Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Mimi naishi mbeya Kusema ukweli sijawahi kupenda kulima sababu ya kunyanyaswa wakulima. Ila nimejaribu kutokana na hali ngumu. Ila mwaka huu umekuwa wa ajabu. Mwaka Jana muda kama huu mvua ilikuwa...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
Wale Wakulima tunaotegemea mvua msimu ndio huu hapa. Nawakaribisha tujumuike kwa pamoja na tupeana uzoefu wa kilimo hiki hususani kwa kutumia tafiti walizotangaza TMA. Tukianza na wale...
1 Reactions
68 Replies
9K Views
Wakuu 'Posuta' Mi ni mdau ninaetaka kuhamia Karatu hivi karibuni kikazi..ila pamoja na hayo mi ni mjasiliamali kwenye kilimo na ufugaji hivyo nataka kujua bei za mashamba kwa huko zipoje kwa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
mimi nipo arusha, natafuta sehemu ambayo wanakodisha mashamba kwaajili ya kilimo, pia nahitaji kujua ni mazao gani hasa yanalimwa kwenye hayo mashamba. msaada tafadhali
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Katika kuandaa vyakula vya mifugo protini hutumiwa kwa wingi. Chanzo kikuu cha protini ni bidhaa kama dagaa, soya nk. Ila sasa hivi dagaa wameadimika na kuwaweka wazalishaji wa vyakula vya mifugo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada kwa mwenye ujuzi wa kilimo cha ufuta garama zake na soko liko vipi. Asanteni sana
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Wadau, nimetafakari jambo hili. Watu wengi wanasema msimu wa kupanda tikiti maji ni kati ya March and september. Lakini msimu huu nikiangalia kupanda mahindi ni kama kucheza karata. mpaka sasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bei ya vitunguu soko la ilala imepanda kutoka shilingi 60,000 miezi miwili iliyopita hadi 105,000 kwa gunia la kilo 100 kipindi hiki kutokana na kuadimika kwa vitunguu msimu huu
2 Reactions
11 Replies
6K Views
Kwa Wanajavi na wadau wakilimo. Natafuta mshiriki katika kilimo ambaye tunaweza unganisha nguvu na kufanya kazi pamoja. Nashamba ukubwa wa ekari 60 lipo dodoma nacho hitaji ni mtu wakushirikiana...
0 Reactions
3 Replies
829 Views
Naomba wakazi wa kahama mnijuze yafuatayo, 1) Ni maeneo yapi kilimo cha mboga mboga kinafanyika au yanafaa wilayani Kahama 2) Ni vipi vyanzo vya upatikanaji wa maji katika maeneo hayo, je...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habar jf Nahitaji kulima zao la pilipili mbuzi, lakini tatizo langu sina elimu ya kutosha kuhusiana na ulimaji pamoja na soko lake Naomba yeyote mwenye ufahamu japo kidogo anijuze. NAWASILISHA
0 Reactions
49 Replies
26K Views
Habari watalam wa kilimo na ufugaji, Kuna kupindi nilisikia kuwa kuna trecta hapa nchini linauwezo wa kulima matuta.. je nikweli? Nahitaji kwa ajili ya kukodi kama lipo, mm nipo mkuranga..
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Modes naomba hii thread msiunganishe na nyingine nataka kujifunza kitu. kama mnavyojua wakuu kwa sasa ajira zimekuwa ngumu na hata ukipata hiyo ajira utaishia kupewa laki tano...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Je serikali imejipangaje kumuinua huyu mkulima wa tangu 1961 analima mpaka leo lakini hana maendeleo! Nadhani sasa tufike mahali tuweke siasa pembeni tuache sayansi ifanye kazi! serikali inabidi...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
jamani huko wenzetu vipi,maana kwa hali ilivyo shinyanga mwaka huu ni hatare mvua inajaribu kidogo tu inasepa, kwa kweli wakulima full kuchanganyikiwa hatujaslima kabisaaa mpaka saivi. na magu...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Juzi juzi walikuwa na dalili za cocodiosis wamepona lakini tangu jana wanaanguka hovyo na kufa sijajua sababu ninini na wana chanjo ya magonjwa yote unaamka asubuhi unakuta tayari wameshakufa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wandugu, mimi ni mjasiriamali niliejiajiri kwa biashara ya chokaa, hapa Tanga tunaitengeneza locally (ambayo ndio inahitajiwa zaidi) na baada ya hapo tunawauzia watu wa hapa hapa tanga wenye...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Mwana Jf. Nina vifaranga wa wiki tank sasa, wamepatiwa chanjo Tatu mpaka sasa, chakula na Maji wanapewa cha kutosha na joto lipo lauhakika. Kinachonishangaza ni vifaranga kuzubaa ghafura na...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kila nikifungua kilimo,ufugaji na uvuvi kila kitu naambiwa ni dili yaani full faida,sasa nifanye kipi
0 Reactions
2 Replies
938 Views
habari wanajamvi. ..tulimskia mkuu akisivu na akitamba juu ya kupanda kwa bei ya korosho kwa mwaka huu...huko mikoa ya mtwara na lindi kwa ujumla . hivyo tumpongeze kwa hilo lkn nimesitushwa na...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom