Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Naomba msaada wa ushauri waungwana.Ni biashara gani ukipeleka haya maeneo inalipa sana.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Mimi nikijana nina kiasi hicho cha pesa nataka anzisha biashara lakini nashindwa jua ipi itanifaa kulingana na mtaji huo lakini pesa ya kula na kulala ninayo mtaji tu ndio mil 2.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu, nipo kwenye mchakato wa kuchimba kisima cha maji ambapo sehemu husika hakuna umeme. Nataka mara uchimbaji utakapokamilika ninunue pampu itakayonisaidia kuvuta maji kutoka kisimani na...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Natafuta nose au half cut ya hiace dungu. Mwenye nayo anitani pm na bei yake na picha.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu mwaka huu 2015 umekuwa tofauti sana na mwaka jana wa 2014. Soko la kitunguu limekuwa gumzo mwaka huu, mkulima kauza gunia moja la kg 100 mpaka Tsh. 250,000 shambani wakati mwaka wa jana...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Tembelea hapa ufugaji.co.tz TOVUTI YA UFUGAJI ni tovuti iliyobadilishwa kutoka blogu ya SEKTA YA MIFUGO TANZANIA iliyoanzishwa mnamo mwaka 2012 kwa lengo la kumuelimisha mfugaji au mtu anayetaka...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Sio kila biashara unayofanya itafikia mafanikio makubwa unayotarajia. Biashara inaweza kusua sua na kukusumbua sana. Na wakati mwingine biashara inaweza kwenda kwa hasara na mwishowe kufa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji kufanya biashara ya vitenge toka Congo na Malawi ananyeweza kunipa link ya jinsi ya kupata vitenge huko kuleta Makambako.
0 Reactions
18 Replies
15K Views
Habari ndugu zangu, leo naomba nami niongee neno katika uwanja huu wa kijasiriamali, Mimi ni mhitimu wa Degree ya Uhasibu miaka 3 iliyopita, tangu kipindi hicho chote sijapata ajira ya kudumu na...
15 Reactions
79 Replies
17K Views
habari wakuu nataman sana kuuza magazeti ila nimekosa mtu wa kunielewesha jinsi ile biashara inavyofanyika. eneo la kuuzia ninalo tayari naomba anaeijua vizuri hiyo biashara anielimishe
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana JF. Napenda sana kufanya biashara ya kuuza vitabu( book shop). Nahitaji kujua mbinu, changamoto, ushauri na masoko.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari!naomba mnisaidie hv kwa anayepata take home ya 700000(laki saba)anaweza kupata mkopo wa shilingi ngapi kwa benki ya NMB?
0 Reactions
27 Replies
13K Views
Kwa wale wanao ishi maeneo ya Mbeya mjini wapi nitaweza kupata duka la kuuza mbolea aina ya Urea jumla na rejareja (mbolea ya chumvi)? Msaada wenu unahitajika!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau kwasasa nimefika hatua nzuri ila naitaji sasa mkopo nifungue biashara.Nimejitahidi kujenga ukumbi mkubwa ,pub,vyumba vya flame vinne na chumba mbili za kulala. Uwekezaji huu hupo karibu na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninauza dumpy level mbili Nestle na Swiss+plus Mwenye kuhitaji ani - pm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wadau; Ninaomba kwa mtu yeyote anayejua juu ya biashara tajwa, ninatarajia kuanzisha biashara hii kuleta songea; naomba kujua kuhusu upatikanaji wa bidhaa,bei na mengineyo yatakayo faa...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari wandugu natumaini mko poa,nilikuwa nataka kufungua kampuni langu,nilikuwa nahitaji mtu ambaye anaweza akanisaidia kufungua,ningependa anitajie gharama zote zinazoitajika ili kukamilisha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
kwa wale wanaohitaji huduma za kutengenezewa #music video #films , #documentary#TV program #logo&posters#studio photos Tunakukaribisha AFRICAN HITS STUDIO. Tupo tegeta. phone: 0712973820 /...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nipo dar nipe bei yako ya jumla nahitaji tray nyingi. Nasafirisha zanzibar.0714 045080..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu karibuni tunasambaza samaki na dagaa waliokaanga na kupakiwa vizuri kwa mikoa ya Dar na Arusha kwa order utakayotupatia. Dagaa na samaki wote wanatoka ziwa Victoria na pia kwenye...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…