Jamani nimeanza ukulima wa vitunguu, tatizo miche inapukutika sana kwenye kitalu. Inanyauka, japo naimwagilizia kila siku. Ni Mara yangu ya kwanza kulima vitunguu.
Msaada please.
Habar zenu wapendwa
Samahani kwa wale wanaotumia machine ku print vitu kama tsht vikombe na vingine ... samahan naomba kujua bei ya tranferpaper na wapi naweza kupata
Habar wana Jf, mm ni kjana niliehitimu diploma ya masoko na mauzo kutokana na upatikanaji mgumu wa ajira ninaomba kwa mtu yeyote ambaye ana wazo zuri la biashara naomba anisaidie kuniambia then...
Habari wakuu
Nimeuona uzi hapa jukwaani unaozungumzia biashara ya juisi na matunda kwa ujumla nikaona si vibaya ku-share idea yangu ambayo nimeiona kwa muda mrefu ila imekosa ubunifu mzuri.
Kwa...
Asilimia kubwa ya watu hutengeneza nembo(logo) kwa sababu tu wanahitaji biashara yao ionekane inanembo lakini umuhimu wake hawaujui.
Nembo ni alama maalum ya kwako peke yako inayokutambulisha...
kwa wafugaji wa kuku wa kienyeji..
Tafadhali naomba ushauri wenu.. ndio naanza kufuga kuku hawa, nimeagiza wa kuanzia kutoka mkoani.. (Niko dar kuku nawachukua Rombo - kilimanjaro).
Naweza...
Habari za kazi wakuu.
Ninaomba msaada, hivi karibuni nimeanzisha mradi wa kuku wa mayai, wapo kidogo tu kama 400 hivi kwa majaribio. Wana miezi miwili sasa, nilichobaini ni kwamba chakula chao ni...
Heshima zenu wakuu,
Naomba kumtembelea Mjasiliamali yeyote anaefuga kuku kwa Hapa Dar, Kikubwa ni kupata uzoefu kidogo hasa kwenye mapangilio wa Banda na vitu vingine. Kwa yeyote alietayari...
HAY WANAJAMVI WENZANGU
Mimi ni mfanyabiashara na ni mbunifu wa upambaji katika kumbi mbalimbali za sherehe mbalimbali zikiwemo harusi, kitchen party, kipaimara, misiba na mikutano mbalimbali ya...
Biashara haiangalii unaamini kupitia nini, biashara haiangalii wewe ni mkristo,mpagani muislamu au mhindu,lakini kuna imani ambazo biashara inakutengenezea na inataka ufanikiwe kupitia hizo...
Rafiki yangu na msomaji mzuri wa AMKA MTANZANIA bwana Jiduma Luhende kitambo kidogo alinitumia kitabu hiki kinachoitwa Why Youre Dumb, Sick And Broke kilichoandikwa na Randy Gage.
Baada ya...
Mambo zenu wanajamvi. Leo nimeona niongelee kuhusu kilimo na mchango wake katika kuongeza ajira kwa vijana wengi japa nchini. Katika vyombo vya habari kumekuwa na watu wengi wakiwa wanafanya...
Ndo nimemaliza chuo this year. Ajira hazipo na kama zpo hazitatimiza ndoto zangu za kwenda brazil kucheki world cup! Chumba kitupu kipo hapa home ndo nataka iwe ofice yangu! Nitaomba kwa family 2...
10 Reasons Why You Will Never Become Rich
1) You spend too much
2) You do not save enough
3) You have to much debit
4) You put all your eggs in one basket
5) You do not have insurance
6) You do...
Wakuu ninaomba ushauri wa nini hasa napaswa kukifanya ili mradi wangu uwe na tija na ufanisi ili kupata matokeo ninayoyatarajia.
Iko hivi:
Baada ya kuchunguza hali halisi ya ajira kwa vijana...
Jamani nimeanza ukulima wa vitunguu, tatizo miche inapukutika sana kwenye kitalu. Inanyauka, japo naimwagilizia kila siku. Ni Mara yangu ya kwanza kulima vitunguu.
Msaada please.
Mie nipo wilaya ya Ruangwa mkuoa wa lindi, nina mawazo mawili ya biashara ambayo ni;
1. bookshop
2. studio ya picha na video shooting
Naomba msaada kwa wenye idea au uzoefu kati ya wazo moja hapo...
Naanza kwa salutation kwa wote, ninaanzisha biashara ya dagaa wakavu wakubwa wasafi, ninaanza na gunia 10.
Nipo Musoma mjini naomba mnijuze masoko ya bidhaa hii na kwa alie tayari kunitaarifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.