Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Wadau karibuni Kwa picha zaidi kuonyesha jinsi KILIMO na Ufugaji kinavyowatoa wengine,inaweza kuwa wewe Leo karibu Kwa kitabu chochote cha Ufugaji na aina yoyote ya KILIMO.Piga simu 0758303090
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Wadau, niko Dar na nina shamba la heka 2, nataka kuanza project ya ufugaji Kitimoto. ni wapi nitapata mtaalamu wa mifugo anielekeze jinsi ya kuanza na kuwatunza vizuri?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau walioko kwenye mtandao wa instragram,tembelea page yetu hapo upate mwongozo kuhusu KILIMO biashara.Ununuzi uuzaji na ushauri wa maswala ya KILIMO na UFUGAJI Kwa ujumla. Asante
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu. _Nimekuwa najishughulisha na biashara huku shinyanga kwa muda sasa ila kwa hapa nilipofikia matumaini yametoweka na naona giza mbele. kipindi cha nyuma nilifanikiwa kununua...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari zenu wana jf Katika pita pita zangu hapa mjini kwa kipindi cha wiki mbili nmeona kampuni zaidi ya 6 zinazoshughulika na kuprocess maziwa kama vile;tanga fresh,mara milk,dar milk,profate nk...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari zenu wanajamii?Mimi ni mchungaji ambaye nahitaji kujikwamua na ugumu huu wa maisha. Nina wazo la kutafuta tsh milioni 2 na hapa nina taslim tsh laki 2. Naendelea kutafuta zingine. Nimewaza...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Mwenye taarifa juu ya uuzwaji wa gari tajwa hapo juu naomba anijulishe. Iwe na rangi ya silver na iliyo kwenye good condition kwa matumizi. Pesa ipo cash. Tuwasiliane kwa +255717935721
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bei M7.5 maongezi yapo!!!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tunahitaji godown mbili kariakoo na maeneo ya karibu na kariakoo. 1. Godown lenye ukubwa wa mita za mraba(squire meter) 500 hadi 700 ( 500m3 - 700m3) liwe maeneo ya kariakoo au nje kidogo ya...
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Wana jf nipo chalinze najajishughulisha na uuzaji wa nguo za wanawake kama vile kanga vitenge vikoi madila,wax nk,.Naomba Mwenye Kufahamu Maduka Ya Jumla Ya Hz Nguo,maana Nimekuwa Nikichukulia...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Natafuta mtu mwenye idea ya thailand jamani.mwenye kujua huko au mahali pengine ani pm.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wana jukwaa kwanza nianze kwa kuwasalimu, naimani wikiend ilikuwa nzuri na mmejiandaa vema kuianza wiki. Binafsi namshukuru mwenyezi mungu mwingi wa rehema kwani kiafya nipo vizuri. Lengo kuu la...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Napenda kutoa shukrani kwa wana janvi kwa nilichojifunza humu kwa muda mrefu na kufanikiwa kukamilisha kuandika kitabu cha ujasiliamali chenye kurasa 240.... kiitwacho "THE SECRET(S) OF SUCCESS IN...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwenye uzoefu na biashara ya saloon za kiume anisaidie uzoefu ktk hili nataka kufungua hiyo kitu.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
kiwanja kipo maeneo ya Vianzi karibu na Tank la maji ni tambalale.mita 40 kwa 30 hatua za kawaida.viko 2 on one place.Tsh 4 milion.mawasiliano 0713649555
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa wale wafanyabiashara wa tanzania ambao wanafanya manunuzi ya bidha zao kutoka africa kusini epukeni kupoteza hela wakati unapobadilisha shilingi za kitanzania kwenda dolla alafu dolla kwenda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF niokoeni mwenzenu, niko Mpanda ambako chanjo za kuku hazipatikani sana. Nishaurini njia rahisi za kienyeji za kulea vifaranga kwani huo ni mtihani ambao umenishinda nami nataka kuwa na...
0 Reactions
6 Replies
14K Views
Asalaam wapendwa...niko dar maeneo ya kijitonyama..nna mtaji wa sh milion tatu...na kuna frem nalipiwa mwaka mzima sasa sijui nifungue biasha gani ambayo kila wiki nina uwezo wa kuongeza laki...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau maisha yanachanga moto nyingi sana. kukabiliana nimeingia katika kilimo cha vitunguu. Nakaribia kuvuna mwezi mapema mwwezi huu. naomba msaada wenu kwa yeyote anyefahamu wapi naweza kupata...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Back
Top Bottom