Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari wakuu. Mimi ni mraibu mkubwa wa hawa viumbe sio kuwala ila napenda tu kuwatazama. Kuwala kwa kweli kuwachinja huwa nawaonea huruma, najikuta nashindwa. Kuna rangi nimeiona nikaipenda...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Mimi ni mtalamu wa mifugo Yani AHP natafuata kazi yoyote inayo endana na taaluma yangu kwenye kampuni au shirika lolote lile Nina uzoefu mkubwaa na pia nipo tayari kufanyaa kazi popote pale, nipo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
NAIBU WAZIRI SILINDE - MAZIWA YASIYO SALAMA NI HATARI KWA MLAJI Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde ameonya kuwa matumizi ya maziwa yasiyo salama huhatarisha maisha ya mlaji...
0 Reactions
0 Replies
469 Views
Wakuu, naomba kufaham Bei za mpunga, mahind Kwa mkoa wa tabora Kwa kipindi hiki Cha mavuno.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama kichwa Cha Uzi kinavyosomeka hapo juu, nimepta mara nyingi katika mbuga zilimwazo mpunga kuanzia Dodoma, Manyoni, Itigi, Igunga, Nzega, Kahama, Shinyanga na mkoa wa Mwanza Kwa kipindi kuanzia...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Serikali imepiga marufuku Wanunuzi kwenda Kununua Mazao ya Wakulima mashambani na kuagiza mazao yote yanunuliwe kwema Maghala yaliyosajiliwa. My Take: Wenye Stoo na madalali Sasa kazi mnayo...
4 Reactions
48 Replies
3K Views
Wakuu tafadhali Kama kuna mtu anajua mashamba ya kukodi kwaajili ya kilimo mwaka huu maeneo Dakawa naomba kujuzwa @whats app no 0629931610 Kama unajua kuhusu au unakodisha tafadhali wasiliana na...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
WADAU ZAIDI YA 3,000 KUNUFAIKA NA MIKOPO YA UFUGAJI SAMAKI Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. David Silinde amesema Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimepata ardhi kubwa,ninahitaji kujua shamba la Miti ukanda wa pwani linawezekana?if yes miti gani inahimili mazingira ya ukanda wa pwani [rufiji,kilwa]. nawaza miti ya under 10 years.
2 Reactions
51 Replies
19K Views
WIZARA YA MIFUGO & UVUVI, SUA ZATEKELEZA MAAGIZO YA RAIS SAMIA Kufuatia maelekezo aliyoyatoa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuitaka Wizara ya Mifugo na Uvuvi ishirikiane na Chuo Kikuu Cha...
0 Reactions
3 Replies
656 Views
Nililima maharage mwanzo mwishoni mwa mwezi wa tatu wilayani Hanang, baada ya hapo mvua zikaanza kunyesha mfululizo na ardhi niliyopanda ni mbuga nyeusi. Yaani maharage yalitaka kuniacha nayaona...
8 Reactions
40 Replies
2K Views
Wana bodi ? naomba ushauri nataka kuwanunulia ndugu zangu wasio na ajira na tegemezi kifaa cha kazi ambacho watafanyia biashara wajikimu na kirudishe hela yangu mapema with minimum risk, nimewaza...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Unaweza kushangaa ila huo ndio uhalisia. Mkoa wa DSM ndio unaongoza Tanzania Kwa Kilimo Cha Umwagiliaji Cha mazao mbalimbali ukifuatiwa na Mbeya, Kilimanjaro na Iringa.. ========= 10 regions...
0 Reactions
12 Replies
913 Views
Wapendwa wana JF wenzangu,siku kadhaa zilizopita niliomba kupatiwa ufafanuzi wa namna ya kitengeneza wine ya ndizi,lakini kwa bahati mbaya sijafanikiwa kumaliza kiu yangu.Sasa leo naomba yeyote...
0 Reactions
29 Replies
20K Views
Wakuu, naomba kujua machache kwa wenye uzoefu na masoko ya viazi vitamu. Nina shamba langu la viazi vitamu,nitaanza kuvuna mwezi wa nane,nategemea kuvuna zaidi ya gunia 200. Sasa naomba kujua...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Salute, Wakuu wapi nitapata mbegu za mulch,kwanza sijui mulch ni mizizi ya Nini,au ni mboga za majani au ni Miche ya matunda gani. Kuna mzungu kaniambia anaitaji kununua ,nimtafutie kwa...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
WAZIRI MHE. ABDALLAH ULEGA AHIMIZA UWEKEZAJI MIFUGO, UVUVI & KILIMO Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewahimiza Mawaziri Wenzake wa nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki...
0 Reactions
0 Replies
437 Views
Habari wapambanaji? Mimi ni kijana mpambanaji,katika kilimo cha mahindi na alizeti,ila mwakan nataka nijikite zaid kwenye ufugaji wa nguruwe na mbuzi wa nyama,nimewajia hapa ili kupata experience...
5 Reactions
4 Replies
6K Views
MBUNGE MARTHA GWAU - "RUZUKU YA MBOLEA IPELEKWE KWENYE VIWANDA VYA NDANI" AISHAURI WIZARA YA KILIMO "Tanzania tuna wakulima wa aina tatu; wakulima wadogo (Small Scale Farmers), wakulima wa kati...
0 Reactions
1 Replies
635 Views
Back
Top Bottom