Ndugu wapendwa naomba kupata ushauri wa namna ya kupata masoko ya kuuza nyanya hasa katika kipindi ambacho kwa sasa nyanya zimefurika sokoni.Natarajia kuanza kuuza wiki moja ijayo. Je utaratibu...
wakuu
napenda kufanya ulanguzi wa asali mikoa ya tabora pamoja na singida
ila changamoto ya hii mikoa hua inaathiriwa sana na maua yanayotokana na tumbaku ambayo hua na sumu ya nikotin ambayo...
Tafadhali naomba msaada kwa yeyote aliyeko Dar, mashine yangu ya kutotolesha vifaranga (incubator ) niliagiza mwezi 5 ilifika dar mwezi 7! Je ni kweli bandari wanaweza kuiuza kwa kutoikomboa...
Naomba kujua sababu inayofanya majani ya tikiti niliyopanda yananyauka na kukauka wakati ninamwagilia maji ya kutosha. Nilijaribu kuangalia mizizi yake nikaikuta mizima na yenye maji
Naomba pia...
habari zenu wakubwa. naomba kufahamu kutoka kwa wataalam wa kilimo na udongo kuhusu issue ya soil sterilization. kwenye vipengele vifuatavyo
.maanake yake
.ina faida gani kwa mkulima kiujumla...
Hii ni biashara ninayoiwazia kuifanya siku zote, na kama sitaifanya mimi basi ningependa kuiona ikiwepo (sijajua kama ipo mahala popote, sijabahatika kujua kama ipo)
Game farming: Hii ni biashara...
Habari za majukuu ndugu zangu,Nina mpango wa kufanya biashara ya kuuza mananasi lakini si na experiece nayo sana maana naona msimu wake umekaribia mwenye kujua vizuri biashara hii naomba anisaidie...
Nimekua nikifuga kuku aina ya broiler kwa mda, ila vifaranga vingi huwa vinaishiwa nguvu za miguu, na vingine huwa vinakuwa na matege kama msamba wa Van Damme, nataka kujua tatizo la vifaranga...
Nimenunua incubator machine yenye uwezo wa mayai 700.
Nimeweka mayai, ila kati ya 700 nimepata vifaranga 300 tuu.
Binafsi sijafurahi kwa sababu matarajio yangu yalikuwa at least 500.
Kuna mayai...
Watanzania wenzangu,kumiliki biashara/kampuni (kwa maana ya limited company) na kujiajiri ndiyo siri ya mafanikio kwa Tanzania ya leo.Chukua hatua na ufungue kampuni yako na ujiiunue kiuchumi...
Habar wana jamii forums mimi ninataka kuanzisha mradi wa kufuga samaki ila sijui chocjotr kuusu mradi huo na ninahitaj ushaur maelekezo kwa yeyote mwenye ujuzi huoo ..kwani eneo husika ninalo...
Ndugu zangu natafuta mtaalamu ambaye atanishauri kuhusu banda, vifaranga, madawa na ufugaji mzima wa kuku wa kienyeji na wa kisasa. Pliz inbox kama upo maeneo ya jirani. Naishi Masaki DSM.
Bei Bei ni laki moja tu Kwa heka
Zinauzwa kuanzia hekali kumi na kuendelea
Yanapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe
Kwa mahitaji wasiliana nami kwa simu namba 0764426929,0655726929 na...
Mimi nina mbwa wang ndoo amezaa mara yake ya kwanza sasa sema hataki kuwanyonyesha watoto wake anawalalia tu amezaa vitoto saba kala kimoja kingine kimekufa ...naombeni msaada wenu ili mbwa wangu...
Je, Muda wa kutumia mimea ambayo vinasaba vyake vimebireshwa nchini Tanzania umefika?
Karibu tujadiri hii kitu kitaalam maana nimeona kuna mijadala inaibuka juu ya matumizi ya GMO hapa kwetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.