Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Jamani wana jamii mimi nina ujuzi wa kutengeneza sabuni ainazote na shampoo,mishumaa na vingine kwa sasa nataka kujikita na sabuni na shampoo,sasa nipo busy na kazi nyingine nahitaji mtu aliye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF, Naulizia wapi vinapatikana vifaa vya kuvunia asali, yaani mavazi maalum ya kuvaa wakati wa kuvina asali na vyombo vya kuwekea na kuhifadhia asali. Wapi nitapata vifaa hivyo na bei zake...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ndugu zetu Watanzania mliopo Botswana,could you please Share your experience,kuhusu mambo ya business?hasa ni biashara zipi zinafaa kati ya nchi hizi mbili!naomba mawazo yenu wadau
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima yenu wanaJF, Nina wazo la kufunga kuku, kwa nia ya kujiongezea kipato naomba ushauri wa namna ya kupata mtu au mahali ninapoweza kupata ushauri wa :- kuku gani wa kufuga (wa kisasa au wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina shamba la ukubwa wa hekari 4 katika kijiji cha Vikawe karibu na Mapinga Bagamoyo ambalo nimelisajili kwa hekari mbili mbili (yaani lina hati mbili), ambalo nataka kuanzisha mradi wa ufugaji...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Wana jf,nipo chalinze,nina kiasi cha Mil.3,ninataka kuweka duka hapa,ila sina uzoefu na biashara hii.LAKINI pia nimewaza kuwa pengine kiasi hicho nifungue saloon ya kiume au kike.USHAUR TAFADHALI
0 Reactions
14 Replies
4K Views
wadau habarini. na biashara yangu nataka iendeleza, sasa naitaji mkopo kuweza fikia lengo hilo. nimeajiriwa kwa mkataba, na mshahara wangu si mbayaz. swali lamgu juna bank ambayo unaweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa Tanzania sasa ndo tunafumbua macho kuhusu ujasiriamali, baada ya tatizo la ajira kuongezeka kwa kasi ya ajabu. Mtu anamaliza chuo anakaa mtaan miaka bila kupata ajira. Na wengi wameshajiwekea...
2 Reactions
32 Replies
6K Views
niko chuo kwa sasa iringa, likizo huwa nipo dar mara nyingi na mara kadhaa kilimanjaro. sasa nina kama 1 mil. nataka kufanya biashara yoyote yenye kuendana na mwanachuo kwa maana ya muda, pia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamii.. Tafadhali naomba msaada wa habari kwa yeyote anayejua kuhusu upatikanaji na bei ya pamba kwa ajili ya kutungenezea mafuta!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wana jamvi nisaidieni jamani, niko very serious nataka mkopo nijenge nyumba. ninayosite but haijapimwa ila natamani kweli kujenga kajumba kadogo kazuri. cash on hand sina na sina kitu cha kuweka...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Nataka kufungua stationery,mwenye kufahamu wapi (dar) naweza kupata stationery items kwa bei ya jumla naomba anijulishe pls
0 Reactions
2 Replies
2K Views
In reality, there is a greater risk in sticking to a job than in minding your own business or putting money in investments.A job can easily be taken away from you anytime. Yes, you can always...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninataka kuwa wakala wa coka je kianzio unatakiwa uwe na kreti ngapi? Na yale makontena wanayotumia yenye nembo ya kampuni wanapewa bure au wananunua?na vipi bei ya kununulia maana ya kuuzia ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wengine wanasema hawa kuku ni wa kisasa ila wengine wakienyeji na vp sokoni wanatambulika kama wakienyej au kisasa na vp bei yake dar.Naomba mchango wenu wana Jf
0 Reactions
22 Replies
14K Views
Wadau habari!naingia jamvini ili kuweza kuomba msaada na ushauri juu ya soko la mayai mkoani Morogoro,lengo langu kubwa ni kutaka kujihusisha na usambazaji wa mayai hayo (ya kuku wa kisasa) katika...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu nawasalimu, ama baada ya salam naomba mnisaidie kujua procedures za kuanzisha charity organisation kwa hapa kwetu Tz.Natanguliza shukrani!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari, mimi mgeni hapa natumai mtanikaribisha vizuri! Nataka kujua bei ya kununua dengu na maharagwe nikihaitaji kwa uwingi mfano tani 30 ya maharagwe nitaipataje ki urahisi? Mashambani au...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
nataka kuchukua mkopo waungwana kwa ajili ya biashara. je ni bank gan yenye makato na masharti nafuu.?msaada plz
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello JF Members, ninataka kununua mashine za kusaga na kukoboa nafaka zinazotumia umeme, pamoja na mashine ya kushona mifuko(vigunia) ya nafaka. Naomba yeyote anaejua wapi naweza pata mashine...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom