Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Jana nomba kujua ng'ombe wa maziwa anaweza kutoa Lita 20 kwa Siku?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habar wandugu, Naomba kuuliza je nikianza kuotesha kitinguu mwezi wa kumi na moja nitapata mazao vizur au nisubiri mwakan mwez march? Naomben ushaur ukanda wa Kilimanjaro same
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Red worm au minyoo wekundu wengi wetu tunaelewa ni kwa ajili ua kulishia kuku na samaki, Ila ina kazi.nyingine ambayo ndo kubwa zaidi, nayoni kuzalishia mbolea. Red worm huzalisha mbolea za aina...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Nimetengeneza uzi huu ili kusaidia kurahisisha Biashara kati ya Mkulima na Mnunuzi. Kwa yeyote mwenye mazao au anahitaji mazao Basi Ukumbi ni wako!!!!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanaweek nne niwakubwa na wenye afya Bei 70000 Wapo Dar es salaam boko msikitini Kwa mawasiliano +255625588676
0 Reactions
17 Replies
4K Views
kama kichwa kinavojieleza.naomba kwa wale wanaojua..wanijuze vilipo locatiion yake mikoa yote. nashukuru!
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Jamani ndugu, naomba kwa anayejua kuhusu biashara ya mahidi kuanzia mtaji wake hadi soko.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wana JF Imekuwa ngumu sana kufahamu fursa zilipo na wapi mtu anaweza akatokea, watadharau wale ambao wanasubiri kazi za kuajiriwa serikalini na secta binafsi, ila lazima tupate pa kuanzia. sasa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kuna kipindi humu jukwaani habari za Greenhouse zilitrend sana na kupelekea watu kuwa na matumaini makubwa kulingana na hesabu za mamilioni zilizokuwa zinapigwa! Hapa karibuni zimeibuka habari za...
5 Reactions
32 Replies
7K Views
Wakuu habari zenu,natafuta soko la pilipili mbuzi au kama kuna mnunuzi ani PM fastaa kabla ya kwenda mbali nimeona niwajulishe nyie kwnza,wana JF
1 Reactions
0 Replies
8K Views
Habari ndugu zangu wana JF, Mapema mwakani 2015 nataraj kuanza hio biashara ya uuzaji wa nyama, samaki & kuku kwenye mahotel na supermarkets mbalimbali, hivyo kama kuna mdau yeyote ambaye anafanya...
1 Reactions
17 Replies
11K Views
Hallo wakuu, naomba nitoe ya moyoni Ni hivi nimejenga Banda la kuku tayari na pesa yote imeishia huko nimebaki sina kitu. Wapi naweza pata mkopo wa kuku nikaweka bandani, ninahitaji kuweka kuku...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Nahitaji mizinga michache ya kisasa ya nyuki. Niko Dar, mwenye nayo ani PM Asanteni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada wa kufahamu mbegu mpya za mahindi zilizopitishwa na vizara ya kilimo, mifugo na uvuvi na zinatengenezwa na makampuni yapi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwemu wanaJF, Nimeamua kuingia kwenye kilimo cha mahindi ya kuchoma ila nimekutana na changamoto ya wadudu wanaoharibu majani ya mahindi. Naombeni msaada wa dawa gani nitumie. Picha ziko...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Hii ni njia sahihi ya kuotesha mahindi.
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Baada ya wateja wengi kutoka Dar kuongezeka, sasa tunawaletea huduma karibu. Mapema wiki ijayo Lorry lenye Ng'ombe wa mziwa litawasili Dar. Tunachokuomba ufanye wewe, ni kufika katika boma letu...
0 Reactions
27 Replies
10K Views
Ndugu wana jamii forum natafuta shamba la kukodisha kwa mwenye nalo anicheki kwa 0757425666
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada kwa mwenye proposal ya kilimo cha matikiti anisaidie, nataka nijilipue huko nna ka capital kangu hapa kama mil 2 NI PM Natanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakayeguswa na...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
habarini wanajukwaa poleni na kazi za kujenga uchumi wa familia zenu. Nahitaji kujua ni sehemu gani hapa nchini naweza kupata maembe kwa wingi na kwa bei nafuu nashukuru
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Back
Top Bottom