Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Shikamoo wakubwa, wenzangu na mm habari za saa hz bila kusahau wadogo hamjambo...mimi ni msichana ninae fanya kazi katika kampuni moja hv nina shida na natumai mtanisaidia ninaomba mniambie ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naulizia mtaji wa kuanzisha bureau de change. Na tararibu za kufuata zikoje?
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Wanajamvi poleni na majukumu ya kila siku. Mimi naishi mji kasoro bahari na plani yangu ni kuanzisha business ya kitimoto, mtaji siyo shida. ombi langu kwenu ni kama kuna mdau mwenye plot iliyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naomba kuelimishwa juu ya ni aina gani ya biashara ndogo ndogo naweza fanya kati ya Tanzania na Kenya!kifupi nilikua naomba msaada juu ya bidhaha gani nazoweza pata Kenya ki urahisi na...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Natafuta mizani (ya mawe)kama kuna yeyote mwenye mizani ya kupimia kwa kutumia mawe, au anajua inapouzwa (hata used) naomba tuwasiliane chapchap. sms or call 0762959725 or ni pm.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, Nataka kuanzisha kituo cha fm cha kijamii, kwa malengo ya kuelimisha jamii za vijjini kule mkoani Rukwa, ukanda wa ziwa Tanganyika katika masuala ya afya na Elimu kwa shule za msingi na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF wale wenye utaalamu na uzoefu wa kuandika Proporsala ya Media Organizer kwenye Mashirika na makampuni Mbalimbali, namaanisha kwamba nataka kuwa Afisa habari wa kujitegemea, hivyo naombeni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jamii naomba ushauri kuhusu biashara ya mashine ya kuranda na kuchana mbao, kwa anayeijua vizuri anishauri nataka kuianzisha, na km unajua sehemu ninapoweza kupata mashine za kuchana na...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
helow Wadau mm ni mfanyabiashara wa kati, nnaenunua tikiti maji na ku_supply jijini Dar-es-salaam. Kwa yeyote anaefanya kilimo hiki, tuwasiliane tujenge uchumi wetu. Biashara hii inafaida kubwa...
4 Reactions
9 Replies
4K Views
Hi wanaJF. Nina leseni mbili za uchimbaji mdogo (primary mining licence) kwa ajili kuchimba dhahabu Magambazi wilaya ya Handeni, kwenye eneo la hekta 10. Kama kuna mtu ana interest tuwasiliane...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nilikuwa nataka kujua process ya kufungua biashara au kampuni na brela.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mzigo mpya wa Spea za Laptop/ Kompyuta umewasili. Kama unahitaji display za laptop size zote(10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kama kuna mtu anahitaji huduma hizi za accounting na ushauri wa kibiashara basi tunamkaribisha atuone -
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wadau nina package ambayo itawasaidia watu wengi sana humu ndani kwa kuwasaidia kwenye mambo mengi kwa bei poa sana, kama wewe ni lawyer,mfanyabiashara,HR,contractor,doctor,mpangaji,mfanyakazi...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
je kuna ukweli hapo?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Poleni na mihangaiko ya maisha wana jf naomba kwa anayefahamu bei ya alizeti jumla na rejareja kwa dar es salaam. Nawasilisha
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu wadau wa JF nawaomba mnishauri na kunielekeza wapi nitapata na ni aina gani nzuri bora ya pikipiki ya kike.
0 Reactions
12 Replies
8K Views
wakuu anaijua biashara ya kuuza airtickets naomba anijuze yafuatayo: Namna ya kuanzisha Kama inalipa Mtaji unaohitajika Natanguza shukrani
0 Reactions
5 Replies
2K Views
ndugu zangu wana JF naombeni mchango wenu wa mawazo kwa hiki ninachofikiria. last week nimepata approval ya 40 million loan kwa interest rate ya 16% ambayo ntatakiwa kuwa nimemaliza mkopo kwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nikiwa Kama Kijana Ninayejiandaa Na Maisha Ktk Ujasiriamali,Mtaji Wangu Ni Laki Mbili. Kwa Pesa Hzo Niko Njia Panda,Kipi Chenye Soko Kubwa Kati Ya: -Ninafikiria Kununua Digital Kamera Ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…