Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Salama wadau. Naomba ushauri kuhusiana na kilimo. Nataka kuanzisha mradi wa kilimo mwisho wa mwaka huu, ningependa kulima mojawapo ya mazao haya, mahindi, mpunga au maharage. Nomba kujuzwa eneo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwaka huu kama ilivyo miaka kati ya mwaka 2008-2016 kulikuwa na utoaji wa pembejeo za kilimo yenye ruzuku kwa wakulima. Wakulima walengwa huchangia kiasi cha fedha na kiasi kingine kuchangiwa na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nataka mikaratusi iliyonyooka yenye Diameter 17-30 cm Nataka nyingi kadri unavoweza Kuanzia miti 500- 0682426975 0744769774
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Baada ya kufika shambani nimehuzunika sana, mpunga niliopandikiza umenyauka. Ukame huu twafa!
3 Reactions
41 Replies
5K Views
asalaam wakuu, naomba mwenye muongozo kuhusu ufugaji wa Kuku wa kisasa (broilers) anipatie. samahanini kwa usumbufu nahitaji sana mchanganuo huo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Binafsi naona kama utengenezaji wa viberiti ni fursa kubwa sana kwakuwa soko lake lipo si la kutafuta kabisa. Kwa wenye uelewa wa utengenezaji tunaomba tubadilishane mawazo hapa katika...
1 Reactions
24 Replies
13K Views
Habari za mchana, Poleni na majukumu. Kama maada inayojieleza hapo juu, nilitaka nifahamu kuhusu kilimo cha alizeti wilayani Iramba. Nimepitia maada mbalimbali humu ndani na nimeona kuna mwana JF...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar za mihangaiko ndugu zangu?? Nilikuwa naomba kujua bei za vyakula kama maharage, nyanya, mchele na viazi ulaya katika soko kuu la lushoto, mm nipo dar nataka nifanye biashara ya kutoa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana jf naombeni mimi ni mgeni kwenye kilimo, nimehamasika na kuvutiwa na kilimo cha nyanya! Mwenye ujuzi na kilimo hiki naomba msaada wako tafadhali.. Namna ya upandaji, upigaji dawa, umwagiliaji...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Napenda kuuliza kuhusu mbegu bora za mahindi zinazostahili ukame! Nimeambiwa ni WEMA2019 Je kuna bora zaidi? Na zote naweza zipataje na gharama zake
1 Reactions
17 Replies
12K Views
Kwa wataamu wa kilimo naombeni msaada wenu niweze kusaidia jamii ya wakulima wa kijijini kwetu na maeneo jirani kwa watakaokubali ushauri ntakaowapa kutokana na majibu yenu! Kutokana na hali ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Miche yangu inateswa na hili tatizo mara ninapoihamishia kwenye mifuko. Angalia picha na msaada tafadhali. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau? Nahitaj soko la vitunguu vyangu... Vitatoka mwanzoni mwa March nimeona sio mbaya nikaandaa soko kwani sio vingi sana. Shamba ni kama nusu heka kwa sasa... vingine bado vidogo. Shamba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
popote tanzania ,,mwenye izo pumba anichek 0685733122
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Nina tafuta mtu yeyote mwenye mtaji-pesa ili tuunganishe nguvu katika ufugaji wa mifugo mbalimbali kibiashara. Mimi nina uzoefu, maarifa na utaalamu katika nyanja ya mifugo (nimesomea). Katika...
2 Reactions
34 Replies
5K Views
Kumekucha tena, Natamani niwe na kiwanda cha kutengeneza tambi kwa ajili chakula. Nimepata habari kuwa Unguja biashara hii ipo sana. Natamani kujua ukubwa wa mtambo/vifaa muhimu na gharama zake...
1 Reactions
15 Replies
11K Views
UYOGA ni kati ya mazao yenye faida kubwa kiuchumi na kiafya pia. Baadhi ya faida za UYOGA kiuchumi na kiafya ni kama zifuatazo: -Kiasi kidogo sana cha fedha za uwekezaji kinahitajika, -Fedha...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Kuku wangu ni katili sana hapendi mbuzi,mbwa wala kiumbe wengi sasa inafikia mahali analalia mayai yake anayaacha nakufata mbwa wanaobweka jirani na mabanda na kuwafukuza.kasha toboa macho mbwa...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Hodi humu ndani, naomba kwa wazoefu mnisaidie nataka kulima pilipili Mbuzi. Naomba ushauri wenye experience fulani juu ya zao hili mbegu kilimo na soko kwa ujumla. Asante.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom