Naombeni mbinu za ukulima wa Mtama unaofaa kutengeneza via
Je upatikanaji wa Mbegu upo vipi Maana hata aina siifahamu nia aina gani ya mtama inayofaa kulimwa ktk mkoa wa pwani
Na je mtama...
Msaada jamani mwenye uzoefu na biashara za matango. Nina heka 1 ya tango inaanza kuvunwa mwezi wa 5 mwishoni. Mwenye kuhitaji au mwenye kufahamu wanunuzi tuwasiliane 0652 228 888.
Jamani wadau naomba mwenye experience kuhusu udobi anijuze bei za laundry machine na bei za kufua nguo aina tofauti.
Ikiwezekana anipe ujuzi wa uendeshaji wa biashara hiyo.
Asanteni
Ninampango wa kuanzisha 'Project ya ufugaji wa samaki' kwa malengo yafuatayo;
1. Kupambana na uvuvi haramu unaoendelea katika mito na maziwa nchini Tanzania.
2. kuondokana na dhana ya vijana...
Habari wakuu.
Kuna kitabu cha muongozo ambao kimeandikwa na shirika la USA la Heifer nami nilifanya kwa vitendo maarifa haya na kuweza kupata matokeo tajwa kwenye kichwa cha habari. Ndani ya...
Habarini za Mchana wana jamvi, samahani Nina maswala kadhaaa ningependa kuuliza na kupata ufafanuzi.
1. Ninawezaje kulifanyia survey shamba langu la miti ili nipate hati??
2. Ninaweza kupata...
Kama hauna kazi nenda shamba ukalime,umemaliza degree yako usisubirie ajira nenda kalime inalipa sana.
Watu wameitikia mwaliko kwa moyo wote,sasa bei zinavoporomoka kwa kasi mpaka tunabaki...
Habari zenu wadau,
Mm ni muhitimu wa chuo kikuu nimesomea masoko baada ya kutembea Sana na bahasha bila mafanikio nimeamua sasa mwaka huu niijigize kwenye kilimo ili kupunguza ukali wa maisha...
Wadau ninaomba ushaur. Baada ya kusoma sana humu jf kuhusu ufugaji wa kuku faida na changamoto zake. Nikaamua nianze kukufuga Kuku chotara.kwa sasa Nina tetea 60 na majogo 10 wanao panda ambao...
Wadau, nina mipapai kadhaa ya kisasa, lakini ikitoa maua yanaanguka yote, na hakuna mapapai yanayoshika.
Picha inaonyesha hapo chini.
Je? Tatizo ni nini ? Msaada wadau..
Habarini wadau natumai mu wazima,
Nimekaa na kuwaza sana, nimeona niwashirikishe ili tuweze kujadiliana au kuona ni namna gani naweza kupata mtu wa kushirikiana nae.
Babu yangu anaeishi Arusha...
Habari wakuu,
Nataka kununua basi aina ya coaster au DCM iwe kama daladala hapa Dar, naomba anayejua bei ya DCM au coaster ambayo ni used anifahamishe wakuu, mimi nina million 20 je, naweza...
Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu Vijana,Sera kazi na walemavu ndg Antony Mavunde leo ametembelea shughuli mbalimbali za kilimo cha Green house zinazofanywa na vikundi vya vijana mkoani Morogoro...
Ndugu zangu wana JF nimeleta huu uzi kuwa wilaya yetu ya Hanang ina takribani eka 63000 ambazo ni mali ya serikali kuu. Haya mashamba yapo kwa wawekezaji mbalimbali ambavyo inasemekana...
Wataalam wa kilimo na masoko hodi himu ndani, nauliza jaman na kuomba ushauri pia kwa sasa kuanzia mwezi huu wa Kwanza naweza kulima zao gani? Hususan kwa kumwagilia? Naomba mchango wa mawazo...
Habar za kaz wapendwa
Nina vifaranga vya broiler vina karibia wiki 2 tatzo haviongezeki kwa kasi sijui nimekosea wap? Tisaidiane wenye uzoefu... Booster ipi nzur utawaamsha au nifanye nn?
Thanks
Wadau salaam,
Kumekuwa na maneno kama uvumi kwamba moshi kuna mahindi mapya kutona mashambani yanavunwa muda huu,
Naomba kuthibitishiwa hili na watu wa huko kwani mimi moshi siifahamu kabisa hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.