Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Wadau 2saidiane namna ya kuuza vitunguu nairobi,kama kuna mtu anafanya biashara hiyo au mwenye ideas kuhusu hiyo mambo.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
BILL NA MELINDA GATES wametangaza dau la atakayeweza kutengeneza choo isiyohitaji maji wala umeme kwa ajili ya nchi zinazoendelea. Soma Zaidi: The Bill and Melinda Gates Foundation is on a...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu wana forum, nataka nifanye biashara ila sija jua ni biashara gani nifanye hapa dar, nina sh milion 3 kama mtaji. Naomba mchanganuo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu,najua benki nyingi siku hizi zinawadai audited financial statements kwa biashara na kampuni zenu kabla hazija-approve hiyo mikopo yenu ya mamia ya mamilioni... Msiumize vichwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau mi nipo mwanza na nimemaliza chuo kikuu mwaka huu na B.A in Public Relations and Marketing, je kwa hapa mwanza au kanda ya ziwa ni biashara gani inaweza kunitoa, mtaji wangu hauzidi laki 5...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naomba maoni yenu kuhusiana na hii kitu inaitwa mobile marketing. Nina uhakika wote mmeshawahi kukutana nayao, ni pale unapo-pokea message kwenye simu yako ya mkononi ikikupa taarifa ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Halisomeki vema akilini ila inawezekana.. Nimekuwa nikiona majeneza yakitengezwa Manzese tu.. kwingi ni vijiwe bya kuuzwa..Nimeona wafiwa wakifuta marehemu hospitalini na kuna nyakati hifadhi ya...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
naomba mchangowenu ninapesakidogo mll.2 naitaji mchango wamawazo nataka biashara mbili moja nikufungua duka languo nyingine nikufungua kibanda cha chipsi mkoa morogoro je niipi inaweza kunitoa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina tsh 80m, niko Songea. Nianzishe mradi(miradi) gani ili niuage umasikini? Nisameheni kwa kukopa kabla ya kuwa na wazo kwanza. Ninatakiwa niwe nimezirudisha benki baada ya miaka 15 kuanzia sasa...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
wajameni nisaidieni wapi nitapata kuku wa kiajeji kwa ajiri ya kufuga ,mfano kuchi nipatieni na gharama naitaji mitetea kumi na jogoo mmoja.natanguliza shukrani but napatikana Dar .
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wnana JF, Naomba kama kuna mwanaJF anajua fomular ya kutengeneza/kuchanganya Broiler, Layers, na Chick Mash anisaidie. Nitashukuru sana
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele!natafuta mtu mwenye Business Plan na Research ya hiyo business hapa Tanzania anisaidie nione kama nitaiweza na kama italipa!nawakilisha!
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta Ng'ombe wa maziwa prefarably anayefugiwa ndani ya Pwani (Dar, Kibaha, Bagamoyo) ambaye amezoea hali ya hewa hiyo. Mwenye mimba, na asiwe mzee. Mwenye tips anistue au abandike contacts...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuanzia mwezi sept 2012 mahindi yatakuwa yanapatikana arusha bei poa kuanzia gunia 5-1000 kama unahitaji tuwasiliane kwa no. 0719666830 ,0766852616
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu nimepokea taarifa ifuatayo nikaona bora niwawekee hapa: Ordersare invited from Tanzania, Kenya and/or Uganda Primary schools to buypublications whose cover pages are herewith attached...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mke wangu ni mwalimu wa shule ya msingi ambaye kwa muda mrefu amekuwa na wazo la kuanzisha biashara ya stationary hapa mjini Iringa. Chumba cha kufanyia hiyo biashara amepata nje ya geti la chuo...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Hii ni aibu kwa watoa huduma ya m-pesa,mfano umetumiwa hela na ndugu yako pengine hela ya ujenzi n.k,ukienda kwa wakala kuchukua anakuuliza unataka kiasi gani? anakuambia sina,unaenda tena pengine...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wana Jamii Forum, Naomba msaada kama kuna wanaojua au wenye uzoefu wa kutengeneza chakula cha kuku, anifundishe na kwa kuwasaidia wengine formula ya kutengeneza au kuchanganya chakula cha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
wadau hivi hii biashara ya kuleta magari kutoka japan au dubai inalipa? Process zake zikoje?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kwenye kijiji ninaoishi bei ya trei moja la mayai ni kati ya Tsh 6,000/= hadi 8000/= kutegemeana na msimu. Nimepata wazo nianzishe mradi wa kufuga kuku wa mayai (kuku wa kisasa). Mtaji wangu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom