Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari, wanabodi. Nimepanda vitunguu muda si mrefu (kama two weeks hivi) tatizo Ninakabiliwa na uvamizi wa panzi shambani. Wanakula sana majani ya vitunguu. Nifanyeje au Nitumie dawa gani? Msaada...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Who wouldnt agree with me that the era we at right now there is no such thing as Job security? Have you ever thought of What if the company you work for goes bankrupt? What if a new management...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau Naomba msada ..kuhusu biashara hii ..inalipa? na je inaitaj mtaj kiasi gan.? pia unaitaj ujuzi wowote?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
wapendwa miche ya chainizi spinach ina pandwa baada ya mda gani tangu zilipo siwa?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani nataka kuanzisha ufugaji wa kuku wa kienyeji,naomba mwenye kujua wapi naweza pata vifaranga waliochanjwa kwa hapa Mwanza. shukrani kwenu
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Closed
Habari zenu. Kutokana na umuhimu wa topic yenyewe inavyowasumbua wajasiriamali wengi wadogo nchini, nimeona umuhimu wa kutoa nafasi hii kuwafahamisha siri kuu 4 usizozijua wazitumiazo...
3 Reactions
101 Replies
18K Views
HI.Wana JF nadhani kila mtu anajua kuwa ukitaka ufanikiwa lazima uwe mbunifu na utumie taaluma yako kupata pesa. Kwa bahati mbaya wengi mafunzo tuliyopewa huko tulikosoma yalikosa kipengele cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jipatie incubator ya mayai 5000 ni automatic na ni mpya kabsaa. Usage reptile,chicken,piegon,turkey,ostrich,duck,emu. Bei ni 6mil. Mawasiliano zaidi ushokola2002@gmail.com au ni pm. Nipo Dar.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
To all women in business, it is time for the next move. The Dar Business Women's Club brings you the "WOMEN ON THE MOVE" event to be held in August 23rd, 2014 at Malkia's Mikocheni. The aim of...
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Due to so many enquiries about our services which range from greenhouse farming,poultry and quails, rabbits and dairy goats,drip irrigation installation to value addition on farm products,making...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Imekuwa ni kawaida kwa watu wengi kutambua pesa kama mtaji wa kila kitu katika biashara , lakini katika ulimwengu wa biashara iko tofauti pesa sio mtaji bali pesa ni kiasidizi cha mtaji . Leo...
3 Reactions
13 Replies
7K Views
habarini wana ndugu... naomba msaada wenu..kwa pale nyegezi SAUT university ni biashara gani iko poa kuanzisha kwa eneo kama ile. japo kuna competitors wengi hasa kwa upande wa vyakula ntajikita...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nataka kujiingiza rasmi kwenye kilimo cha miparachichi,nanuia kufanya research yake lkn nimeleta wazo hl kwenu kwani mnaweza kunipa elimu yake na kwa manufaa ya wengine.Shortly nipo Kilolo-Iringa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana j ninaproduct zangu ambazo ni man made na zimesambaa sana maeneo mengi tanzania Descriptions: 1:pochi za kiume >za kushona na kufuma(ukiziona zilizotobolewa na kupitishwa uzi ni part of the...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Deleted
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau vipi kwema wote kwa walio arusha kama unahitaji kiwanja au shamba nicheki ila kuna kuwanja pia maeneo ya boma saira karibu na masai camp mita 27 kwa 21 pia natafuta kiwanja ambacho kipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu naomba kupatiwa elimu kuhusu mambo ya VIKOBA. nawaomba kuwasilisha.
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Heshima kwenu wadau. Naandika kama mwakilishi wa vijana graduates tuloamua kuwa na firm ya kuzalisha maji ya kopo nje ya dar. naomba kuuliza kwenu mahali panapotengenezwa chupa za maji mbali na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi.natafuta soko la viungo vya chai km mdalasini wa unga na mchaichai wa unga.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wana ndugu kwa wale entrepreneur kuna youtube nimeona itakuwa helpful...kuna episode ya kwanza mpaka ya sita,niliona katika pita pita yangu youtube kuhusiana na business plans..its very good ep...
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Back
Top Bottom