Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Mwenye mzigo Dar kwa bei za kizalendo anaweza tupia ujumbe 0755870415
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa maeneo ya kinondoni B mtaa wa Togo nyuma ya Open university bei mill 80 pia maelewano yapo zaidi wasiliana 0787389522
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimechukua fursa ya kufuga Kwale(quails),ndege Wa kipekee,adimu, na mwenye faida kibao kwa binadamu.Kwa miaka mingi amekuwa maarufu barani Asia,Ulaya,na jirani zetu wa Kenya katika kufugwa na...
1 Reactions
25 Replies
10K Views
Heshima kwenu. natumia simu hivyo nitaandika kifupi. _kumbe kuku wa kienyeji anaweza kutamia mara saba kwa mbinu ya akishatotolesha unamyanganya vifaranga na unavitunza kama wale wa broila then...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu napenda kujua ni wapi naweza pata hii barley naihitaji sana na ya kutosha, ingawa najaribu kucheki Karatu, Hanang na West kilimanjaro ambapo inalimwa. mwenye info pls
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Heshima mbele wakuu, Nimeamua kujiajiri baada ya kutafuta kazi kwa muda mrefu, nimeanzisha biashara ya masoko, natafuta masoko kwa kulipwa kamisheni, hivyo basi nawakaribisha watoa huduma wote...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau nauza layers wangu wanataga kwa miezi 4 sasa..wapo 850 nauza 8000 kwa kila 1...niko morogoro lakini naweza kuwaleta popote.Nabadili biashara kwa kufuga zaidi machotara kwa ajili ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wengi wanapenda kutangaza biashara zao, matukio yao ya kijamii, jinsi alivyotokelezea siku husika na mengine mengi. Ulimwengu wa digitali huu. Hifadhi kumbukumbu kwa ajili ya vizazi vijavyo...
1 Reactions
0 Replies
939 Views
Mimi ni kijana ambae nipo Kigoma Vijijini sina mtaji ila nimeweza kuandika mchanganuo wa muladi wa matitkitti maji nina mashamba hivyo Naomba Musaada wa mutaji na ntaweza kurejesha ndani ya miezi...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari wako unajasiriamali naombeni ushauri juu ya hii biashara ya mchele haswa maeneo ya kuchukua kwa jumla, gharama zake na usafirishaji wake had dar nataka nifanye hii biashara ..mtaji wangu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza ipad laki sita ina 64 gb
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jamvi baada ya kufanya kazi ya kuajiliwa kw muda Nina mpango Wa kufungua kampuni ya matangazo... Naomba mwenye kujua biashara hii...changamoto zake... na pia ufunguaji wake... Nawasilisha
1 Reactions
13 Replies
3K Views
wadau mimi nipo dodoma mjini nna mtaji wa sh. Mill 3, sasa kwa waliopo dodoma naombeni mnisaidie kuzitambua fulsa zilizopo, mana mi nimeziona baadhi ambazo kwa mtaji huu sitaweza kuzitekeleza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habarini, naomba anayeweza kunipa mchanganuo wa vifaa muhimu vya kisasa kwenye salon ya kike na bei zake, nianze kujipanga. KARIBUNI
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari Wakuu, Ninahitaji kampuni au mtu anayeweza kunikopesha mashine hii hapa kwenye picha, nahitaji chombo chenyewe kama kilivyo na siyo pesa lakini sina dhamana. Nitalirejesha deni hili...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Habari wakuu? Kwa sasa unaweza kuwa wa kwanza kabiasa kupata KARI improved Kienyeji, Hawa ni kuku wenye utagaji wa kiwango cha juu kabisa kuliko hata kuku wa Kisasa wa mayai, Kwa sasa unaweza...
6 Reactions
28 Replies
12K Views
Habari za Jamiiforums. Kuku wangu wengi wameanza kuugua mafua, na kufa kwa haraka, Sijui wamekula nini? tangu tarehe 2/2/14 kila siku kwenye banda ninakuta kuku aliyekufa" Msaada wa...
0 Reactions
54 Replies
11K Views
Habari zenu. Nimekuwa nikipata maombi mbalimbali ya ushauri wa mambo ya biashara kutokana na posts zangu ambazo nimekuwa nikiweka humu JF. Na ambayo ilisababisha meseji nyingi zaidi ni ile post...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi mbegu nzuri za vitunguu ni zipi nitajie jina lake. Pia heka moja ya vitunguu hutoa gunia ngapi? Na kwa mkoa wa mara na mwanza gunia la vitunguu huuzwa kwa bei gani?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hallow wana jf... Nmerud tena niko nauza nafaka zote yaan mchele, unga, maharage, mafuta ya alizeti na vingne vngi vyote vinapatikanika kwa bei ya jumla na rejareja. ..... Tena kwa bei nafuu kabisa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom