Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Ndugu wapendwa naomba kupata ushauri wa namna ya kupata masoko ya kuuza nyanya hasa katika kipindi ambacho kwa sasa nyanya zimefurika sokoni.Natarajia kuanza kuuza wiki moja ijayo. Je utaratibu...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
wakuu napenda kufanya ulanguzi wa asali mikoa ya tabora pamoja na singida ila changamoto ya hii mikoa hua inaathiriwa sana na maua yanayotokana na tumbaku ambayo hua na sumu ya nikotin ambayo...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Tafadhali naomba msaada kwa yeyote aliyeko Dar, mashine yangu ya kutotolesha vifaranga (incubator ) niliagiza mwezi 5 ilifika dar mwezi 7! Je ni kweli bandari wanaweza kuiuza kwa kutoikomboa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujua sababu inayofanya majani ya tikiti niliyopanda yananyauka na kukauka wakati ninamwagilia maji ya kutosha. Nilijaribu kuangalia mizizi yake nikaikuta mizima na yenye maji Naomba pia...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
habari zenu wakubwa. naomba kufahamu kutoka kwa wataalam wa kilimo na udongo kuhusu issue ya soil sterilization. kwenye vipengele vifuatavyo .maanake yake .ina faida gani kwa mkulima kiujumla...
0 Reactions
0 Replies
512 Views
Ninao Bata lakini wamekuwa wakilegea miguu na shingo. Pia wanaharisha mavi meupee. Naomba kufahamu tiba na hayo maradhi yanaitwaje?
2 Reactions
15 Replies
5K Views
Hii ni biashara ninayoiwazia kuifanya siku zote, na kama sitaifanya mimi basi ningependa kuiona ikiwepo (sijajua kama ipo mahala popote, sijabahatika kujua kama ipo) Game farming: Hii ni biashara...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba msaada wa kupata namba za simu za viongozi wa vyama vya ushirika vya Runali na Mamcu, na vyama vingine vinavyohusika na korosho
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nataka kuanzisha KILIMO cha kisasa cha matunda aina ya passion je kwa waliolima hivi kinalipa?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habar wanajamvi kuku wangu wanasumbuliwa na kuvimba macho na kupofuka na kupelekea vifo. Je huu ni Ugonjwa gani na nitumie dawa gani.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za majukuu ndugu zangu,Nina mpango wa kufanya biashara ya kuuza mananasi lakini si na experiece nayo sana maana naona msimu wake umekaribia mwenye kujua vizuri biashara hii naomba anisaidie...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimekua nikifuga kuku aina ya broiler kwa mda, ila vifaranga vingi huwa vinaishiwa nguvu za miguu, na vingine huwa vinakuwa na matege kama msamba wa Van Damme, nataka kujua tatizo la vifaranga...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimenunua incubator machine yenye uwezo wa mayai 700. Nimeweka mayai, ila kati ya 700 nimepata vifaranga 300 tuu. Binafsi sijafurahi kwa sababu matarajio yangu yalikuwa at least 500. Kuna mayai...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Watanzania wenzangu,kumiliki biashara/kampuni (kwa maana ya limited company) na kujiajiri ndiyo siri ya mafanikio kwa Tanzania ya leo.Chukua hatua na ufungue kampuni yako na ujiiunue kiuchumi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar wana jamii forums mimi ninataka kuanzisha mradi wa kufuga samaki ila sijui chocjotr kuusu mradi huo na ninahitaj ushaur maelekezo kwa yeyote mwenye ujuzi huoo ..kwani eneo husika ninalo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu natafuta mtaalamu ambaye atanishauri kuhusu banda, vifaranga, madawa na ufugaji mzima wa kuku wa kienyeji na wa kisasa. Pliz inbox kama upo maeneo ya jirani. Naishi Masaki DSM.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bei Bei ni laki moja tu Kwa heka Zinauzwa kuanzia hekali kumi na kuendelea Yanapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe Kwa mahitaji wasiliana nami kwa simu namba 0764426929,0655726929 na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi nina mbwa wang ndoo amezaa mara yake ya kwanza sasa sema hataki kuwanyonyesha watoto wake anawalalia tu amezaa vitoto saba kala kimoja kingine kimekufa ...naombeni msaada wenu ili mbwa wangu...
1 Reactions
43 Replies
6K Views
Je, Muda wa kutumia mimea ambayo vinasaba vyake vimebireshwa nchini Tanzania umefika? Karibu tujadiri hii kitu kitaalam maana nimeona kuna mijadala inaibuka juu ya matumizi ya GMO hapa kwetu.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom