Naomba ushauri, nina idea ya kuanzisha biashara ya hardware na niko Dar but I do not have any idea on the business startup capital, business formalization process and its costs na where I can get...
Habari ndugu zangu?
Kwanza mniwie radhi kwan kifaa changu kilizma chaji kabla sijapost. Nahitaji kupata maarifa juu ya kilimo cha tangawizi , je mbegu nzuri ni aina gan? Zinapatikana wap? Je...
Habari za leo mabibi na mabwana,
Nina mpango wa kununua line za tigopesa na mpesa kutoka kwa wakala ambae ameacha kufanya biashara hiyo ya uwakala na kuamua kuziuza line zake. Kama mnavyojua...
Kwa mwenye uhitaji wa kuku hawa ni chotara,mchanganyiko wao ni kuku wa mayai wekundu na kuku wakienyeji,kuna majogoo na majike,majogoo ni wekundu kama walivyo majike na wanauwezo wakupanda vizuri...
Wakuu wajasiriamali na wadau wengine salaam,
Ningependa tuutumie uzi huu kupeana update za bei ya mazao mbalimbali kwenye masoko mbali mbali nchini.Update hizo za mara kwa mara zitawasaidiwa...
Habari za majukumu,
Ningependa kujuzwa juu ya soko la asali kwa Dar es salaam, asali ni ya nyuki wakubwa kutoka Singida na ni asali mbichi.
Thanx in advance
Washiriki,
Poleni na majukumu.
Leo naomba msaada wa mawazo. Ni wapi Tanzania hii ambako kuna shirika linasaidia vijana wenye idea nzuri za biashara na kuwapa funds bila masharti kama ya bank...
Nataka kuanzisha biashara ya chips ila bado sijajua mchanganuo wake yaan mtaji, muuzaj namlipa kiasi gani kwa siku, mimi naingiza kiasi gani kwa siku, pia vitu vikiisha kama viazi ni juu yangu au...
Wadau habari zenu,
Nahitaji kufanya business ila sina wazo business gani nianze capital au mtaji ni one million naomba ushauri jamani ni biashara gani naweza kuaza kwa hiyo capital...
Balozi wa Luv touch Manjano Irene Pul Katika Picha ya Pamoja na washiriki wa Semina ya ujasiriamlai ya wanawake kwa kupitia Vipodozi vya Luv Touch manjano iliyochini ya Manjano foundation.Lengo la...
Hello wanajamii.....mimi ni JAPHET CHARLES MUNNAH ni Laboratory Technician katika wilaya ya Missenyi mkoani Kagera. Natafuta mtu yeyote tubadilishane aje Missenyi; Kagera na mimi niende wilaya...
habarini wadau,
Pengine katika kujiongezea upeo, kwa wale wenye exposure zaidi. Ningependa kujua fursa zipatikanapo kwa wajasiriamali wadogo kwa wakubwa, maana nchini kumekuwa na viwanda vingi...
Nimedunduliza vipesa kidogo nimepata 3milions, nataka kufungua grocery, itafaa wapendwa? Je nikiongeza na chips na mishikaki hapohapo grocery itafaa au mshika mengi hukosa vyote? Nitaajiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.