Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Jamani kwa majina naitwa Mussa Omary. Ni mwalimu nafundisha sm Mjimpya wilaya ya Tandahimba. Tangu mwezi mei mwaka jana nimeamua kuwa mjasiriamali kwa kufungua banda la biashara ya kuuza simu na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani nifanyaje? Nataka niwe agent wa TBL huku arusha ila kuna mtu kanambia lazima niweze kununua kreti 1500 ndo ntapewa hio kazi. Lakini mi uwezo wangu ni kreti 200,je nifanyaje ili nifanikishe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani eeee kwa wafanyabiashara ya simu au vifaa vya umeme mimi natafuta mtu wa kunifanya tawi lake la mauzo. Niko tandahimba mtwara nami ninauza simu. Kwa alie tayari anitafute kupitia 0788258712
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naitaji kuwa wakala wa gess hizi za kupikia nyumbani wadau nisaidieni nafanya nn
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu Nataka kuanza biashara kuchukua mazao kutoka mikoa tajwa kuja Dar Vitu navyofikiri kuchukua ni viazi, vitunguu au nyanya nilikuwa naomba mwenye uzoefu na biashara toka mikoa hiyo...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Nataka nifanye biashara ya kuuza luku na huduma nyingine. Naombeni ushauri, nitumie kampuni gani ambayo ni nzuri kwa kila jambo hususani commission na bei ya kununulia. 1.Pay point 2.Selcom...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
amani iwe nanyi wapendwa wana jf,naomba kujuzwa kwa jambo lifuatalo;hivi kwa mfano mtu kafanya kazi kwa muda mrefu na mafundi umeme wakubwa akiwa kama msaadizi au 'kibarua' wa fundi kama ilivyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna hili swala la Hydroponics Techinology ambapo ni uoteshaji wa mazao bila kutumia udongo na kinacho takiwa ni maji tu na sehemu ya udongo huwekwa virutubisho fulani. Hii techonolojia inaweza...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wajasiria wenzangu Nina mpango wa kufungua duka la vipodozi hasa hasa vya kina mama siku za karibuni. Kwa yeyote mwenye ufahamu wa kutosha juu ya biashara hii naomba michango yenu.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF naombeni mchango wenu juu ya hili swala,kuhusu biashara yoyote ambayo naweza nikaianzisha bila mtaji. ..
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Habari wadau, Nina mradi wangu mdogo wa bata, kwa sasa wapo kama 50 ukiweka na watoto, mpango wangu ni kuzalisha mpaka nifikie uwezo wa kuzalisha atleast bata 100 kwa mwezi ndani ya mwaka mmoja...
0 Reactions
5 Replies
12K Views
jaman naomba anaejua bei za mashine za kutotolesha mayai zinauzwaje na znachukua mayai mangap.na mengineyo juu ya hzo mashine.nawasilisha wanajamvi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau, Katika kujikwamua na hali mbaya ya kiuchumi, nimehamua kufungua biashara jijini Arusha eneo la sanawari. Tatizo ni kwamba eneo nililopata liko kwenye makazi ya watu. Nimeongea na balozi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za Leo wadau.. Nafikiria kuanza kuuza kuku wa kienyeji, je kuna mtu anafahamu wapi naweza kununua kuku wa kienyeji kwa jumla kwa bei ya chini ili niweze kuja kuuza rejareja dar?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Salam aleikum,bwana Yesu asifiwe.AMEN.Nimekaa chini nikafikiria nianze kufuga kuku hawa coz nimeona ni dili hapa dar.Hivi sasa nimeanza kujenga banda lakini naona kama nimekurupuka coz sijapata...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Poll Poll
pigia kura jina moja kati ya haya matatu tupate mjasiriamali bora wa Jamii forum wa mwaka 2013. 1. Mama Joe 2. Kubota 3. Malila Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 31 December 2013. No Multiple...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Ndugu wajasiriamali. hasa wafugaji wa kuku wa asili. mimi nimefanikiwa kutibu magonjwa mawili ya kuku. kwa tiba mbadara (1) uharo mweupe. nilichanganya vumbi la mkaa na chakula cha kuku nikawapa...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Habari zenu wakubwa,mi nina wazo lakufanya biashara ya Gypsum,sasa kwa yoyote alie na uzowefu wa hii biashara aliowahi kufanya au ambao wanafanya,naomba mawazo kwenye biashara hii au muongozo...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
https://www.jamiiforums.com//index.php?task=106331
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jf wa jukwaa hili, Bado nanunua kuku wa nyama kwa bei nzuri sana, mwenye nao asisite kunitafuta kwa 0785168001, na uniambie unao wangapi na mambo mengine tutawasiliana.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…