashara ya mhogo anisaidie, natamani kama utaweka cost analysis kuanzia shambani ikiwezekana hadi usindikaji na masoko ya...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini... jamani mwenye uelewa kuhusu bei ya chini zaidi ya gunia la mahindi au/na mpunga kwa mkoa wowote naomba anijulishe,ninataka fanya uhifadhi wa tani kadhaa kwa sasa,hivyo nikinunua mahala...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari watanzania wenzangu. naomba mwenyeuzowefu katika uzalishaji na biashara ya mhogo anisaidie, natamani kama utaweka cost analysis kuanzia shambani ikiwezekana hadi usindikaji na masoko ya...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Za kisasa zenye kugeuza mayai, temperature control, hazili umeme kabisa 60 watt, 42 Eggs kwa 400,000 96 eggs kwa 475,000 Ni pm kwa info
0 Reactions
4 Replies
817 Views
Wanajamvi kwema? Katika harakati zangu za kupambana na maisha nimejichanga changa sana mpaka nimepata vijisenti vya kununua shamba mkoani. Shamba nililonunua linahitaji usafi wa hali ya juu...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Kuna mtu ameshafanya forex business kutumua Toro atupe uzoefu wake? Mi nimejaribu trial mode yake naona kuna uwezekano wa kupata vidola vichache ukiwa makini. Swali ni kwamba ukishaweka hela yako...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
(A) JINSI YA KUTENGENEZA MCHWA KWA YA KUPATA PROTINI YA ZIADA fuata hatua zifuatazo 1:Changanya kinyesi kikavu cha ngo'mbe na majni makavu / Mabua ya mahindi/Maranda ya mbao 2:Mwagia maji...
6 Reactions
11 Replies
9K Views
PLAN: Fuga kuku watano kienyeji upate 200 kwa miezi sita MUUNGWANA BLOG / 19 hours ago  Hebu anza na kuku Watano (5) tu Majike wenye Rika/Umri mmoja (au wanaokaribiana). Watunze vizuri kwa...
11 Reactions
64 Replies
20K Views
Back
Top Bottom