Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habarini ya kazi. Naomba kufahamu kwa wanaojua, hivi kuku aina ya Malawi wale wanaopatikana sana Mbeya huatamia na kuangua mayai yao ama nao ni kama chotara wa kawaida wanataga tu pasipo kuatamia...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
CONDESTER SICHALWE AKUTANA NA WAJUMBE WA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA MOMBA KILICHOFANYIKA CHITETE Mbunge wa Jimbo la Momba Mkoa wa Songwe Mhe. Condester Mundy Michael Sichalwe tarehe 24 Julai...
0 Reactions
0 Replies
391 Views
Ninauza alizeti zipo mkoa wa mbeya mjini na Rukwa bondeni. Mawasiliano ni 0769902875 Karibuni sana, bei ni maelewano. Nb: Alizeti ni ya mwaka huu imetoka shambani.
2 Reactions
6 Replies
914 Views
Nauliza wapi zinauzwa mashine hizi za kumwagilia dawa za kuua wadudu kwenye mimea kama vile mikorosho, zinatumia mafuta zinaitwa mist duster-power sprayer, hubebwa mgongoni na hutumia petrol ili...
0 Reactions
4 Replies
658 Views
Mh. Waziri Bashe na timu yako nzima mimi mkulima wa viazi nakushukuru sana Waziri Bashe. Kwa ufupi nimevuna magunia manne ya viazi nikapeleka sokoni narudishiwa mzigo wote wa viazi, vyote vina...
8 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu wadau wa kilimo, habari za majukumu Niende kwenye lengo, ninamparachichi ambao huzaa matunda mengi ila una tatizo la kuozesha matunda yake, uozo unaanzia ndani kwenye mbegu kuja nje ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Momba Mkoa wa Songwe Condester Mundy Michael Sichalwe tarehe 22 Julai, 2023 ameendelea na ziara katika Kijiji cha Yala na kuzungumza na wakulima wa Kijiji hicho. Akizungumza...
0 Reactions
0 Replies
329 Views
Habari wakuu, Natafuta mbegu ya chakula cha kuku azola kwa mkoa wa mbeya, naweza kupata wapi? Maana nimetafuta sana nimekosa. Au kama kuna mdau anauza basi anicheki please.
1 Reactions
3 Replies
530 Views
Habari wakuu Naomba kujuzwa mm nimkulima wazao la michungwa msimu huu machungwa yamekua na ukungu mweusi na majani yake ya michungwa yamekua meusii kama kwenye picha. Msada wakuu
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu, nimenunua shamba milimani huko, shida yake hili shamba ni maji, ukitaka kulima mazao lazima usubirie msimu wamvua. Sasa nataka nilipande mazao ya muda mrefu ambayo yanahitaji kumwagilia...
4 Reactions
11 Replies
954 Views
KILIMO CHA NYOKA Achana na Matikiti sijui Kuku, sijui Vitunguu sijui Mayai ya kwale hili sasa ndio suluhisho, kilimo cha Nyoka ni suluhisho. Kwa mujibu wa hisabu za calculeter yng ya cm, hebu...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Habar wakuu. Swali langu ni kwamba endapo nkichanganya jogoo la sasso na tetea wa kienyeji breed itakayo toka hapo ni ya sasso au laa.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Bei ya Michele huko kwenu ipoje?
0 Reactions
9 Replies
975 Views
Elimu kidogo kuhusu Namna na njia sahihi ya uzalishaji vifaranga vya kambale kupunguza idadi ya vifo (mortality rate) Kambale ni samaki mwenye thamani kubwa katika tasnia ya uvuvi na uzalishaji wa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Pata ushauri jinsi yakufuga viumbe hai majini kisasa kama samaki aina ya sato, kambale n.k Elimu kidogo juu ya ufugaji samaki aina ya SATO Ufugaji Samaki Aina ya Sato Ufugaji samaki aina ya...
1 Reactions
0 Replies
653 Views
Habari wanajamvi wenzangu! Tatizo la ajira limekuwa sugu lakini nimekuja na suluhisho ambalo litaweza kuongeza kipato kwa sisi watu wa chini na hasa waliomaliza chuo na kukosa posts. Naeleza...
20 Reactions
39 Replies
20K Views
Habari Wana JF! Nataka nianzishe mradi wa kufuga kondoo dume pamoja na mbuzi dume kwa mkoa wa Tanga, ningependa kujua eneo zuri likiwa karibu na mjini itapendeza zaidi.. na mbinu na je italipa au.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wasalaam ndugu zangu,naamini mu wazima wa afya. Leo nataka nilale nikiwa najua ni hatua gani kama mfugaji mdogo anatakiwa kuzijua pale tu anapokuwa na wazo la kuanza ufugaji Kwa mara ya kwanza...
1 Reactions
0 Replies
629 Views
msaada jamani ndugu zanguni wataalamu wa kilimo. nahitaji mashine ya kuvuna mpunga inaitwa power reaper bainder(inavuna nakufunga bando yenyewe)napata wapi na bei ? km inavyoonekana kwenye picha:
0 Reactions
10 Replies
677 Views
Jamani nilikuwa naomba kuuliza gharama za kuweka mfumo wa drip irrigation kwa ekari moja,
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom