Habari humu jamvini, kwa yule mwenye uzoefu na hii biashara tafadhali naomba anielekeze inafanyikaje kuanzia mwenye chombo mashine mpaka mgawo wa kinachopatikana tafadhali jamvini humu.
Habari, waheshimiwa naomba msaada kwa wenyeji wa mkoa wa kilimanjaro natarajia kuhamia mkoani humo kwenye mwezi wa 5. Naomba kujua mazao yanayolimwa katika mkoa huo pamoja na upatikanaji wa...
Katika pitapita zangu, nimekutana na jamaa anauza miche ya mwa40 inayotoa mbao. Yeye alinieleza kuwa mbegu hiyo ni tafofauti na ile ya mwa40 tuliozoea kwa maana kwamba mti wake unakua kwa kunyooka...
Habari wanaBodi
Naomba contacts za mtaalam wa Mifugo Aliyeko Kibaha. Aina ya mfugo ni Nguruwe.
Naomba mwenye contact ani PM au aweke contact hapa.
Asante.
Habari wanajamvi,
Nimepotea sana ila tupo pamoja.
Naomba mnijuze kuhusu wale kuku wanonoo wakubwaa nawaona mtaani,anaweza kuwa na kg 6 au 7,kubwaa,nikauliza wakasema wanaitwa Amadol.(Hili jina...
Wana bodi nianze kwa kutoa pongezi kwa michango mbalimbali ambayo mmekuwa mkiiweka hapa jukwaani. Baada ya kupitia hili jukwaa la kilimo na ufugaji kwa kipindi kirefu nami nilishawishika kujaribu...
habari wandungu
mwaka jana nilipewa shamba kama zawadi ila sasa kiukweli lina mgadi kiasi kwamba sijui zao la kupanda katika shamba hilooo .
kwa mtu mtaalamu naomba ushauri kwa hillo plz. nipande...
Habarini wandugu?
Katika harakati za kujikomboa kiuchumi kupitia ufugaji kisasa nilipata Wazo zuri na kubwa kwangu katika ufugaji wa nguruwe, nlipita kwenye mabenki na taasisi za serikali na...
Ukija kwenye swala la kujiajiri kwa wasomi, walio somea Sheria huenda wakawa wanaongoza, Hawa jamaa can u image kwenye masomo yao yote hawakugusa sijui Kitu inaitwa Entreprenership ila wakimaliza...
Mambo aje wakuu
Naomba kufaham kama kuna madhara kuosha mayai ya kuku na badae umuwekee alalie. Kuna mayai nimeletewa toka shamba bahat mbaya yalikua machafu..na pia niliweka kwenye maji kubaini...
Commitment iliyoonyeshwa na members waliosafiri kutoka Mikoani, hasa Arusha, Same, Dodoma ni ya kipekee, ambayo kwangu naifananisha na commintment ya Thomas Edson, mvumbuzi wa Balbu.
Kwa siku ya...
Habari zenu ndugu zangu? natumai nyote muwazima.
Kama kichwa kinavyojieleza, kuna kampuni nimebahatika kufanya mawasiliano nayo ina uhitaji mkubwa wa mayai.
Zinahitajika tray 2000 kwa siku...
Kichwa cha habari, naendelea kufanya Utafiti kuhusu mahindi madogo ya njao yanayotumika kutengenezea Popcorn. kwa kiasi kikubwa mahindi haya yanatoka nje ya Nchi kwa sasa . mwenye kujua je mahindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.