Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Ni vifaa gani vya muhimu sana vinahitajka? na bei zake
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu Mdau Habari yako. Kwa muda nimekuwa nikifikiria uwezekano wa mimi kujiingiza katika biashara ya mbao (haswa kutoka Iringa) Nilichoambulia ni kwamba biashara hii ya mbao. 1.huweza...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Washikadau, Makala muhimu ya UFUGAJI wa KUKU kwa maendeleo binafsi na kwa taifa. Ni wakati wa kuthubutu na kuchukua hatua. Karibu
6 Reactions
82 Replies
14K Views
Pole na miangaiko ya kidunia. Nataka mwenye uzoefu na kuuza mtumba ili aweze kuelezea wapi zinapatikana kiurasi zile za jumla(Baro) kwa sababu nataka nianzishe biashara ya nguo za Mtumba.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wakazi wa Dodoma tunao kuku wa khliwa Xmas hii 2014. Bei ni nzuri kwa kuwa tunafuga wenyewe hakuna mtu wa kati/midddle man. Piga 0656345348. Pia tunauza vifaranga wa umri mbalimbali na...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Kutakuwa na mkutano wa fursa ya biashara kwenye ukumbi wa New Safari Hotel kesho jumamosi(20/12/2014) saa tisa alasiri(15:00). Kiingilio ni bure. Kwa mawasiliano zaidi piga 0753499766
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mimi ni member kwenye group moja huko Facebook. Members wanajadili sana mambo ya ujenzi mpaka wamefikia level za kuonana na kufanya vikao kujadili mambo mbalimbali. Hao wadau...
9 Reactions
20 Replies
3K Views
Good day wandugu, nahitaji kujua wasambazaji wa matrekta ya New Holland wanaopatikana hapa Dar es salaam. Thanks.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Guys nina plan la kufanya research kuhusu Greenhouse farming......ninaishi Dar na ningependa kufanya research na kupata mawaidha mawili matatu hata kwenda kuangalia angalia baadhi ya sehemu hapa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau? Jaman mie nauliza kama Ruaha panafaa kwa kilimo cha mbogamboga kama nyanya, vitunguu hoho na kadhalika. Nimepata shamba kijiji kimoja kinaitwa msolwa. Ni mbele ya hifadhi ya Mikumi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau nipo kongwa dodoma nataka nifanye kilimo cha mahindi mabichi kipindi naona mwenye kujua bei soko kwa hindi moja anijuze
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Natafuta kijana au msichana mwenye ujuzi wa kutumia cherehani, kijana awe muwajibikaji mwenye kiu ya mafanikio ya muda mrefu. Tafadhali wasiliana na mimi PM kwa maelezo zaidi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habar,nilikuwa napenda ushaur wenu wa kina juu ya uanzilishi wa biashara ya kawaida ya uzalisha wa mtaji wa 50-60m nijiusishe na biashara yenye chachu na tija la kimaendeleo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu,nipeni mwongozo ninamashine ya kusaga na kukoboa napia nafuga nguruwe had sasa wapo 18,nifanyeje ili nipate mkopo bank kwni lengo ni kuongeza had wafike 250 kufikia mwisho wa mwaka...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Samahani ndugu zangu naomba mnisaidie aina kuu za ujasiriamali. ni muhim nizifahamu kabla sijaanza biashara.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ninayo dawa/chanjo ya kienyeji kwa ajili ya kuku. Kamwe hatokaa apatwe na maradhi hasa zaidi kideri. 0682556938. Asante
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mwenye majogoo ama taarifa yoyote ntakapoweza pata majogoo aina ya white leghorn tujulishane tafadhali.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwa kifupi sana naandika, amka mkulima, mshikane nchi nzima, mkatae kuuza mazao kwa madalali, mpange bei zenu wenyewe, tuwe na centre za kuuzia mazao yetu kikanda. tulime kwa kalenda, wanunuzi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji vifungashio vya kuweka bidhaa za unga unga kama mdalasini zenye ujazo wa gramu mia.pamoja na mifuniko yake nikifunga ziwe sield.,pia mnaweza nielekeza wapi vifungashio vinapatikana
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom