Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Wakuu naomba kujua bei ya ya alizeti singida kondoa au babati imefika sh ngapi gunia ya debe 6 nahitaji gunia 100. Mashudu pia gunia 200 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
3K Views
naomba msaada kwa yeyeote mwenye uelewa, mimi nimepanda miti ya miashuki kuzunguka plot yangu lkn ukuaji wake haulizishi kabisa , sasa ni miaka minne lkn mti mkubwa una mita moja na nusu na...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu kwa mwenye ujuzi wa kutosha kuhusu kilimo hiki naomba kujuzwa. kuhusu mbegu kiasi gani kinahitajika kwa hekari , changamoto ya magonjwa na Wastani wa mavuno kwa hekari ni gunia ngapi za...
0 Reactions
8 Replies
17K Views
Msaada tafadhali wajemeni. Nina shamba mahala ambapo nataka kupanda miembe. Ushauri? Wapi nitapata miche ya miembe? Nipo Dar. ====== Zao la embe hustawi vizuri katika maeneo ya tambarare na...
9 Reactions
145 Replies
86K Views
Habari wana JF!! Kama kichwa cha habari kinavyosema, Kwenye hii posti nakaribisha maswali yoyote yanayohusu kilimo cha umwagiliaji!! Kama una swali kuhusu kilimo cha umwagiliaji usisite...
2 Reactions
39 Replies
10K Views
JISAJILI MAPEMA: MAFUNZO YA KILIMO BIASHARA CHA MBAAZI KUPITIA WHATSAPP Tanzania graduate Farmers Association www.graduatefarmers.co.tz kwa kushirikiana na Kampuni ya ushauri wa kitaalam ya...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanabodi, Kwanza naomba kukiri kuwa mimi sio mkulima, ila kilimo kinanihusu, kama kinavyomhusu kila Mtanzania. Wangapi wanatambua uwepo wa Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu nchini Tanzania...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Msaada tafadhali, naomba kufahamu bei ya ufuta huko mkoani Dar es Salaam, ili ikiwa iko vizuri tulete mizigo yetu.
0 Reactions
15 Replies
42K Views
Nataka nianze kulima uyoga. Kuna expert yoyote anielekeze? Regards Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
12 Replies
5K Views
VIJANA TURUDI VIJIJINI TUNUNUE ARDHI Na Eng AYUB MASSAU Habari ndugu watanzania popote mlipo katika kuijenga nchi yetu ya Tanzania na kuhakikisha tunafikia nchi ya uchumi wa kati kama dira ya...
17 Reactions
30 Replies
7K Views
Nimefurahishwa sana kuwaona baadhi ya wanawake wa kiislamu nao wakijihusisha na shughuli za ujasiriamali. Nimekutana leo na wanamama kadhaa, na baibui zao wakiwa wamebebea vitu kama vile nguo...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwa Ushauri kuhusu Kilimo Biashara WIGO Farming Production wapo Tayar kwaajili Yako.Kwa Ujumla Kuhusu GreenHouse Kufunga system za Umwagiliaji Maji shambani drip irrigation,Kuuza na Kununua Mazao...
0 Reactions
24 Replies
8K Views
ndugu zangu wakulima wenzangu habari za asubuhi?natumai mnaendelea vyema,nilikua naomba kujuzwa jinsi ya kusindika mahindi yaweze kukaa kwa muda mrefu bila kuharibika au kuliwa na...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu Natumani mu wazima na afya njema.mimi nina kuku chotara na kienyeji nlikuwa naomba msaada wa soko.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu kwema naomba kujulishwa bei ya shamba la kukodi singida nataka nilime alizeti nahitaji eka 3 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini humu.. Kwa ambao mshalima au wataalamu wa tikiti naomba ushauri huu ni ugonjwa gani na nini athari yake? Nlidhani itakua chawa lakini mmea wote nimekagua hamna chawa. Pia kuna manyunyu...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Kilimo Bora cha Nyanya; Maandalizi Ya Mbegu, Shamba Na Upandaji Wa Miche Utangulizi: • Nyanya ni zao la mboga ambalo hulimwa sehemu nyingi duniani kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na pia kama...
3 Reactions
2 Replies
12K Views
RAMANI YA UFUGAJI WA KUKU (POULTRY FARMING MAP) Hii ni Ramani ya kipekee kabisa itakayo kuongoza kufikia safari yako ya ufugaji wa kuku. Ramani hii imesheheni njia mbali mbali za wewe kupita ili...
2 Reactions
26 Replies
5K Views
Kwa watu waliofanya kazi na hawa jamaa watueleze wanafaida gan kwa mkulima Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari Wana JF, Baada ya kupigwa na ugumu wa maisha kila wazo naona lina bounce, Ningependa kufanya biashara ya Kununua TOYO ile three wheel ya kubeba mizigo masokoni afu mwisho wa siku nipate...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom