Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Nauza tray tupu za mayai tsh 350. Piga 0714 045 080.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naamini kuna wajasiriamali wengi tu wapo humu JF ambao wanajishughulisha na kutengeneza logo.kama wewe ni mmojawapo naomba tuwasiliane
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani nahtaji kasuku wa kununua ila wawe wale wakubwa kama wanaopatikana congo au brazili...kama kuna mwenyenao aniPM
0 Reactions
2 Replies
2K Views
hello friends.... plz assist me with business ideas that ranges from 2-5million that wil meet daily peoples demand...and incase of starting up a mini supermarket wat wil be the initial capital...
0 Reactions
1 Replies
776 Views
Habari wandugu, Naomba kuuliza wana jukwaa hili, Hivi ikitokea ukapewa shillingi za kitanzania milioni 100 ukaambiwa uzifanyie biashara. Je ni biashara gani utafanya?
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Nahitaji papai kutoka shamba kwa bei ya jumla na isiwe mbali sana na jiji la Dar es salaam.Aweke namba zake hapa.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habar wana jf. Kwa wale wanaohitaji mayai ya kuku wa kisasa, tuna uwezo wa kutoa tray had 20 kwa siku au 100 kwa wiki. Bei ni tsh 6500. Maongez yapo. Karibun sana.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Nimekua nikipitia jukwaa hili mara kwa mara, na ukweli hili jukwaa limenishawishi sana kua mkulima. Nimeshanunua Ardhi sehemu mbalimbali, iliyobaki ni kuanza tu kilimo. Sasa basi...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari zenu wanajamvi. Naomba mwongozo juu ya wapi nawezapata tray ndogo za mayai (mini trays) za kubeba mayai sita(6) na kumi na mbili(12).
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zangu watanzania! Nina wazo la kufungua kampuni lakini sijui pa kuanzia na nimalizie wapi. Najua wapo wenye mawazo makubwa na nafasi ya kunisaidia niweze fikia lengo langu. Nimechoka na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habar zenu wandugu.kuna mtu anatafuta fundi wa kushona mkaz wa Dsm awe na jinsia ya kike.kwa aliyetayar ani pm tafadhali.cku za kuja ni jumamosi na jumapili tu na malipo ni 40000/= kwa cku hzo mbili
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Habari wakuu, Nimeandaa eka 2 ajili ya kupanda kitunguu swaumu. Sasa nilipotegemea kupata mbegu imeshindikana. Basically nahitaji kitunguu swaumu kilichovunwa mwaka jana. Kinakua kimekomaa na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza kwale wanaotaga mmoja ni 18000 na mayai ya kware trei ni 20000. Tafadhari tuwasiliane niko mbweni. 0754814800
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu,nimefikiria juu ya wanyama wanaofugwa kwa ajili ya nyama na maziwa. Sijawahi kusikia kuhusu kondoo wa maziwa. Lakini wapo mbuzi wa maziwa na ng'ombe wa maziwa. Maziwa ya kondoo yana shida...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari zenu wanajf, ningependa kufahamu mahali ambapo nitaweza kupata shamba kwa kununua ambalo linaweza kumudu kilimo cha matikiti maji au hata mboga za majani,karoti, bilinganya na hoho..Mimi...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Bei 3,50,000/= wasiliana hapa 0714 045 080.
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Habari zenu wana jamvi! Ninakusudia kufungua duka la vifaa vya umeme, naomba msaada juu ya uendeshaji wake, kima cha chini ambacho ni kizuri kuanzia mtaji, hasara na ulipaji wake, na changamoto...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nina mtaj wa million mbil je unafaa kuanzisha biashara n if yes ni biashara gan mim biashara nilizokuwa nawazia kil nikijaribu kuuliz ambao wanafana wananiambia mtaj million mbil kwahy imekuwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Reuters) - The world's largest chicken breeder has discovered that a key breed of rooster has a genetic issue that is reducing its fertility, adding to problems constraining U.S. poultry...
0 Reactions
1 Replies
816 Views
Niwakati wa kua Makini na Mikataba ya uwekezaji ya Kilimo- kulingana na upeo na fikra na ulimbikeni wa viongozi tuliona-tusipokua makini matokeo yatakua ni tofauti na matarajio ya wananchi... ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom