Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Nyanya ni zao ambalo hushambuliwa sana na magonjwa ya ukungu msimu wa mvua nyingi na msimu wa baridi kali. Hali hiyo husababisha bei ya nyanya kupanda sana kipindi hicho na wale wanaobahatika kuwa...
1 Reactions
26 Replies
16K Views
Nimeona clips nyingi sana YouTube ambapo wenzetu wanavuta maji kutoka kwenye visima na mabwawa bila kutumia nishati ya aina yoyote, na tuna mpango wa kujaribu hapa chuo cha SUA. Nlitaka nipate...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Naombwa kufamishwa ubora wa kirutubisho aina ya Super Gro kwenye mimea/mazao.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana JF kwema? Nahitaji supplier wa Mayai ya Kienyeji pure kabisa ya jumla. Offer price ni 12,000Tshs kwa trei moja. Naweza kuchukua mpaka tray mia +. Napatikana Dar es salaam. Aliye serious...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Vijana wa Bashe tunaosubiri mradi wa kilimo na ufugaji wa building a better tomorrow (BBT) tupeane yanayojiri hapa..
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nahitaji kulima karoti, namna ya upandaji yaani mche na mche na msitari na msitari ni cm ngapi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba kuuliza bei ya jumla ya nyanya soko la Mabibo.
0 Reactions
1 Replies
698 Views
Habari za kazi waungwana. Samahani naomba kufahamu jambo hili linanitatiza kidogo. Hivi endapo nitatumia majogoo ya kuku chotara aina ya kuroilers kupandisha mitetea wangu wa kienyeji, majike ya...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
CAM STORE ikishirikiana na Mifugo Plus Tumekuletea BioEarn Feed Additives ama nyongeza ya malisho. Virutubisho vya BioEarn vimetengenezwa kitaalamu kwa kutumia Unga wa mimea yenye Vitamini na...
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Wakulima wengi wanalima viazi mviringo kwa sasa mikoa ya Njombe na Mbeya watu wengi wanavuna.. Kwa wanaojua masoko ambayo tunaweza kuuza kwa bei nzur tuwasiliane hapo chini. Lakini pia kama una...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wana bodi wote,Wasalaam! Jamani kama kuna mtu ana ujuzi wa kuweza kutambua yai la kuku jogoo na mtetea hata kabla ya kuanguliwa anisaidie! Ninafuga kuku lakini nahitaji...
0 Reactions
26 Replies
11K Views
Wanajamvi naomba kufahamu, kwa wenye ujuzi na uzoefu wa kilimo cha Maboga lishe. Ni mbegu zipi Zina zaa Sana na matunda yake yanakuwa makubwa, na soko lake likoje kwa Tanzania hapa. Naomba...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Natafuta water pump kubwa ya nch 8 au 10 ,ikiwa ya mtumba itakua vyema Kama hii
0 Reactions
2 Replies
395 Views
Enyi matabibu wa JF. nisaidieni wajameni. natafuta dawa ya mende wananisumbua sana. dawa za kihindi za kupuliza nimejaribu aina aina lakini nimenawa, maana nikiwapuliza wanalala tu badala ya...
0 Reactions
38 Replies
46K Views
Habari wanajf,ningependa kujua ni lini vifaranga vinatakiwa vitolewe kwenye BRUDA au lile Duara la silingi bodi linalotumika kuhifadhi joto kwa vifaranga ,ninaomba mnielimishe.Nimeambatanisha na...
0 Reactions
3 Replies
724 Views
Msimu wa sikukuu uwe mwema kwenu! Tangu mwaka jana niko kijijini kutafiti namna gani ufugaji na vifanananavyo vinaweza kuniongezea kipato,kwa ufupi kila nilichojaribu kimeonesha kina uashiria wa...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Uzalishaji wake,Haki ya hewa,Mavuno,bei na Changamoto zake maana inaonekana ni dhahabu iliyojificha.
1 Reactions
3 Replies
806 Views
MBUNGE SALIM HASHAM AMETOA MATREKTA BURE ILI VIJANA WALIME WAINUKE KIUCHUMI Katibu wa Mbunge Jimbo la Ulanga mkoani Morogoro Thomas Daffa amewataka vijana wa Wilaya hiyo kutumia vyema fursa ya...
1 Reactions
3 Replies
586 Views
Habari za asubuh . Kuelekea msimu wa kiangazi ni msimu ambao sisi wakulima tunauita msimu wa kukosa kutokana uhaba wa maji , Ila mm Kuna kitu namefikiria kukifanya kwenye sector ya umwagiaji...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Naomba kama kuna mtu humu ambae anajishughulisha na Utotoleshaji wa vifaranga wa kuku wa kisasa wa mayai Ama mtu anaemfahamu wakala yeyote Anajishughulisha na hao vifaranga, nina shida nao...
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Back
Top Bottom