Salaam Kwenu Wakuu.
Ama baada ya salaam. Ningependa kutanguliza shukran zangu kwenu nyote kwa ujumla.
Kama mada inavyojieleza, naomba kujuzwa bei elekezi ya kuku wa kisasa wa nyama...
FURSA YA KIFEDHA KWA WAJASIRIAMALI WA KUKU NA MAHINDI
Je wewe ni mjasiriamali?
Je ungependa kukuza biashara yako?
Kama ni msindikaji wa chakula una kuku, mzalisha ji wa vifaranga...
FURSA YA KIFEDHA KWA WAJASIRIAMALI WA KUKU NA MAHINDI
Je wewe ni mjasiriamali?
Je ungependa kukuza biashara yako?
Kama ni msindikaji wa chakula una kuku, mzalisha ji wa vifaranga...
Mimi kijana mwenye miaka 24 niña elimu ya forma 4 natafuta kazi yeyote gente maslahi yakuniwezesha mimi kuendesha maisha iwe ya nyumbani hotelini su viwandani
Nahitajii mkopo wa kuanzisha biashara, sina assets kama kiwanja, nyumba hata gari.. Lakini nimekua nikitafutaa mkopo ili nianze biasharaa.. Na naminii kua nitaulipa tu kwa muda muafaka...
Agri Bisiness tunajishughulisha na vitu vifuatavyo
-tunatoa ushauri kuhusu kilimo
-tunaandaa bustani za kisasa (green houses )
-tunajenga mabanda ya kuku wa kisasa
-tunauza na kusupply mbegu bora...
Habari wa jukwaa!! Husika na kichwa cha habari pale juu, kuna wazo ambalo nimerifkiria nadhan watu wengi watafaidika kuhusiana na elimu ya mambo ya ufugaji na kilimo ambao watu wengi tunataman...
Habari za kushinda na kushindwa wanajamvi, Waungwana mi kijana nifanyakazi kwenye likampuni mmoja kubwa sana hapa but kiukweli sioni maisha yangu yakibadilika japo nina miaka 9 kazini yes nina...
Habari wana JF,
Mimi niko USA nafikiria kupeleka mabelo ya mitumba bongo kama ya viatu, jeans au mchanganyiko, na nataka kuuza kwa belo au jumla.
Swali langu ni hili;
Je, belo moja bei gani? Na...
Habari za siku wanajamiiforum,
Napenda kuwataarifu kuwa madaktari na wauguzi au manesi pia wale maphamasia na wale wanaopenda kuwa wajasiliamali kwa kufungua pharmacy shops au maduka ya dawa kwa...
Nipo ukerewe visiwani napenda kuwa wakara wa usambazaji wa sigara hapakisiwani kwani mtandao huo haupo hapa USHAURI wakuu nipate wapi wahusika wa hii biashara MSAADA
Agri Business tunajishughulisha na maswala yote ya kilimo. Pia tunatoa ushauri kuhusu kilimo, tunaanda bustani za kisasa (green house), tunauza madawa ya kilimo, tunatengeneza mabanda ya kuku wa...
Shikamooni mana wengi humu ni wakubwa kwangu
Naombeni kwa yoyote anaeweza kunipa mchango wa kimawazo kuhusu kuanzisha computer training centre wazo lolote lile litakuwa la maana kwangu
Wakuu,
Mwenzenu nimeamua kuingia katika ufugaji kama moja ya njia ya kuongeza kipato changu, na nitaanza na ufugaji wa FISI na BUNDI, nitakua nikiwauza abroad na kupata foreign currency ya...
Bata mzinga dume wanapatikana kwa Sh. 70,000 kwa ukubwa wa kati na Sh.150,000 kwa mkubwa kabisa. Kwa atakayehitaji anitafute kupitia namba hii: 0753249862. Mimi napatikana Dar. Karibuni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.