Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Nilitaka kujua kampuni gani ya chakula cha mifugo hususani kuku kwa sasa kina soko zaidi. Nimesikia kampuni za Hill, Falcon, n.k. Naweza pata mawasiliano yoyote?
0 Reactions
1 Replies
8K Views
heshima kwenu wadau kama heading inavyojieleza,nahitaji kufanya ujasiliamili huo tajwa. anaejua kuhusu mahitaji,hatua na taratibu za kufuata atuelimishe ili tuanze kujiajiri mapema maana huu...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Salaam kwa Wote humu! Nahitaji kujifunza Ufugaji Bora wa Kuku na mifugo mengne kwa kuona jinsi wengne walivyotengeneza Mazingira mazr na Jinsi wanavyofanya au kuendesha ufugaji vzr. Msaada...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika pitapita zangu mitaani, nimegundua kuwa kuna uhitaji mkubwa kwa bidhaa ndogo ndogo kama Ice cream, koni, bisi, bites, vinywaji baridi etc etc. Kutokana na hilo, ninataka kama itawezekana...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Wajumbe, naomba anaeifahamu wilaya hii kwa undani anisaidie in terms of ufugaji na kilimo... Maeneo ya pembezoni mwa mji. Karibuni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni msaada wenu wataalam wa biashara kuhusu upangaji wa bei za bidhaa na huduma. Mimi ninataka kufanya biashara ambayo inahusiana nambo ya IT. Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu au...
1 Reactions
16 Replies
9K Views
Wadau nilnatafuta soko la uyoga Nimelima kilo 300 but kilo 100 zimeshapat mteja bado kilo 200 naomben Msaada wenu!!!
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari jamani; Naomba msaada wa haraka kuku wangu jogoo wa Malawi anaumwa mafua hadi namuonea huruma yamembana kiasi cha kukoroma na kuziba mdomo, sijampatia dawa yeyote naomba mnisaidie aina ya...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu, napenda sana ufugaji kwa sababu ninajua unaweza kunitoa. Nimejaribu kufuga kama 300 kutoka kampuni fulani lakini hawatagi vizuri. Wana miezi saba na zaidi kidogo lakini napata trei 4 tu kwa...
2 Reactions
5 Replies
7K Views
Heshima kwenu GT na imani huku kuna watu wa kada na nafasi mbalimbali katika taasisi za umma na binafsi na hata pia wale wajasiriamali. Sisi tupo wawili ambao tunailiki kampuni ambayo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama mwanzo wa makala ya hivi punde ya African Dream,mwanabiashara Mercy Kitomari-ambaye alianzisha kampuni ya kutengeza aiskrimu hai ya Nelwa's Gelato-anaeleza mbinu kumi bora anazotumia katika...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza kuku chotara wa miezi mitatu mpaka mitano..wanapatikana mbezi msumi.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Heshima kwenu GT na imani huku kuna watu wa kada na nafasi mbalimbali katika taasisi za umma na binafsi na hata pia wale wajasiriamali. Sisi tupo wawili ambao tunailiki kampuni ambayo imesajiliwa...
1 Reactions
0 Replies
785 Views
Karibuni sana tufanye biashara;asali ya nyuki wakubwa dumu la lita 20 nauza 120000/= ;asali ya nyuki wadogo dumu la lita 5 nauza 75000; niko Makambako - Njombe; kama unahitaji mzigo nitafute kwa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Natafuta eneo la kufungulia mgahawa kwa Dodoma mjini au moshi mjini au arusha mjini kwa anaejua eneo lilipo. Naomba tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye history/ histocal background au link ya profile ya Paul Mashauri aniimbox please.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
We have empty cargo containers (20ft and 40ft) in excellent condition available for sale..
0 Reactions
4 Replies
1K Views
mimi ni kijan anina umri wa miaka 22 nina kiasi hicho cha pesa mkononi naombeni kuuliza nifany biashara gani ili pesa yangu izalishe elimu yang ni diploma ya IT pia nina nina computer 2 zeny spesc...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wana JF, Nakuja mbele zenu kuomba ushauri kwenu, ushauri wenu uzingatie mambo yafuatayo. CAPITAL/LOAN: Nimeamua kuchukua Loan ya 30M bank flani na nyumba yangu nimeamua kuweka rehani...
1 Reactions
49 Replies
10K Views
We provide efficent software solutions, easy to use,scalable enough to take your business next level. View our portfolio Olcomlabs (T) - Software Development | Mobile Development Tanzania, Data...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom