Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Niwatakie Jumapili njema, Kuna tatizo linanisumbua kutokana na kuku wangu wa kienyeji kutaga sehemu moja kwa pamoja (Kuku wawili hata watatu wanataga kwenye kiota kimoja). Nimejaribu kuweka viota...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Natumai mu wazima. Naulizia kwa mkoa wa Arusha ni maeneo gani naweza pata shamba la kuanzia ekari 30 kwa ajili ya kulima mahindi. Hata kama kuna anayejua na mkoa wa Manyara pia naomba anijuze...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Eneo zuri linalofaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugajia wa samaki lenye hekar 2.lipo mita 100 kutoka mto ruvu,mita chache kutoka mradi wa samaki wa ruvu fish,eneo lipo halmashaur ya mji kibaha...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani ngo'mbe wangu anashindwa kutembea. Alikuwa ameanguka wiki mbili nikampa chumvi na injection ya gluconate akaamuka. jana mchungaji akampeleka milishoni akakaa chini haamki ingawa anakula...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwanini VITUNGUU katika shamba lako vishambuliwe na UTITIRI NA CHAWA wakati dawa ipo? Tumia PROTRIN 60EC. Wasiliana nasi, Meru Agro Piga 0755 325 442 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
13K Views
Kwa wale ndugu zangu mnaotaka Mbolea ya kuweka mashambani ili kuwauwa wadudu waharibifu wa mazao yote, nakuyakuza mazo kuwa mengi na kupata faida ya ukulima wako Mbolea ninayo nzuri na yenye...
1 Reactions
48 Replies
15K Views
Wakuu mwenye taarifa za bei na mwenendo wa soko la mbaazi msimu huu naomba azimwage hapa.
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Habari wakuu! Kama ilivyo kwa zao la CHOROKO, zao la MBAAZI nalo limeleta kilio kwa wakulima wa mkoa wa Mtwara kwani hadi leo hii linanunuliwa Tsh 300/= kwa kilo moja ukizingatia gharama ya...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Thousands of tonnes of highly-toxic weed killer not authorized for use in the EU is being produced in Britain and exported to the developing world, it has been revealed. Paraquat, a pesticide that...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Indian Ocean fisherfolk come together
0 Reactions
0 Replies
435 Views
EFC ni taasisi ya fedha inayotoa mikopo kwa wajasiliamali na wafanysbiashara ndani ya mkoa wa dar es salaam kwa sasa. kwa wafanyabiashara wa ushonaji,duka,salon,bucha,viwanda vidogo...
2 Reactions
8 Replies
7K Views
Mwezi wa kumi kuazjia tarehe 2 hadi 8 kutakuwa na Maonyesho ya kimataifa ya kilimo ya Nairobi. Haya ndo maonyesho makubwa kabusa Africa mashariki na kati. Kwa watako taka kwenda. Tutaondoka...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Natafuta red finger millet kwa wingi.taja bei Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
5K Views
wadau kwema? yangu ni machache tu napenda kujua ntapata wapi mbegu nzuri zilizooteshwa tayari kwa hapa dar?
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mawele kwa wingi.taja bei Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
643 Views
Twamshukuru mungu tumeanza mwezi mtukufu kwa amani,mie ni mfanya biasha wa nguo za watoto na wakubwa naomba mtu anae weza nikopesha pesa bila riba,nashida ya milioni moja nitarudisha baada ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hamjambo WanaJamii Kero kubwa kwa mkulima hasa pale anapokua akihesabu 'vifaranga', ni wadudu wanaokula mazao yanapohifadhiwa. Swala hili limekera tangu binadamu wa kwanza kugundua kuhifadhi...
2 Reactions
22 Replies
6K Views
Wasalamu, Wana Biashara na uchumi,Nimekuwa na idea ya kutengeneza t_shits special kwa couples,niwe nadesign mwenyewe mtindo then nipeleke kiwandani wanitengenezee.Naombeni muongozo ni viwanda...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wataalamu wa kilimo naomba msaada, mahindi yameshambuliwa na wadudu. Wadudu hao hushambulia katikati ya jani tete linalo chipuka. Nitumie dawa gani ili ninusuru mahindi yangu na ya wengine maana...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
Je kupandisha nguruwe waliozaliwa tumbo moja (uzao 1 na wa mama huyo huyo) Kuna athari zozote kwa vitoto vitakavyozaliwa? Msaada kwa anayeelewa. #commred Chichimizi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom