Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Kwa mahitaji ya huduma za uandishi juu ya maswala ya research proposal, research dissertation, data analysis, Project proposal write up, Environment management and Rural livelihood education...
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Kuna mtu amependekeza kuanza biashara kwa sh 5000, kama kawaida waungawana humu jf wamedai apeleke huo uzi wake joke forum. Lakini mie nna mtazamo tofauti hapa. Kwamba bado hiyo elfu tano inaweza...
19 Reactions
106 Replies
33K Views
Habari ni maeneo gani naweza kupata korosho hapa nchini? Kama kuna mtu Anajua please nitafute nipo serious.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana Jukwaa Salaam. Nina shida ya dharula na ya haraka sana ya Tsh. Ml. 20. Kuna project yangu moja imekwama na inahitaji pesa ya haraka sana. Nitarudisha ndani ya siku 30 kutoka siku...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mwenye ufahamu juu ya hiyo miparachichi naomba anijuze kwani nipo Wilayani Kilolo-Iringa,ni eneo lenye mvua nyingi za masika,joto la wastani,udongo wake ni mgumu na ni kama mwekundumwekundu,je,kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello every1, Nauza huyu mbwa wa kike aina ya Rottweiler.Nilimnunua kutoka Kenya na kumfundisha "basic obedience" pamoja na guard instincts kumanisha anaskia ukimwambia sit,down,come,leave...
2 Reactions
129 Replies
19K Views
wakuu heshima kwenu, Nimekuwa nahangaikia kupata habari au msaada wa mawazo kutoka sehemu mbalimbali nafikiri na hapa jamvini lazima kuna msaada mkubwa wa mchango naweza kupata kwani naamini hapa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Asalaam wakuu,,mimi ni mwalimu niko tabora vijijini ,nataka kupata mkopo ,itakua nmb sababu ndo akaunti ninayotumia kazini,,process ni zipi na itachukua muda gani?,,,
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Wadau humu kuna watu wanajiita ni wakulima wa viazi, vitunguu, nyanya, tikiti nk mradi yumo tu naye.. Anafikia wakati anasema um pm... Ili aku add group Fulani labda vitunguu nk.... Uki mp...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Habari zenu wadau, Swala la ajira limeshakua msala, Mi nilikua naomba kama tunaweza tukajiunga watu wasiozidi kumi kwanza na kuanzisha magazine yetu ambayo itakua imejaa madini (points) na hata...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari wajasiriamali mwenzangu, Pata kuku wenye zaidi ya Kilo 3 kwa TZS 13000 tu,ni Retired Parent Stock katika species ya Arbor Acer. Wametuzwa kisasa kabisa,kama utahitaji maelezo zaidi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu?, mimi nina kiwanja kipo iringa mjini na tayari nimejenga msingi nahitaji kujulishwa kama naweza kukitumia kupata mkopo wa milioni 3 na ninauwezo wa kurudisha laki moja(100,000) kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani nina mshahara wa laki mbili tu, na ninamke na mtoto mmoja,hivyo naiona ni pesa ndogo sana make ndo naitegemea kula kuvaa na kila kitu,so nifanye nn ili niweze kujikizi vizuri na kufanya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Bidhaa zote hizo zilizotajwa apo juu zinapatikana kwa bei poa tu ! laptop zipo dell latitude , hard disk gb 500, ram gb 4, procesor ni core i5, zina web camera, wireless, hdmi na bado zipo kwenye...
0 Reactions
0 Replies
749 Views
jamani natafuta watu wenye shida na kuku wa kienyeji kutoka nauza kwa bei nafuu sana kuku,jogoo mmoja ni shilingi 12000 na tetea shilingi 10000,nipo mbeya ni kuku kutoka malawi.napokea order...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Mohammed Dewji, CEO MeTL Group. Mo Magic: A Week With Mohammed Dewji, Tanzania’s Wealthiest ManBy Uzodinma Iweala Mohammed Dewji is the third generation of a family of successful Tanzanian...
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Habari wadau. Niko dar mpaka tarehe 26. Kama kuna mtu anayeuza hao viumbe hapo juu kwa ajili ya kufuga naomba anicheki.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nina million5 mkononi,nahitaji ushauri wa nn niifanyie kama biashara,asanteni
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wale wanaopenda kuanza kuifanya biashara ya nguo za mitumba au hata kwa wale ambao wanaendelea nayo,napenda kuwatangazia kwamba napokea order ya idadi ya nguo yoyote ile na tunakusafirishia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wadau naitaji mkopo wa laki tatu maAna nina line ya tigo pesa naitaji kuweka mtaji ktk line hiyo tafadhalini mnisaidie mtaji huo then ndani ya mwezi mmoja nakurudishia with negotiable...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom