Mimi ni mhitimu wa elimu ya juu mwaka huu na katika tathmini yangu swala la kusubiria ajira inaweza kusababisha ndoto zangu zisitimie kwani napoteza muda kwani wakati mwingine najikuta nikitamani...
Wandugu poleni na majukumu ya kila siku,
Kilicho nisukuma kutumia dakika kadhaa kuandika hapa ni kuwa nahitaji mtu anae elewa mambo mengi kuhusu zao la alizeti, kwa mfano, linapo limwa kwa wingi...
Wakuu kuku wangu hawa wa asili nimewanunua muda mrefu kweli lakini hawatagi wana tetea tu muda wote lakini kutaga hawatagi sijajua tatizo ni nini naombeni ushauri wenu tafadhali.
Sent using...
Nina kanga mmoja tu jike, sasa nashangaa jogoo anataka kumpanda huyu
Kanga, Kama kafanikiwa sijaona maana nimechoka kusubiria.
Ninachouliza kwenu wadau, hivi ikitokea kuwa hivyo ni ndege aina...
wakuu niliotesha papai langu Mungu mkubwa limeota vizuri na limetoa matunda ya kutosha .sasa hivi sijui limepata majanga gani matunda yote yapo kama yamemwagiwa unga unga hiv,
naombeni ushauri...
Nina ndoto za kua mjasiriamali mkubwa, wazo kuu linalo nijia kichwani ni kuanza kua na eneo la kujitosheleza ambalo nitahitaji mtaji mdogo tu wa kuanzia ambao mpango wa kwanza niku uwekeza katika...
Wanajf habari zenu,nlikua naomba kujua mbadala wa hizi dawa na mbolea maana huku kwetu inaonekana kua adimu kupatikana:-
1.fama gadi
2.DAP
2.CAN
3.LINKON
Nalima matikiti maji mtwara(masasi)
Habar yenu wanajamvi mimi ni kijana mwenye elimu ya diploma. Nimemaliza shule ivi karibuni target yangu kubwa kuja kujiajili kwa cozi niliyosomemea kwaivo natafuta mtaji sasa jambo la msingi ni...
Wanajf habari zenu,nlikua naomba kujua mbadala wa hizi dawa na mbolea maana huku kwetu inaonekana kua adimu kupatikana:-
1.fama gadi
2.DAP
2.CAN
3.LINKON
Nalima matikiti maji mtwara(masasi)
Wasalaam ndugu zangu
poleni na majukumu ya kila siku,kama kichwa cha habari, kinavyojieleza,,i kitunuu maji
soko lipoje ndugu zanguni,kwa maelezo zaidi
0672302714
Ninajogoo ila kila akipanda jike huyapasua kwa (paga) zake kiasi ambacho huwapelejea kuku jike hadi kukimbia kwa maumivu ya vidonda nini kifanyike juu ya huyu jogoo?
Sent using Jamii Forums...
Habari JF
Nina shamba maeneo ya Kisarawe na ningependa kulitumia kwa kilimo cha pilipili mbuzi japokuwa sina uzoefu na kilimo hicho.
Ninaomba msaada wa kitaalamu kwa kwa wazoefu kuhusu mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.