Hii kamuni iko Arusha na inascheme kama ya DESI.Unarusisawa kupanda bila kuzuna.Niliwatembelea siku moja mitaa ya Kijenge kujua kulikoni lakini maelezo ya wahusika hayana msikom wa kisheria...
Me na marafiki zangu kadhaa tumejiorganise ili tuwe tunatoa misaada kila mwisho wa mwezi kwa yatima, wajane , wazee na kundi lolote la watu ambao ni neglected na wana uhitaji wa huduma mbalimbali...
Serikali imeamua kuwafutia kodi wafanyabishara wakubwa wa mchele Ili waingize mchele kutoka pakistani...hatua hii niusariti kwa wakulima wakitanzania kwani Imeharibu soko landani na kuwatengenezea...
Wadau naomba ideas zenu kuhusu printing ,nilikuwa nafikiria kufungua sehemu ya kuprint tshits,plates,vikombe na mengineyo,je ni machine gani nzuri au ambayo itafaa kwa shughuli hizo?je kwa wenye...
Mimi niko morogoro kwa yeyote mwenye kufahamu wadau wenye kufanya michakato ya kupata laini ya uwakala tigo pesa wanitafute kwa namba 0765512663,0719510163.kwa sasa najua wamesitisha kutoa...
habarini . Nahitaji kiasi cha laki nne (400,000) . kwa ajili ya kuongezea kufikia mtaji ambao utaweza kuanzishia biashara ninayohitaji kuifanya hivyo basi ,nina photocopy mashine (canon NP1215)...
Habari wana jamvi wenzangu, leo nimeona nije na jambo la kushare nanyi kwani nimeona wajasilia mali wenzangu wakiongelea biashara na ujuzi wao waliokuwa nao na kushare nanyi, nawapongeza wote kwa...
NAOMBA MSAADA WAKO MWANAJF:
Habari wanaJF wenzangu, kwa kipindi sasa nimepitia nyuzi nyingi na kuzisoma, nimekuwa najifunza fursa nzuri kabisa ya ufugaji wa kuku, ila ningependa kupata elimu juu...
Juzi juzi nimeenda CRDB bank kuomba mkopo, ile ya wafanyakazi, baada ya kusikia wameshusha interest rate toka sijui ngapi hadi 17 or 18 (sikumbuki vizuri). Nilipofika nikapokelewa vizuri na...
Habar wan Jf.
Nimefurahi kufika kwenye jukwaa hili. Nachohitaji ni msaada wa mawazo. Mi nimemaliza Bachelor mwaka jana, but mpaka leo ajira kwangu ni ndoto kuipata. Nimeamua kuwazia biashara...
Habari zenu
Kuna watu wamekuwa wakiniulizia ideas za biashara lakini wakiwa na mitaji midogo chini ya 500,000 sasa nimeona ni share ideas chache nilizonazo ili vijana wengi waweze kujiajiri na...
Mfano mtu ana mtaji wa laki5,anaweza fanya biashara gani ambayo itamuwezesha kuongeza mtaji huo had kufika labda milion 5 hivi.na kwa kukadirika itachukua muda gani.naombeni ushauri na mawazo...
Wakuu, naomba ushauri kuhusu biashara ya kutuma fax. Nina stationery yangu Tabora, nafikiria kuweka huduma ya fax manake kuna mteja mmoja mmoja wanapitaga kuulizia hii huduma. Kwa vile sina uzoefu...
Me ni kijana. Wa miaka 26
Naomben msaada wenu natumai mtani saidia
Nina shilingi milion 2 je hizi hela zitafunguwa kitega uchumi kipi ili kini lete faida wakwabwa natumai mtanisaidia na mawazo
Kwa wajasiliamali wanaonata kujikita kwenye mambo ya utendenezaji na kudisign kadi mbalimbali za mialiko ya harusi, send off, kitchen party, maulidi, kipaimara unaweza kunicheck kwenye namba 0718...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.