Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari ndugu, Aina gani ya mbegu ya pioneer inafaa kwa mahindi ya kuchoma ukanda wa Pwani?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nataka kupanda mahindi kwenye wilaya za Karagwe na Ngara. Naomba kushauriwa mbegu bora inayofaa katika wilaya hizi.
0 Reactions
3 Replies
945 Views
Nina eneo kubwa bwawa kubwa mkoani Tabora natafuta mtu wa kushirikiana naye tufunge samaki Mawasiliano 0693214177
1 Reactions
1 Replies
742 Views
Natarajia kuanza kuvuna Maharage mwezi huu nimeiona ni vema nianze kutafta soko mapema kabla ya kuanza kuvuna. Aina ya Maharage ni Uyole Njano (goroli).
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu naomba kuuliza, hivi ni mbegu gani ya mahindi ni nzuri kwa mahindi ya kuchoma ukiachana na pioneer maana haipatikani madukani sahivi mimi nipo Mkuranga
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari ndugu wakulima na wafugaji, kumekuwa na sintofahamu nyingi kuhusu super gro, nilikuwa naomba msaada wa mawazo wewe kama mkulima unaitambua kama mbolea? Na Kwa wale waliotumia mavuno yake...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Huwa some time naingia Super Market hizi kubwa sio kwa kununua kitu bali kuchungulia sana Food Products hasa hizi fresh. Kwenye super Market kubwa zile high end bidhaa za chakula asilimia 80...
1 Reactions
1 Replies
436 Views
Bundi ni ndege kama ndege wengine, wengi hawajafahamu faida zinazopatikana katika ufugaji wa ndege hawa. Soko la bundi ni kubwa kuanzia kwenye mayai, ndege wenyewe. Soko kubwa la ndege hawa liko...
10 Reactions
27 Replies
6K Views
NCHI za Afrika zimeshauriwa kuwekeza katika utafiti wa mbegu asili kwa kuwa zina lishe bora, uhakika wa chakula na salama kwa afya ya mtumiaji. Ushauri huo umetolewa na wadau mbegu asili kutoka...
1 Reactions
1 Replies
439 Views
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar. Arusha...
22 Reactions
145 Replies
11K Views
Habari ndugu zangu, leo naomba nami niongee neno katika uwanja huu wa kijasiriamali, Mimi ni mhitimu wa Degree ya Uhasibu miaka 3 iliyopita, tangu kipindi hicho chote sijapata ajira ya kudumu na...
11 Reactions
40 Replies
6K Views
Uko wapi na bei ya gunia la mpunga huko ikoje.
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Mimi ni mfugaji mwanafunzi kuna mdau anadai pig booster ikitumiwa kwa kuku,kuku huwa na maumbo mithili ya nguruwe! Mliowahitumia hiyo kitu kwa kuku,naomba mnielimishe,mlitumiaje na kwa kuku wa...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Hodi huku Kumekuwa na nyuzi humu zikijadili uimara wa trekhlta zinazouzwa mitandaoni South Afrika. Uimara huo umekuwa ukitiliwa mashaka kulinganisha na bei ya trekta hizo. Ukiingia kwenye mitandao...
24 Reactions
79 Replies
14K Views
Nauliza. Nataka kufuga mbwa lkn hasie na madhara wala sio kwa urembo wa sebuleni. Awe normal wa nje mwenye kucheza cheza na upendo. Sipendi mwenye manyoya mengi sana kwasabab ya usafi. Naombeni...
2 Reactions
10 Replies
792 Views
Kwema jamani humu ndani. Vipi kwa hapa bongo haya matikiti yanapatikana wapi?
1 Reactions
2 Replies
721 Views
Salam wakulima na wafugaji, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, michungwa ni Miongoni mwa mazao yanayowapa kipato wakulima. Usishangae mtu mwenye ekari moja ya michungwa aina ya Valencia...
2 Reactions
4 Replies
868 Views
Habarini wana JF. Nimepanda ukoka katika eneo langu nyumbani. Changamoto niipatayo ni aina gani nzuri ya mbolea ambayo utafanya ukoka uwe mzuri na wenye afya na kuvutia? Kwa wale wataalam wa...
1 Reactions
17 Replies
10K Views
Habari wakuu, Mimi ni mfugaji wa nguruwe napatikana Mwanza, nauza nguruwe watoto na wakubwa kwa wanaohitaji nguruwe wa kufuga, mbegu bora kabisa. Karibuni sana 0719832015
3 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom