Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Ndugu zangu naomba munipe muongozo, nina pesa 500,000/=, niifanyie nini? Maisha!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari Wakuu Nataka kufungua kampuni ya usafi, ambayo itakuwa inafanya usafi katika maofisi, manispaa, mashuleni, majengo ya biashara nk. Naomba mwenye details za kutosha za jinsi ya kusajiri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi mbungani mwanza nina kiasi cha shilingi laki nne na nusu sasa naomba wana JF mnipe mawazo kitu hata kama ni chA kawaida nawezaje zalisha na kuanzisha kibiashara...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Am a man with troubleshooting ideas. self independent may am is to open my on business but until now i have just bought printer and computer ready to open a stationary to start with but i have...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa; Naomba kujuzwa wapi naweza kupata kitambaa kama cha mpira niweze kushona sketi kwa ajili ya sketi fupi (penseli). Maana nataka nibuni sketi nikajaribu kufanya biashara. Naskia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Haya haya jamani yule bingwa wa masuala ya ufugaji, uuzaji na usambazaji wa kuku wa kisasa, ninauza kuku. Kwa wale wa tenda za maharusi, watu wa bar, watu wa sokoni, na kadhalika. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau? Miye ni mjasiriamali mfugaji wa kuku wa kienyeji + chotara, kanga pamoja na bata mzinga, shughuli yenye takribani zaidi ya mwaka sasa, changamoto nayokabiliana nayo saizi ni...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
halo wandugu, baada ya kupitia makala nyingi nimeona na mii naweza kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji na kisasa nimeplan kujenga mabanda mawili ya urefu wa futi 20 na upana wa futi 16. moja kwa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Naomba kuuliza hivi...Ukiwa na vifaranga 100....local.... Utaitaji kilo ngapi za chakula uvilishe kwa week... Vya siku1-week
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ndugu wajasiriamali wenzangu nataka kuanza kilimo cha umwagiliaji maeneo ya mto Ruvu. Kwahiyo napenda kufahamu kwa wazoefu ni mazao gani yenye soko la uhakika jamii ya mboga mboga na matunda...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Namini msemo usemao kidole kimoja hakivunji chawa. Na umoja ni nguvu. Mm ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, nina ujuzi na uzoefu wa eneo hili. Nipo nje kidogo ya dar kilwa road. Tayari nimesha andaa...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Mimi ni mkulima hapa Dodoma sehem ninahitaji pikipik ya kuhimili milima na makorongo makubwa yenye mchanga kwa ajili y kutembelea mashamba yangu. napendelea aina zufuatazo za pikpik baja 250...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ninayo nyumba Magomeni Dar, Je vipi ninaweza kuzitumia Bank kujenga Ghorofa Ambayo ikodishwe na kulipa Bank ? Naomba michango yenu wadau. Ahsante Sana.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimepata ujumbe huu kwenye simu yangu. Je hawa wapo kweli? Nukuu: RED EDGE SACCOS LTD inatoa mikopo ya Ada, Pango la nyumba bila ya dhamana. Pia Bajaj, Pikipiki, Solar power, Fedha na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza nimeweza nunua shamba langu ekari kumi Kiwangwa. Kwa kweli nimefurahi sana. Ila sasa wanajamvi nishaurini nifanye nini nilime nini Kiwangwa Mamboela. Nimeona mashamba makubwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujua sehemu ambayo mafunzo ya ujasiriamali yanatolewa.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wadau, kuna kampuni au watanzania wanaoshughulika na uletaji/usafirishaji wa mizigo toka USA? gharama zao zipoje? kama kuna watu wameshwatumia, experience yao ipoje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kama nina pesa taslim sh. milion moja. 1 naweza kuifanyia nini ili nisonge kimaisha
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Jamani nina mtaji wa tsh 1000000 nifanye biashara gani? naomben ushauri wadau.
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Wadau! Hivi naweza pata mashine ya kuangulia mayai isiyotumia umeme!
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom