Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Mimi ni mkulima wa mboga naisi wilaya ya Temeke Dar es salaam ninalima mboga mboga kwa wingi hasa mchicha katika mazingira mazuri masafi na kumwagilia maji masafi ya kisima pia situmii mbolea za...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wasalaam wakulima wenzangu...dar es salaam ni wapi kuna shughuli za kilimo cha umwagiliaji mtu anaweza kukodi shamba na kulima hapo?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habarini? Naombeni kuuliza, uzito wa debe moja la alizeti ni kiasi gani? Naombeni majibu kwa wazoefu Kazi njema!!
0 Reactions
12 Replies
8K Views
napenda kuuliza zile tractor za millin 20-35 ukitaka kuikopa ikiwa na tela lake panoja na PTO water pump itagarim sh ngapi kwd miaka mitatu? na je marejesho kwa mwez inaweza kuwa Tsh ngapi...
2 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari za humu ndani vijana wenzangu wa kitanzania. Tafadhali changamkieni fursa ya ufadhili kwenye miradi ya kilimo kutoka Ireland. Government of Ireland Africa Agri-food Development Program...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Kulikuwa na wimbi kubwa la matangazo na mauzo ya mayai ya ndege mdogo aina ya kware. Mayai yake yalisifiwa sana na kushawishi watu wengi kuyatumia. Wapo hata walioanza na kuimarika katika ufugaji...
9 Reactions
41 Replies
7K Views
Wakuu habari Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye malengo lukuki kuhusu kilimo na ufugaji hapa nchini, Nimeamua kujitosa kwenye kilimo na ufugaji hapa Arusha! Ninachokitafuta kutoka kwenu ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TAASISI YA PEACE ADVOCATES FOR AGREEABLE ENVIRONMENTAL SOCIETY TANZANIA Inawatangazia wananchi fursa ya mashamba ya kilimo biashara yanayoendeshwa kwa kilimo biashara na ufugaji wa kuku wa asili...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wanajamii, nnaomba kujua mbegu zifuatazo zinaweza kupatikana wapi na kwa gharama ipi. 1. Red lady F1 hybrid seed (1150 seeds) (pawpaw) 2. Yetu F1 hybrid seed (300grams) cucumber seed 3...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HIFADHI MAZAO BILA KUTIA DAWA Kwa ajili ya kulinda afya ya mlaji, tumia mifuko ya kisasa (helmetic) kuhifadhi mazao yako. Mifuko inaitwa PICS Na AgroZ. Ukubwa: kilo 100 Bei: 4000 Tutakutumia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nina mpango wa kukopa trekta au Mashine ya kuvunia mpunga lkn pesa zangu ni ml.30 Mashine zinauzwa ml.55@ 1 shida yangu nataka kujua mkoa gani naweza weka Mashine yangu au trekta langu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Lipo eka 10 Bei ni million 20 Miti Ina umri Wa miaka 7 Aina ya Miti ni pine Linauzwa pamoja na Ardhi Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929,0655726929 na 0742188846 Napatikana mkoani NJOMBE...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hellow naomben mwenye kujua biashara hi ya kuwa agent wa kuuza ticket za ndegen mwenye maujaunja ya jinsi ya kuanza, marketing techniques,na vigezo mpaka nipewe kuwa agent.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu Nina shamba la mpunga morogoro vijijini nategemea kuanza kuvuna wiki mbili zijazo. Kama kuna mtu ana combine harvester ipo mikoa ya karibu na Morogoro naomba tuwasiliane...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tanzania Educational Publishers (TEPU) ni kampuni inayotoa Elimu kwa Wakulima na Wafugaji kwa njia ya vitabu. Inakutangazia kitabu kipya cha Malisho ya Mifugo kwa Sh.10,000/= kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
PUNGUZO LA ASILIMIA 50 (50%): MAYAI BORA YA KWALE KWA SASA YANAPATIKANA KWA GHARAMA YA SH. 10,000/= TU KWA TREI YA MAYAI 30, WAHI OFFER HII SASA, WASILIANA NA WAKALA WETU KWALE BORA KWA SIMU...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
HIFADHI MAZAO BILA KUTIA DAWA Kwa ajili ya kulinda afya ya mlaji, tumia mifuko ya kisasa (helmetic) kuhifadhi mazao yako. Mifuko inaitwa PICS Na AgroZ. Ukubwa: kilo 100 Bei: 4000 Tutakutumia...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana Jf, nina kijibustani changu hapa nyumbani nimepanda mboga chache, sasa nimegundua ni zaidi ya mara mbili au tatu, kila nikimwaga mbegu za mchicha sisimizi wanashambulia mara tu mchicha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Pata habari na Elimu kuhusu Pembejeo za KILIMO.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
SOMA HABARI KWENYE HIZO ATTACHMENTS TUTAKUFIKIA POPOTE ULIPO KWA AJILI YA MAFUNZO YA UZALISHAJI WA H-FOODER
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom