Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

tunauza blog website special kwa ajili ya news,stories na mengineyo.website inaitwa walimwengu.com..kama unavoona jina la website linapendeza na kuvutia website ina muonekano mzuri kwenye desktop...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau wa uzi habariní. Naombeni ushauri juu ya namna ya kuwa FREELANCE ECOLOGIST. Kwa kiswahili kama MWANAHABARI wa MAZINGIRA WA KUJITEGEMEA. Katika hilo nataraji kutafuta na kuzifanyia kazí...
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Wadau wa uzi habariní. Naombeni ushauri juu ya namna ya kuwa FREELANCE ECOLOGIST. Kwa kiswahili kama MWANAHABARI wa MAZINGIRA WA KUJITEGEMEA. Katika hilo nataraji kutafuta na kuzifanyia kazí...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Hivi wakubwa ukiwa na mtaji wa kiasi cha m3, ni biashara gani unaweza kumshaur mtu?
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina kihasi kidogo cha pesa kama 160,000 hivi kwa hio naomba mwenye uzoefu wa biashara ndogo ndogo kwa hapa dar kwa kiwango hiko kidogo cha pesa naweza kufanya biashara hipi.naomba mawazo yenu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wadau Mimi namiliki duka la rejareja hapa mjini,napata shida sana ya kuhesabu bidhaa mara kwa mara,sasa natafuta mashine itayofanya hiyo kaziili kujua kila bidhaa inayotoka kama zile...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza majogoo yako ishirini tu aina ya LIGHT SUSSEX yana umri wa miezi saba yana afya njema. Sababu ya kuyauza ni kwamba ninayo 40 nataka nibaki na 20 tu. bei ni elfu 20 kwa jogoo mmoja...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Napenda tena kuwataarifu wa jf kuwa me ninauza mchele kwa bei ya jumla na rejareja na pia napokea order kwa mazao mbalimbali ndan na nje ya nchi popote ulipo kwa mawasiliano unaweza nitafuta kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa maelezo zaidi 0758 308193
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nataka kuanza biashara ya utotoleshaji wa vifaranga chotara na kienyeji, napenda kufahamu kwa wazoefu wa biashara hii. Huwa mnawalipisha shilingi kwa yai 1 na taratibu zingine.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Naomba msaada wa jindi ya kutembelea Shehnzen, P.R.China. Visa napataje na jindi ya kusafiri na kama kuna ajuaye hoteli bei nafuu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hicho chpmbo aina ya DAU kinauzwa, zaidi inbox kupata maelezo zaid.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mmeamkaje ndg zangu wanajamvi, mi ni mkazi wa mjini Mtwara kuna kazi nimepata ya kusupply chakula mahali fulani na mtaji wangu nilionao nao ni sh.milioni 2 wakati unaohitajika ni 8 milioni hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Karibu Legacy Impresion Company ujipatie logo ( nembo) kwa bei nafuu kabisa na haraka, kuna nembo ambazo tayari zimesha dizainiwa za aina tofauti tofauti, kulingana na tofauti za biashara...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kumekuwa na Mkanganyiko wa matumizi pia ya hivi vitu viwili Branding na Marketing ( Masoko) na imekuwa ni tatizo kugundulika ipi inayotakiwa ianze kati na ipi ni kubwa zaidi ya mwenzake . kwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wanajamii nataman nifanye biashara itayoweza niingizia kipato kidogo mbal na mshahara bt nafikiria cpat jibu. Nisaidien kwa hili
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello wanajamvi!, Natafuta kampuni ya kununua ya freight forwarding and clearing,Nahitaji kuinunua nikiwa kama dalali. Ningependa kujua taarifa kama zifuatazo:- Ina patikana wapi? Ina muda gani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau bei ya TVS ikoje?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hkwa wale wafanyabiashara, wanafunzi, wafanyakazi, waandishi wa vitabu, hadithi. Na wengine wote huduma hii inapatikana kwa bei nzuri kabisa 400 @ page tunapatikana dar es salaam piga simu muda...
0 Reactions
2 Replies
985 Views
Nataka kujiunga na Forever Living products niwe nauza bidhaa zao za alovera kama nyia ya kuongeza kipato changu.wenye uzoefu naombeni ushauri au wale mliojiunga na mko mpaka sasa au mliojitoa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom