Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Ndugu wana JF nani anaweza nisaidia mahali nitapata mashine ya kukamua ng'ombe na bei yake?
1 Reactions
13 Replies
10K Views
Poleni na pilika za ujenzi wa taifa,naomba kwa anayefahamu jinsi ya kuwafuga Bata bukini,nilinunua Bata wawili jike na dume toka mwaka Jana mwezi wa Tisa lakini chaajabu mpaka leo hawajaanza...
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Mambo vp wadau. Naomba mnifahamishe,nimejaribu kutafuta jibu kwa internet na kuuliza baadhi ya watu lakini sijapata jibu...swali langu NI SAWA KUCROSS KUROILER CHICKEN NA KUKU WA KIENYEJI,kwamba...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari zenu. Nimewahi kuuliza swali kuhusu mashamba ya kulima Ruvu,nikabahatika kupata maelezo,nikaenda na nimeanza. Lakini,uzi ulioniongoza nimeutafuta sijauona,ila nimetumia muongozo niliopewa...
16 Reactions
89 Replies
16K Views
Jamani habari humu jukwaani? Naulizia kuna tray niliziona mahali, ziko kama tray za mayai lakini zenyewe ni maalum kwa ajili ya kupandia mbegu za mboga mboga kama vile nyanya, hoho, vitunguu etc...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nahitaji vijana wenye nguvu na bidii,Kwa Kazi ya Kufyeka Pori /Mwitu Pwani tayari Kwa Kilimo.Kwa Uchache Vijana 10.Dodoma na Kigoma naambiwa ndiyo wapo.Mwenye Taarifa Taarifa tafadhali weka...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Wana jukwaa heshima kwenu niko dar nahitaji bomba zuri la dawa lisizidi lita 15. Mwenye uelewa tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
TUFANYE HAYA ZIARA ZA KUTEMBELEA MFUGAJI/MKULIMA Siku za hivi karibuni watu wamekuwa na mwamko wa kutembelea kujifunza kwa watu wengine.Kujifunza kilimo na pia ufugaji. Watu hutembelea kujifunza...
5 Reactions
3 Replies
1K Views
Guys igweeee, naomba kujua jinsi ya kupata greenhouse kwa ajili ya shamba la ekari moja. Ni greenhouse ngapi? Moja Lina cover ukubwa gani? Je ekari moja zitakiwa ngapi?je greenhouse package yake...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimeipata Mahali idea hii hivyo si vibaya nikashea na wengine kwa njia moja ama nyingine itawasaidia. Kutengeneza GreenHouse kwa Kutumia makopo ya maji na take away inakarimu muda na garama za...
3 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari mimi ni mgeni humu,ninaungana nanyi ktk kilimo,mm tayari nina eka 7 za matikiti katikati ya mwezi ujao nitaanza kuvuna eka 2 za mwanzo lakini huku ninakolimia kuna changamoto nyingi...
0 Reactions
3 Replies
626 Views
Habari zenu, wana JF ... Ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi humu ndani, ingawa nimekuwa mchangiaji mara chache kwenye nyuzi za wengine, hususan kwenye jukwaa la MMU. Kuna rafiki yangu mmoja...
0 Reactions
29 Replies
12K Views
Habarini za leo wanajukwaa.Mimi ni mkazi wa mwanza.Natafuta shamba wilaya ya misungwi.Mwenye taarifa yoyote nakmba aje PM. Post sent using JamiiForums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji mavazi ya kuvunia asali wap ntapata? Naomben mnijuze
0 Reactions
1 Replies
767 Views
Nahitaji kuanzisha kiwanda kidogo chakutengeneza chakula cha kuku bleed za kienyeji kuku chotala,malawi,nk……… ninamtaji wa milion 7 nilazima nijisajili (TBS) NIWE NA (KAMPUNY)? Je viloba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nipo Morogoro Dakawa, nauza hoho za kijani kwa bei nipigie 0658308754 au 0653441636 karibuni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu! Je naweza kuchimba kisima 1 na kufanya kilimo cha acre 100 kwa kilimo cha mahindi na maharagwe.
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Niliwahi sikia kuna njia ya kuzifanya mbegu zisiharibike zinapopandwa ardhini hata kama zisiponyeshewa na mvua kwa muda hata wa mwezi. Njia gani hizo?
0 Reactions
1 Replies
858 Views
Habari wa ndugu, Niko Dodoma nahitaji watoto wa nguruwe mbegu ndefu kwa mawasiliano unaweza kunichek kwa namba 0753697838
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom