Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari za Leo wanajamii forum jukwaa la ujasiliamali.....Naomba tafadhali kwa yeyote anayeweza kunipa market connection ya Wale wanunuzi wa kuku wa kienyeji (kwa jumla) kwa hapa daresalama Naomba...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wakuu, naomba mjuzi wa kutengeneza pop corn zilizo bora na zitakazopendwa na wateja kwa ladha yake. tunayo machine ya pop corn lakini tunakosa ujuzi wa kuweka manjonjo hivo tuko tayari kujifunza...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
kwanza napenda kuwasalimu.na poleni kwa majukumu.Nimekuja hapa jukwaan kuomba msaada wa mawazo.Mimi ni mwajiriwa wa serikali(mwl) kipato changu hakikidhi mahitaji yangu ya kila cku.napenda sn...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau naomba ushauri, nataka nifanye biashara ya kufuata Laptop China then nije niuze bongo, so naomba kama kuna mtu anajua jinsi ya hiZi biashara za kufuata china zinavyofanyika, anipe...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji line ya M PESA bei ni 180,000 tu. call 0754827198, au 0716099463
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta shamba kwa ajili ya kilimo maeneo ya mkoa wa pwani. mwenye nalo anijulishe
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf Nimeona deal somewhere ambalo naweza pata cash ya kusukuma life natafuta packaging containers kuanzia mifuko,chupa ,mabox na kadhalika nataka niwe dealer wa mambo hayo je wapi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naombeni ushauri juu ya pump gani nzuri yenye ubora ya kuvuta/kunyonya maji mtooni kwa ajili ya kumwagilia shambani.Size iwe inch 3 Naombeni pia mnijuze ni ipi bora kati ya ile inayo tumia disel...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau Ninatoa huduma za UCHAPISHAJI (PRINTING) wa documents mbalimbali kama vile:- INVOICE BOOK, PROFORMA BOOK, RECEIPT, CASH SALE BOOKS, ANNUAL REPORT, MAGAZINES, BANNERS, STICKERS...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa mwenye kutaka au kufanya udalali wa kuliuza wasiliana kwa 0719268558
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu, Kwanza nashukuru kwa kunipa hamasa ya kuingia kwenye kilimo. Inshallah mambo yakienda vizuri nategemea kuwa na mahindi kama gunia 800 au zaidi mwezi wa saba mwaka huu hapo...
2 Reactions
32 Replies
5K Views
Wadau natafuta line ya Tigo Pesa....sitaki ya kununua kwa mtu ila kama kuna mdau yupo Tigo.....PM bei.......!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Refer2Money.com Get Your Guranteed Home Job for 1500$ weekly
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani maisha magumu na kamshahara kangu nahangaika tu mtaani. Naombeeni ushauri ni namna gani nifungue biashara ya kujikimu ili niachane na maisha ya kutegemea mshahara wadau
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Refer2Money.com Get Your Guranteed Home Job for 1500$ weekly
0 Reactions
0 Replies
645 Views
Heshima kwenu wadau . Mimi nilisoma hapa kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji mwezi March.nikanunua maji 10 jogoo 1 .wakafa 3 . sasa hivi tunavyoongea kuku wapo vyema na nina mayai zaidi ya 20...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama unaitaji kujiajiri katika nyanja za mambo ya designing na printing unaweza kunitafuta kwa namba 0718 572 422 au 0754 570 510 ninatoa mafunzo kwa program za adobe photo shop, adobe indesign na...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Jamani kutokana na vuguvugu la katiba mpya na muundo wa muungano kuna fursa zimejitokeza anayeweza achangamkie fasta. Iko ivi tengeneza bendera za Tanganyika za ukubwa tofauti. Print t-shirt...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nataka nilime vitunguu. Na kwa uchunguzi mdogo nilioufanya nimegundua ili upate mbegu halisi ni vyema ukanunua kwa wakala wa mbegu.sasa nitamjuaje kama huyu ni wakala halisi? Kwa anayemfahamu kwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu. Kwa mwenye uelewa wa hii biashara ya kuuza magodoro anipe mwongozo. Mtaji angalau kiasi gani cha kuanzia? Faida yake ikoje? Changamoto zake vp? Viuzwavyo pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Back
Top Bottom