Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Niko mwanza maeneo ya igoma mwenye nguruwe wadogo wa kufuga anauza anicheki
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Je, kuku wa siku tatu anaweza kula chakula chochote ukiachia mbali stater kama ndio, ni kipi?
0 Reactions
2 Replies
432 Views
Naombeni ushauri tafadhali. Tatizo la huu mti wa mchungwa ni kama linavyoonekana pichani. Nilishauriwa na muuza pembejeo za kilimo ninyunyizie DUDU ETHOATE lakini haijasaidia. Kuna dawa...
1 Reactions
8 Replies
988 Views
Wakulima hizi hoho nyekundu na njano zina nini special ukiachana na rangi za kuvutia, kwanini zenyewe bei iko juu kuliko za kawaida? Soko la ilala mara ya mwisho nlinunua hoho za kijani kilo moja...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu namtumai hamjambo? Twende kwenye mada. Ng'ombe hapa nyumbani amezaa sasa kwa kuwa ilikuwa usiku hatukuwa na habari, asubuhi ndo tumekuja kuona kuwa amezaa, sasa kondo hatukuliona na baada...
1 Reactions
70 Replies
4K Views
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, Mhe. Victoria Mwanziva, ametembelea kwenye mabanda mbalimbali kwenye maonesho ya Nane Nane 2023, Mkoani Mbeya Lengo ni kuzidi kubadilishana mawazo, uzoefu na ujuzi haswa...
1 Reactions
2 Replies
890 Views
MBEGU FEKI (MAHINDI & ALIZETI) TANZANIA ZALETA KILIO KIKUBWA SANA MOMBA, WANANCHI WAKIMBILIA MBEGU BORA ZAMBIA Wakulima wa zao la Mahindi Jimbo la a Momba Mkoa wa Songwe walia na mbegu feki za...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni miuondo mbinu ipi mizuri ya umwagiliaji inayofaa zaidi katika Kilimo Cha umwagiliaji
0 Reactions
9 Replies
940 Views
Hoho za rangi ( Capsicum colored ) ni aina ya pilipili mboga zenye halufu nzuri na kuvutia kutokana na aina gani ya rangi, zipo aina nyingi za rangi ila tulizo zoe kuziona kulimwa haswa Afrika...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wataalam mlioko makini naombeni msaada wenu. Natumai mu wazima na harakati za kujenga Tanzania yetu. Mimi nimeingia kwenye kilimo mwaka huu na kwa kuanzia nililima mahindi, na hatua ya kwanza...
3 Reactions
60 Replies
20K Views
Maonyesho ya Kilimo ya Nane Nane yana Makosa mengi sana ya kimkakati na nashindwa kuelewa kwa nini Waandaaji na watalamu hawalioni hili. Maonyesho ya Nane nane yamekuwa yakifanyika kwenye kanda...
13 Reactions
44 Replies
3K Views
Assalam alykum. Naomba msaada. Huu muembe wangu unadondosha embe changa karibu ya zote. Nimetumia dawa ya wadudu na ile nyongeza ya vitamin lakini bado. Nifanyeje?
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Habar wadau wa JamiiForums, Naomba kuuliza nawezaje kufanya biashara ya Madawa ya kuulia wadudu shambani au kwenye mimea ivi kuna ugumu gani Pia faida na hasara zake ni zipi?
1 Reactions
6 Replies
644 Views
Huu ni uzi utakaobeba mambo mengi kama sio yote kuhusiana na kilimo cha mpunga nchini Tanzania. MPUNGA Hili ni zao la chakula linalolimwa kwa wingi kwenye maeneo ya ukanda wa joto. Zao hili...
9 Reactions
37 Replies
13K Views
Mbunge wa Jimbo la Momba Mkoa wa Songwe, Mhe. Condester Mundy Michael Sichalwe leo tarehe 02 Julai, 2023 amefanya kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Halmashauri Kuu ya CCM Kata ya...
0 Reactions
0 Replies
351 Views
Kama kichwa kilivyo yaani hii ni zaidi ya hatari, Mkulima ni chombo cha kudharauliwa nchini. Serikali ilitangaza bei ya soko Tsh. 15, 000/ lakini wanunuzi wanalipa Tsh. 3,000/ (elfu tatu)kwa kilo...
5 Reactions
51 Replies
9K Views
Wakuu naamini humu kuna wafugaji wenzangu jamani. Mimi ndio najifunza kufuga. Nina kuku wangu analali, ana siku 14, sasa basi leo wakati naangalia mayai kama yatakua na vifaranga ndani, dah kwa...
2 Reactions
2 Replies
614 Views
UNAWEZAJE KUFUGA SUNGURA KIBIASHARA????
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Mbeya imeanza kunoga,huku Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Maarufu kama Nanenane yakishika Kasi Kwenye Maonesho Kuna ingizo jipya la kuku wa Shilingi Laki 7 za Kitanzania. Kilimo ni UTI wa mgongo
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Wale wafugaji wa kware na mayai yake bado mpo? Mmekaa kimya siku hizi hatusikii mkileta mada za kuhubiri manufaa ya mayai ya kware. Au ndio tayari motivation spika wameshawapiga na kitu kizito...
5 Reactions
11 Replies
864 Views
Back
Top Bottom