Habari wakuu
Nahtaj nipande miti ya mbao yenye sofa ya kikua kwa mda mfupi na ujazo wa kutosha
Naomba wataalam munishauri ni aina gani ya miti ni nzury kibiashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam Wakuu.!
Ni kwamba kwa bajeti kuu ya serikali 2017-2018 tuliambiwa kuna punguzo la kodi kwa 18% kama sikosei katika pembejeo za kilimo (mbegu,mbolea n.k) lakini tunaenda msimu wa Kilimo...
Bei ya vifaranga vya kuku wa nyama mayai imepanda kutoka Tsh 1,300 hadi Tsh 2,200 baada ya Serikali kuzuia uagizaji kutoka nje
Kama unapenda kula nyama ya kuku au mayai, anza kujiandaa...
Kwenye uzalishaji wa mayai kuna ya kuku wa Kisasa na kuku wa Kienyeji.
Ila soko kubwa ni la mayai ya Kisasa.
Soko la mayai ya kienyeji ni kwa fammily consuption ila kwa biashara watu wanatumia...
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kilivyoeleza. Natafuta location ya ofisi za bodi ya korosho Dar, au kama kuna mtu yeyote mwenye mawasiliano na yeyote anayefanyia bodi ya korosho hata aliyeko...
Habari wakuu kama mnavyojua mambo ya ajira ni pata potea, nataka nianzishe kimradi changu cha kuku ila wa kienyeji, ss sina sehem ila kuna chumba cha nje kipo wazi..swali ni je kuku wa kienyeji...
Wanajamii,
Kama kuna mtu ana utaalam wowote wa ufugaji wa bata mzinga naomba tupeane elimu ili tuweze kufuga kisasa kwa ajili ya kutengeneza kipato.pia itakuwa vizuri tukipewa majibu ya maswali...
Habari wakuu,
Natarajia kuvuna matikiti Mungu akinijalia ndani ya wiki tatu baada ya changamoto kadhaa za kilimo hiki. Msimu uliopita nlimkabidhi mzigo mmoja wa madalali wa pale Buguruni sokoni...
Habari wana jamii
Mimi ni kijana nilie ajiriwa sekta binafsi na pia nimejiari pia katika ufugaji wa kuku wa kienyeji.
ijapokua sina uelewa na baadhi ya madawa ya kuku na magonjwa yao.
Wapo kuku...
Habar wanajamvi mimi ni mjasiliamali mdogo na pia nimeanza kulima mahindi ila nataka kujua kuhusu mbegu za mahindi hybrid kama unaweza kupanda misimu miwili mfulilizo yaani nimependa kwenye masika...
Wana Jamii,
Habarini ya mapumziko?
Naomba msaada wenu kupata maelekezo juu ya Biashara ya Chumvi.
Nataka kuwekeza kwenye usagaji na upakiaji wa chumvi ya baharini kwa matumizi ya binadamu na...
Habari wana kilimo.Nimekuwa nikisia habari ya kilimo kwa kutumia Technolojia ya Hydroponics ambayo mkulima haitaji kuwa na Ardhi ili aweze kulima, anachohitaji ni kuwa na hiyo system ya...
Eneo linalohitajika ni mita mbili (2), Kwa maana ya Urefu wa mita mbili (2) na Upana wa mita moja (1).
Huu ni ufugaji wenye tija kwa wale wafugaji wenye eneo dogo.
Kinakachofanyika katika hilo...
Wadau naomba msaada nataka kujua ukubwa wa banda (square mita) la kufugia kuku wa mayai na idadi ya kuku inayotakiwa... i.e kwa kuku wa mayai 300 kwa mfano, inatakiwa banda la ukubwa gani? Pia kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.