Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Wapendwa, habari zenu? Poleni sana kwa majukumu. Naomba kusaidiwa, soko la matango kwa mwezi wa December nitafanikiwa? Nimepata shamba tayari na najua gharama zake si kubwa kiasi hcho, naombeni...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini wana Ndugu, nimeanza ufugaji wa Batamzinga kama hobi lakini with time naona naanza kufikiria zaidi kibiashara. Lakini of recent bata wangu mmoja amepata huu ugonjwa wa uvimbe mdomoni...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Mimi naishi Dar es salaam, Ninaomba ushauri ni wapi naweza kupata ng'ombe bora wa maziwa , ng'ombe watakao weza kuendana na hali ya hewa ya Dar,wawe wenye sifa ya kutoa maziwa mengi na...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Naomba kujua gharama ya kilimo cha tikiti maji na maeneo mazuri inapolimwa
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kama tittle inavyoeleza hapo ndugu hakuna wajuzi wa faida na hasara za uvuvi na ni uvuvi gani wenye tija wajuzi wa haya mambo tafadhali
1 Reactions
9 Replies
2K Views
wakuu heshima kwenu, Nimefuga kuku wa MALAWI wapo 300 ila wanakula isivyo kawaida na ndio kwanza wana miezi 4 kabla ya kufikia kutaga .nimefuga aina tatu ya kuku ikiwemo sasso na aina fulani ya...
6 Reactions
78 Replies
16K Views
Kilimo Chetu. Natumaini wote ni wazima, Jipatie Drip Irrigation System kwa bei nafuu kabisa 0688 105 073 Usinitumie ujumbe inbox ya JF
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam Wakuu, Mimi ni kijana muhitimu wa Chuo kikuu. Katika mapambano ya kusaka mkate wa kila siku nimeona ni vema nikajikita katika kujiajiri. Naaam kujiajiri katika sekta ya Kilimo na ufugaji...
9 Reactions
90 Replies
13K Views
Limenijia wazo kichani mwangu, washkaji munaonaje tukaanzisha kitu kama tour au ziara fulani hivi kwa ajili ya kujionea watu walivyofanikiwa katika kilimo, ufugaji na pia kupata fursa ya sisi...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za humu mu wazima? Kumekuwa na vizuizi vingi sana kwa wakulima wa kiafrika kusafirisha mazao yao nje ya Afrika kwa kigezo cha mazao yenye madawa Hali hii imesababisha mazao mengi kama...
3 Reactions
18 Replies
7K Views
Habari Wana JF Napenda kuchukua nafasi hii kuwatangazia wataalamu wa kutengeneza Website ya Kampuni. Ni kampuni itakayohusika na mauzo ambayo wateja wataweza kulipa kwa kutumia Mobile Money...
0 Reactions
3 Replies
931 Views
Habari ndugu zangu. Naitwa Mwl Madnja RF nipo Sengerema. Natafuta kuku aina ya kuchi, wale wasio na manyoya mengi, wenye mdomo mfupi sana. Pia soko lake likoje? Mwenye nao tuwasiliane kwa Whatssap...
2 Reactions
13 Replies
12K Views
Hi! Nahitaji mawasiliano na mkulima au dalali wa vitunguu swaumu vya babati ili tufanye biashara nipe no zako PM nikupigie asante
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau, nina mtaji wa milioni 20, eneo la ekari 1 Kibaha. Nataka nianzishe ufugaji wa kuku wa mayai. Tayari nimejenga nyumba ndogo ya kuishi mfanyakazi. Bado naendelea na ujenzi wa mabanda ya kuku...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Habar wanajamvi mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji wa kawaida sasa nataka kubadilisha mfumo wa ufugaji kutoka kuku wa kienyeji kwenda chotara aina ya kuroiler sasa nataka kununua vifaranga je...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari za leo wapendwa. natumain hamjambo na Mwenyezi katubariki kabisa. natamani niingie katika biashara ya hawa viumbe. ila nataka nijue ni wapi ambao hawashambuliwi na magonjwa ovyo, hapa naona...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Ndg zangu wenye utaalamu wa ufugaji kuku naomba nipewe elimu, nahitaji kuanza ufugaji
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Members salama.Nina project ya ufugaji kuku ambayo nimeanza miezi miwili iliyopita baada ya darasa zito kutika hapa.Project inakwenda vizuri na ninefanikiwa kutotoresha vifarangq kwa awamu ya...
0 Reactions
0 Replies
877 Views
Samahani ndugu zangu Nina uhitaji mkubwa wa pumba za mahindi Niko Arusha mjini naomba msaada wa upatikanaji
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Unapofikiria kufanya ufugaji wa kuku lazima wazo lako likupeleke kwenye kufanya ufugaji wa kuku wa kibiashara ufugaji ambao unakuwa kama kazi. Kwa wanafunzi wanaohitimu vyuo vikuu hawana haja ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom