Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Kwa Dunia Ya Sasa,kila Tasnia Inahitaji Elimu Ili Uweze Kwenda Katika Mstari Wa Mafanikio...Ni Nadra Sana Au Huwezi Kufanikiwa/Kuyataka Mafanikio Wakati Hujafanya Juhudi Za Kutafuta Elimu...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau, Nimeona watu wengi katika hii subforum ya Ujasiriamali wanaulizia namna ya kupata mikopo ya kuendesha biashara zao (hasa isiyohitaji kuweka dhamana). Baada ya kuona wengi hawapati majibu...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Nina Tv inch 24 Sony na Fridge ndogo Naombeni mkopo wa tshs 250,000\= Mpaka tarehe 15/12\2012 Alie tayari tuwasiliane plizzzz...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Serious case............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kama kuna mtu anafanya kazi ktk makampuni ya uchimbaji wa MADINI au anayafahamu yalipo hayo makampuni,,tuwasiliane kuna plot yenye madini so...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, naomba kufahamishwa kama leo jumapili tarehe 11/11 naweza kupata huduma ya kupata bima ya kagari kangu, ninasafahari ya mkoni traffic wasije nisumbu, any one call me 0782 107 560
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salaam Mwanajamii, Kati ya Vitu vinavyowapa shida wajasiliamali wengi wa hapa nchini ni ukosefu wa mtaji wa kutosha, na hivyo kuamua kutafuta mikopo kutoka taasisi za fedha. Katika utafiti wangu...
5 Reactions
2 Replies
4K Views
Kuna fursa nyingine haijavamiwa sana na wenye mitaji mikubwa. Sasa hivi umeme unasambazwa kwa kasi kubwa ktk maeneo mengi ya wilaya ya Bagamoyo na Kisarawe. Kule kuna wafugaji wengi wa ng`ombe na...
5 Reactions
5 Replies
5K Views
Wadau kuna mtu wangu kanipa tafu ya 25mn, ni biashara gani naweza kuanzisha ikanilipa nisizame?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wadau habari,nilikua naomba msaada wenu jinsi ya kuweza kupata mikopo midogo midogo ambayo ina masharti nafuu kwa ajili ya biashara hasa ya kilimo,chakula na ufugaji!mimi ni kijana niliegraduate...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wakuu? Jamani mimi ni graduate niliyeamua kujiajiri kwa kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku wa kienyeji kwa mfumo wa NUSU HURIA, Wazo hili nimelipata humu humu na baada ya kusoma nikaamua...
14 Reactions
25 Replies
4K Views
Natafuta viwanda vinavyonunua dagaa la kuku jijini dar.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Sababu mbalimbali za kujiajiri mwenyewe Katika point nyingine kwenye haya maisha, kila mtuanapenda sana kujiajiri, ni wachache sana ambao ukiwauliza watakuambiahawapendi kujiajiri, Hata wahanga...
1 Reactions
4 Replies
10K Views
Pata elimu ya ujasiriamali kwa kujifunza biashara mbalimbali kitu cha kuzingatia unapoanza biashara yako, msaada wa unachokifanya na mbinu mbali mbali za kuifanya biasha yako ikue. kwa wale...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Ni wakati wa kujitegemea, kujiajiri na kupata kipato binafsi kwa kufanya ujasiriamali/biashara, sanaa, michezo au jambo lolote lile kwa lengo la kupata pesa. Siyo tena wakati wa kutegemea...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Mtaala wa elimu ya tanzania unatuandaa vijana wengi tunaomaliza elimu ya juu namaanisha vyuo vikuu kuwa mategemezi na si kujitegemea na kukomboka na elimu tuliyopata. Wengi tunafikiria sana...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hello..! Kwa anayehitaji PlayStation 2 - Games Decks kwa ajili ya biashara ya kuchezesha games au kwa matumizi ya nyumbani zinapatikana kwa bei nafuu. Zimetumika kidogo so bei yake ni cheap...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wa jf, Natarajia kufungua duka mahususi kwa ajili ya mahitaji madogomado ya nyumbani kwahiyo naombeni msaada wa ufafanuzi kuhusiana na bidhaa zipi nianze nazo,na wapi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za wikendi wapendwa? Bila kupindisha mada kama ilivyo katika kichwa hapo juu ni kwamba mie ni mkazi wa Arusha mjini mwenye nia ya kufanya biashara angalau yenye mtaji wa shilingi milioni...
1 Reactions
9 Replies
7K Views
Katika siku nilizowahi kusononeshwa ni jana, nilibahatika kusikia mjadala fulani redioni nikasikia uchumi wa Tanzania hautokani na kilimo wala viwanda bali tanzania limekuwa taifa la kichuuzi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
naomba mnisaidie je naweza pata gari ilitumika isiwe imechoka kwa kiasi cha mil.tano please kama kuna mtu anayo au anahabari ani pm ili tuweze wasiliana nipo dodoma ahsanteni.
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom