Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Kuku wapo Mia wanataga mayai matano kwa siku pia wanakula vizuri ni kukuchotara wamechoma chanjo zote wamekatwa midomo hawafii ni wazima
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kilimo cha kutegemea mvua hakifai kokote duniani.Angalia nchi kama Misri, Israeli, Ethiopia na Sudan ambazo zinakumbwa na ujangwa uliopitiliza, wanalima mno kisasa kwa umwagiliaji toka mto Nile...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Miti aina ya paina imefikisha kuchana mbao ipo njombe ninaiuza Namba angu 0763773826
0 Reactions
0 Replies
995 Views
[emoji40] [emoji40]
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Napenda kufahamu ni vipi wakulima wa kahawa wanavyofaidika na ukulima wao, katiika mikoa inayotoa hii kahawa na zipi challenge zao kubwa. Pia,napenda kufahamu wapi zabibu inatoka vizuri na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za muda huu wanafamilia ya Jamii Forum na heri ya mwaka mpya pia, Wakuu,kipato hakikidhi mahitaji ya muhimu na msingi hasa kwa kutegemea mshahara.Hivyo nimeona naweza nikageukia kilimo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habarini za majukumu,samahani ningeomba kujuzwa kama honey king wananunua asali kwa wauzaji wadogo na kama ndio wananunua kwa bei gani?na kama kuna mtu mwenye mawasiliano yao anisaidie maana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Eneo langu Kubwa Ila halina fensi Sasa natamani kufuga kuku 50-100 Naombeni ushauri na gharama za ujenzi wa banda la kuku
0 Reactions
4 Replies
3K Views
wakuu nna automatic incubator lakini cjapata kifaranga hata kimoja cha bata mara mbili mfululizo lakini mayai ya kuku yanatoka vizuri tu naombeni msaada wakuu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Asalaam kama ulivyosoma hapo nje mkuu, mi kijana katika kutafuta maisha nikaona niguse kila mahali nitafute mtaji kwanza mwenye utaalamu au anaejua kuhusu kilimo hicho anielekeze
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu... Kwa heshima na taadhima naomba kupata darasa kuhusu ufugaji wa nyuki kwa ajili ya asali. Kwa wale wa Tabora, Arusha au popote pale kwenye kilimo hiki naomba msaada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu naomba msaada nimefuga kanga na kuku upande wa kuku hakuna tatizo ndipo nikaona nijiongeze kufuga kanga. Ni eneo kubwa sana wanapata chakula cha kutosha tatizo wanataga vichakani bila...
1 Reactions
10 Replies
26K Views
jaman wana jamvi aiseee huku kwetu ukame umezid sana hadi mazao tuliyoyalima yameanza kukauka kutokana na ukosefu wa mvua mungu awe nasii
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu napenda kuwataarifu kuwa mvua zimeanza ,karibia kila kona ya tanzania,nyanda za kusini,kanda ya ziwa, pwani,kanda ya kati, kazikazini na kwingineko. kazi kwenu. mi tayari niko kwa shamba
1 Reactions
2 Replies
908 Views
Hello team, nahitaji kufanya biashara ya ununuzi wa choroko so ningependa kujua hasa msimu wa mavuno unaanza lini na ni mikoa ipi hasa choroko upatikana kwa wingi ili nianze kujipanga mapema...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari za mihangaiko wanajamvi
2 Reactions
1 Replies
2K Views
wana wiki 2 jee nitibu na dawa gani?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Kwa wale walio na mtaji mdogo na wanajiuliza watauzungushaje mimi ni Mjasiriamali ambae nauza viatu vya kimasai jumla kuanzia pea 10 kwa shilingi elfu 13 na rejareja vinauzwa kuanzia elfu 17 mpaka...
1 Reactions
21 Replies
10K Views
habari zenu wana JF poleni kwa majukumu nilikuwa na omba msaada kwa anayefahamu mbegu nzuri kwa ajili ya kilimo cha karanga na inayokaa sokoni mda mrefu bila kuharibika pamoja na hatua za ulimaji...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
habarini wakuu, naomba kupata muongozo wapi naweza kupata maelezo ya kina kuhusu hali za hewa za mikoa ya Tanzania na mazao yanayoweza kustawi katika mikoa husika. napenda kupata takwimu za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom