Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Heshima kwenu... Natafuta mayai ya kuku wa malawi ya kutotolesha... Nahitaji tray 12... Nipo Rufiji, mwenye nayo tafadhali tuwasiliane.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini wakuu, rejea kichwa cha habari hapo juu.asali mbichi kutoka tabora inapatikana kwa jumla. 20ltrs - 200,000tshs. Maelewano yapo. Ni-pm kama wahitaji. Shukrani.
0 Reactions
0 Replies
932 Views
Habari wana JF, Ndoto zangu ni kumiliki Garage. Ningependa kujua yafuatayo; 1.Gharama za kuanzisha Garage. 2.Sehemu nzuri kwa shughuli hii inapaswa iweje 3.Usimamizi wa Garage upo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji chupa za plastic mil 100, 150 , & 200.. Naombeni msaada nitazipata viwanda gani
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Naona wajasiriamali wengi tunajitahidi kufuga na kulimalakini taarifa hasa za masoko..wapi ambapo mjasiriamali apeleke mzigo wake kwa wingi haziko clear....mfano mtu kafuga kuku wake wa nyama 4000...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Looking for partiners in Opening a small industry - Looking for partiners in Opening a small industry Looking for partiners in Opening a small industry
0 Reactions
3 Replies
865 Views
Wana JF hebu mnisaidie hapa, naona mara nyingi vyombo vya habari vinawataja wafanyabiashara wote kuwa ni wajasiri amali hata wale machinga wanaopanga bidhaa zao barabarani. Hivi ni kweli kuwa...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Habari za leo wadau, Nimekuwa na Kuku wa Mayai Kwa Mwaka Sasa, wametaga kiasi chake ingawa kwa kipindi cha mwezi sasa wamesitisha kutaga, so tangu walipoamua kugoma huko nami nimewabadilishia...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Msaada tafadhali, Kutatua tatizo hilo. Chakula chenye virutubisho vyote wanapata na maji vyakutosha, pia wana sehemu nzuri za kutagia na kutotolea. Kwa ujumla huduma zote wanapata., ila tatizo...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Make a commitment to yourself to succeed. Tell your self it is okay to ‘fail'. Remember, if you are not failing you are not trying something new, therefore are unlikely to be succeeding...
1 Reactions
0 Replies
922 Views
ELIMU BIASHARA UJASIRIAMALI NI UJENZI Ujasiriamali huwa unaanzia mbali toka kwenye kuzaliwa kwa idea mpaka kuja kusimama. Siku zote ujenzi wa Msingi unaanziaga chini kwenda juu, hata...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu itifak imezngatiwa. nataka kuanza iyo biashara ila mtaji wangu ni mdogo ,,natafuta mtu mwenye mtaji mkubwa ili tukienda kununua ng'ombe nitakuwa naongozana nae mikoani kuleta dsm...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Naomba nifahamishwe ni wapi kilipo chuo kizuri na kinachofundisha kiutendaji zaidi katika fani ya ushonaji hapa Tanzania. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
11 Replies
7K Views
ELIMU BIASHARA MAISHA SI YA BABAAKO Maisha bana raha sana, haswa ukiwa unayaishi vile unataka au unatamani wewe. Japo yana changamoto zake, hatukatai ila unazikabili vipi. Maisha ni yako wewe...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Natumaini Nyote mu wazima wa afya. Nahitaji vifaranga aina ya kuroiler aged from 1 day to 1 month....au mwenye network anipatia mawasiliano ya mwenyenavyo me napatikana Mwanza!! 0754542300
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mafunzo ya kilimo cha ufuta
0 Reactions
0 Replies
3K Views
ELIMU BIASHARA MAGUMU YASIKUTISHE Wengi wanaacha kutimiza malengo mara magumu yanapotokea lakini magumu ni kichocheo cha kuinoa akili yako kutenda katika viwango vya juu vya ubora lakini zaidi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
yeyote anayefanya biashara hii au kuna mtu anayemjua anayefanya naomba ani PM tuongee.
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Ninauza kwale nipo Dodoma mmoja shiling Tshs 20,000 Kwa Mawasiliano 0718394896 na 0684 244 291
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Habari wadau, Naomba kujua taratibu za mimi kuanza kukopesha pesa kwa watu kwa dhamana na rejesho kwa riba. Mpango ni kuanza local tu bila kampuni, hii kitu inawezekana na ina wateja??
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Back
Top Bottom