Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
wapo dar es salaam wapo 70 kwa mteja anae hitaji ani PM bei rahisi .
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari zenu wote, Nimetumiwa hii link na rafiki yangu,kwamba kila atakayeclick hapo chini ,mimi nitapata 5%,na huyo mtu akiamua kujiregister na yeye akishare hiyo link nayeye atapata 5%. Naomba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nataka kufuga kuku wa kisasa wa nyama wakati huo nafuga kuku wa kienyeji, je inawezekana?, hakuna magonjwa ya kuambukizana, wazoefu na wataalam naomba mwongozo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, Nafikiria kuanzisha mradi wa kushona viatu, mikanda pamoja na wallet. Je ni mashine zipi za kuanzia ninazotakiwa kuanza nazo na gharama yake ni kiasi gani? ni aina gani ya Mashine inafaa...
2 Reactions
50 Replies
18K Views
Kama ulitaka kufanya biashara ya chips ukashindwa ... unataka kuuza ulivyo nunua nichek hasa kabati ndio nahtaji...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Popote ulipo tutakufikia na iweke nyumba yako katika muonekano tofauti
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari!, Nina Kiwanja kimejengwa msingi Kipo Iringa Mjini-ISAKALILO hakina hati(nlijaribu Kufuatilia Hati Wanazungusha Sana Pia Wanahitaji Fedha Mi Sina Kitu Nkashindwa) naomba kwa yeyote au...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa ndugu zangu wahitaj wa hivo vitu mawasiliano yangu in +255718930097
0 Reactions
2 Replies
917 Views
nahitaji dagaa waifugo
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Mwenye kufahamu aina ya vitabu vya ujasiriamali na waandishi naomba anisaidie..
0 Reactions
6 Replies
4K Views
RIFARO AFRICA LTD ni kampuni mama kutoka Tanzania yenye lengo la kumsaidia mmiliki wa simu ya mkononi yeyote yule kuweza kunufaika na muda wa maongezi anaoutumia kumuingizia KIPATO bila ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Refer heading above. Nimekuwa inspired sana na mambo ya kilimo na ufugaji kwaiyo nataka niwe kampuni ya hizo sekta nilizozitaja hapo juu. Kwa yoyote anayejua procedures za kufanya ili nikamileshe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi mwanafunzi Wa form 5 ninamtaj Wa mil 1 ni nataka kuanza biashara he biashara gan inafaa kwa mtaj huo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, salama? Nakuja mbele zenu leo kuomba msaada wa mawazo juu ya mambo ya biashara. Mm sina uzoefu wa biashara, nimesomea IT, nimeajiriwa mwaka wa tano sasa, lakini nimekuja kugundua kipato...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wadau, Kama una kampuni ya web design & hosting, tuwasiliane kwaajili ya Business Partnership. Nina hitaji mtu atakayekuwa akihost websites na Emails za wateja wangu. Call or text 0653 257566
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Jipatie kuku wa kienyeji kwa bei poa bei ya mitetea ni 18000 na bei ya majogoo ni 20000, napatikana kwa 0652651853
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nataka kutoa Huku USA hiyo Mitumba kuipeleka Tanzania.
0 Reactions
2 Replies
889 Views
nimenunua gari aina ya noah min bus kwa ajili ya biashara nimeambiwa kila siku dreva analeta elf 40 kwa mwezi inakua milioni moja laki mbili kwa lugha nyingine ukitoa laki mbili kwa ajili ya...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Ikiwa unatumia fedha mara kwa mara kunyonya maji taka ktka kalo la nyumbani,shulen;msikitini, offisin na sehem nyingine kama huzo ..sasa tunaweza kuweka system itakayo kufanya ukae zaidi ya miaka...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Habarini wajasiliamari
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Back
Top Bottom