JE UNAFUGA AU KULIMA KILE JAMII INACHO TAKA? AU KILE UNACHO PENDA WEWE BINAFISI?
Hili ndo kosa la kubwa mno ambali wafugaji wanafanya na hawajawahi tambua hilo.
Watu wengi tunafuga kile sisi...
Wana jamvi.
Kwa muda sasa nimekuwa nikiona picha au kusoma taarifa juu ya Viongozi hao tajwa, wakijihusisha ktk kilimo.
Nimeona picha za Jk Akiwa shambani kwake, akikagua mahindi yanayoonekana...
Kutokana na ushauri wa wadau wa jukwaa hili hasa upande wa kilimo, kumetolewa mawazo ya kuwa na data base ndogo ya taarifa muhimu za mazao,wanyama mbali mbali ambayo itakuwa hapa hapa jukwaani...
Kichwa cha Thread hapo juu chahusika.
MAJUKUMU: 1)Uwezo wa kusimamia shughuli za Ufugaji Nyuki kwa ujumla wake Kama vile;
i)Kuhamisha Malkia na Kundi la Nyuki kutoka kwenye...
Mh Kubota upo wapi ndugu. Wewe ni mtu muhimu sana kwenye jukwaa letu hasa kwa kutufunua akili na kutupa mbinu za ufugaji wa kuku wa kienyeji.
Naomba mods kama mna namna yeyote ya kumtress huyu...
Mbwa ni mnyama anayependa kula sana, kila akionacho kilichonona au chenye harufu nzuri basi hukitamani na hili hasa huwapa shida sana wafugaji wengi.
Dawa ya kulidhibiti hili ni kumlisha chakula...
Ndg; hakuna asiye tambua kua Kilimo ni Uti wa mgongo wa Taifa letu..iwe kilimo cha Umwagiliaji ama kile kilimo cha Msimu..zipo changamoto kadhaa ambazo humfanya mkulima kutofikia Malengo yake...
Habar wanajamvi. Kwa anaefaham kuhusu kilimo cha Kahawa na Majan ya Chai .... Maeneo ya kilimo na soko lake anifahamishe Jamani. Tusiwe wakimya tuelimishane jamani. Asante
Mbuzi wangu wameanza kutokwa na vitu kama madonda hvi mdomoni sasa nashindwa kuelewa niugonjwa gani naunaweza kutibika vipi mnisaidie jaman picha hii hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari ya Ujasiriamli ni ngumu sana na Ina murorongo wa mambo mengi sana, NA SAFARI HII NI NDEFU SANA NA KUNA BAADHI HUWACHUKUA HATA MIAKA 30 KUFIKIA MAFANIKIO TANGIA WAANZE SAFARI HII, WAPO...
naomba msaada jamani vifaranga vyangu vinakunja na kishusha koti baada ya wiki mbili na kufa.Nafanyaje au niwanyanganye mama yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku nikifahamu kuwa JF ndipo mahala sahihi kwa kupata ushauri, basi nawaomba wana bodi na wenye uelewa wa maswala ya ufugaji wanisaidie kwa hili:
Nimepanga kuanza ufugaji wa kuku, je:
Nifuge...
wanandugu naomba kuuliza, mbegu za sunflowers (alizeti) zinapatikana wapi na aina/variety gani ni bora na za kampuni gani. na bei ni kiasi gani?
nimeenda Farmers Center na Farmbase pale ilala...
Haya nasema njooni huku kusini tulime acheni kulaumu tu kila kukicha mara serikali hivi mara JPM vile,njooni majembe yapo for free na mashamba yapo free vile vile. Mmenielewe lakini?
Sent from...
Nimetembelea muduka ya kilimo ya kariakoo yanayouza honda water pump, kichwani mwangu nilikuwa najua kuna honda water pump feki ila nilishindwa kutofautisha?
Post sent using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.