Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Tunazo mbegu za majani ya Alfalfa kutoka nje ya nchi. Ni kilo 5 tu. Unatakiwa kuwahi. Piga simu: +255754349558 WhatsApp: +447375612666
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za hapa? Nimesikia mbulu kuna viazi vitamu, naomba msaada mwenye connection jinsi vinaweza kupatikana, au kama kuna dalali uniunganishe.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninaomba kupata taarifa juu la zao la karafuu kwa mkoa wa Morogoro, ni sehemu gani inapatikana na bei yake kwa Sasa. Asante
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wapi naweza kupata vifaa vya incubator Kama feni, heater, Tray na Thermostat?
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa Africa Macadamia inalimwa sana South Africa na Kenya, ingawa pia hata Zambia wanakuja kwa kasi ya kutisha. Macadamia kwa Tanzania sio sana ingawa kuna Wazungu wanalima kitambo ila sio sana...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama una mawazo mapana hizi Idara Nizakutupia jicho pana mno; 1. KILIMO 2. UFUGAJI 3. AFYA Huwezi kuzungu Afya kama bila chakula Utatu huo ndiyo mpango mzima wa kila kitu kimaendeleo kwa namna...
2 Reactions
1 Replies
611 Views
MBUNGE CONDESTER SICHALWE AISHAURI WIZARA YA KILIMO KUFUNGUA DIRISHA ILI KUPATA PEMBEJEO ZA KILIMO MAPEMA Mbunge wa Jimbo la Momba Mkoa wa Songwe Mhe. Condester Mundy Michael Sichalwe katika...
0 Reactions
1 Replies
495 Views
Jamani Tanzania ina wataalamu wa kilimo wangapi na ni kwa mujibu wa bajeti ya mwaka gani
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Nahitaji Kanga MWEUPE kwa ajili ya kufuga. Nahitaji zaidi dume, ikishindikana hata jike ni sawa pia. Mimi ninafuga kanga wa madoa hivyo nahitaji kuchanganya na weupe pia. Ndiyo...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana jamvi! Leo nimeona si vibaya kushare nanyi kidogo nnachojua kuhusu kilimo cha umwagiliaji, na katika uzi huu nitajaribu kuelezea kile nnachojua na pia kupata mawazo kutoka kwa wadau...
12 Reactions
231 Replies
49K Views
MBUNGE ABUBAKAR ASENGA ATAKA SERIKALI IFANYE USANIFU MABONDE YA UMWAGILIAJI YA IFAKARA Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mkoani Morogoro, Abubakar Asenga katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni...
0 Reactions
0 Replies
504 Views
SERIKALI YAJA NA MPANGO MKAKATI WA KUMLINDA MKULIMA WA KOROSHO NCHINI. Serikali kwa kushirikiana na Sekta binafsi imeendelea na jitihada za kuimarisha bei ya korosho nchini kwa kufufua viwanda...
0 Reactions
2 Replies
852 Views
Hivi nikitaka kujua ukubwa wa eneo fulani kwa HEKA ambalo sio mraba au mstatili (eneo halina umbo mahalumu) ninafanyaje? Nilipata hii changamoto kidogo ila niliamua kupima mzunguko wake wote kwa...
2 Reactions
52 Replies
11K Views
Wakulima na Washauri wa Kilimo, Salaam! Tukitaka kusonga mbele katika sekta hii ya kilimo inabidi tubadili utamaduni na mfumo mzima wa kilimo kwa kuwa kuendekeza njia za mapokeo imesababisha...
10 Reactions
24 Replies
3K Views
Ninaomba kufahamu kuhusu mradi wa miti ya mbao, ninawazo la kununua shamba na kupanda hiyo miti. Ninaomba kufahamisha kuhusu chochote kuhusiana na mradi huo kwa wenye uzoefu.
0 Reactions
0 Replies
450 Views
Habari zenu wadau, Kama mada inavyojieleza ninauhitaji na hizo mashine kwa yoyote anayejua zinakopatikana basi anijulishe tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
715 Views
Habari za leo waungwana. Ninashida ya vifaranga wa kuku wa kienyeji na bata, wakiwa chotara ni vizuri zaidi, kuanziya mwezi mmoja. Napatikana: 0689360264
0 Reactions
0 Replies
807 Views
SHILINGI BILIONI 18.4 SUA KUJENGA CHUO CHA KILIMO KATAVI HALMASHAURI YA MPIMBWE Katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi Mhe. Martha Festo Mariki...
0 Reactions
3 Replies
948 Views
Wengi hudhani taifa kubwa km Marekani halitegemei maji ya mvua kwa ajili ya kilimo. Ukweli ni kwamba hata wao wanategemea mvua kwa kiasi kikubwa. Mwaka huu inaonyesha kutokana na ukame mkali...
1 Reactions
3 Replies
642 Views
Tukiendelea hivi basi rasmi nitaingia kwenye Kilimo na Vijana wengi pia wataingia kwenye Kilimo.. Hii ni aina nyingine ya bima ya mazao yetu.. Hongera sana Rais Samia,2025 kura zote za Wakulima...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Back
Top Bottom