Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Ndugu wafugaji na wajasiriamali naomba kama kuna mjasiriamali anaeweza kuniambia nitapata wapi mbuzi WA nyama aina ya Boer ..Kuna wakati nilipita mawasiliano na MTU WA Dodoma akasema anazo lakini...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Ndugu zanguni, natumaini wote wazima wa afya. Naomba kujua gharama za ujenzi wa banda la mbuzi zipo vipi. Nimepanga kuanza na mbuzi 10 maeneo ya kibaha. Lakini iwapo nitafanya vizuri kwenye...
0 Reactions
16 Replies
10K Views
Habari wana jamii forum, naomba nijue kitu kuhusu kilimo cha mahindi na kunde...tangu kupanda mpk mavuno huwa inachukua muda gani? kama mtu aliyeanza kupanda tangu mwezi wa tatu anategemea kuvuna...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Dear Sir, We are , Şah Tarim foreign trade company , we are glad to share a brief company introduction with your esteemed company requesting your feedback on our products. our company is...
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Wakuu naomba ushauri wenu nimenunua shamba eneo la Vigwaza Buyuni ni zao gani linaweza kunitoa kimaisha maana kwa sasa sina kazi na nina mtaji wa 500,000/= bank. Nahofia nikifanya biashara pesa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Jamani hawa jamaa siwaelewi kabisa nilikuwa nimedhamilia kuingia ktk ufugaji lkn jamaa hawa wanakatisha tamaa nimelipia ng'ombe nikaambiwa nisubili wapandishwe sasa sijawapata kila nikiulizia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
tujadili mada hii, ni vitu gani vifanyike ili huduma ya bima iweze kua nzuri na yenye tija kwa wakulima kama ilivyo katika sekta nyingine kama afya na vyombo vya moto.
2 Reactions
0 Replies
808 Views
Jaman wadau nisaidien,hivi biashara ya kusafirisha mahindi kwenda kenya inalipa kwa mchanganuo upi?iko vizuri?maana naona wa2 wanaichangamkia sana.
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Miaka kama miwili nilifika Singida kwa shughuli maalumu,niliweza kujifunza mambo kadhaa mazuri hasa kule Mtinko/Ilongelo. Nikawa na hamu ya kufika Tabora,akina Elinino/Sikonge walinipa ABC za...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Nauza Mbuzi maksai zipo 40 Nipo iringa mjini kila mbuzi nauza kwa elfu 70
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Majani ya nyanya zangu yanakauka sijajua ni ugonjwa gani mwenye kujua anisaidie
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Samahani wana jf Nina Shamba langu ddogo la ekari 2 la muhogo. Ninatamani kutengeneza unga wa muhogo ili niuuze badala ya muhogo wenyewe. Plz ninaomba Mwenye uzoefu na kazi hiyo nipo Dar.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Asilimia 40 ya mazao yanayovunwa Tanzania, yanaharibika kabla ya kumfikia mtumiaji kwa kukosa vifaa vya kuhifadhi mazao lakini pia kwa kukosekana viwanda vya kusindika. SIDO wako wapi na...
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Posted mistakenly... I can't delete this post.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Igweeeeee Mfugaji aliyeko Dodoma na anauza kuku wa kienyeji, nahitaji matete 4 na jogoo moko, kwa ajili ya kufuga mbegu iwe nzuri. Mdondo umenisafishia banda!
0 Reactions
0 Replies
971 Views
saizi ni ulimwengu wa smartphone na internet tumia fursa hii kueneza biashara yako mikononi mwa mteja.natengeneza blog na android mobile app kwa bei nafuu mno na kuiweka playstore kabisa. blog...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari Wakuu, Natafuta taasisi au watu binafsi mwenye utaalamu wa kilimo au Ufugaji ambao watakuwa tayari kutoa Elimu kwa watu wenye interest ya kulima mazao mbalimbali au kufuga mifugo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasalam, Nataka Kuanzisha hii biashara huku mtaaani ila Naomba kujua Mawazo yenu na wapi nitapata hii bidhaa kwa urahisi na bei ya Chini UGORO (MKALI)
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mkulima mwenye uzoefu wa water pamp ya sola atujuze
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom