Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Mfumo wa umwagiliaji wa matone (Drip irrigation system) unafanya kazi kama zile drip za hospital za kuongezewa maji au damu ambazo huwa tunaziita drip... wanasemaga mtu katundikiwa drip ya maji...
8 Reactions
20 Replies
11K Views
Wanaoitwa wataalamu wa kilimo na mifugo ndio wanasababisha wakulima na wafugaji wengi waangukie pua kwa faculty hii. Nikafanya utafiti kidogo elimu ya maafisa kilimo na mifugo ngazi ya kijiji na...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Maboga ni moja ya Chakula kinacho weza tumiwa kutatua njaa inayo sababishwa na ukame, sema ni vile Jamii ina under rate Maboga lakini yana uwezo mkubwa sana linapo kuja swala la njaa. Wakulima wa...
11 Reactions
16 Replies
1K Views
Ikitokea mbuzi amekula mboga mboga bustanini bas kuna asilimia kubwa ya hizo mboga kukauka au kuendelea kusurvive kwa shida na hatimae kufa ila ng'ombe akila hakuna kitakachotokea nini...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
naleta kwenu Hoja...ya maelekezo ni gear gani or equipment gani ninunue iliiniwezeshe kufyeka Shamba jipya lenye miti midogo kwa tractor 1:YouTube nimeona hii gear inaitwa bush hogg.... Please...
1 Reactions
2 Replies
927 Views
Wanazengo kichwa cha habari kimejieleza Natanguliza shukrani kwa atakenipa ABC kwenye hilo. Mi ndio kwanza naanza hicho kilimo nataka nitumie kumwagilia kwa matone " drip irrig." 1. Kitalu kama...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Kutokana na Taarifa ya hapo chini kutoka Azam Tv: KUSHUKA KWA BEI YA MAHINDI, NINI SABABU NA KIFANYIKE?: Hoja ya kuporomoka kwa bei ya mahindi nchini imetinga kwa mara nyingine bungeni baada ya...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari za muda huu, Nimeanza kufuga kuku wa kienyeji ila changamoto ilionileta hapa ni kuwa.... Kuna jike moja wapo lilianza kutaga mpaka sasa ana mayai zaidi ya kumi ila kila akitaka kutaga...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Hali ya wakulima wa Vanilla inatisha Kyerwa, Karagwe na Bukoba vijijini leo nimepata taarifa kuwa wakulima wameanza kung,oa zao hili kutokana na ukosefu wa wanunuzi nimeambiwa mwaka jana waliuza...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwako waziri Bashe tunakwenda msimu mpya wa kilimo na wa pembejeo na tunaaambiwa mawakal ikifika tarehe 1mwezi wa 7 inabidi kusimama mpaka maelekezo mapya yatakapo toka tena. Kilio changu mpaka...
0 Reactions
4 Replies
726 Views
Habari? Kifaranga wangu ana wiki ya tatu sasa hivi. Wiki ya kwanza ndiyo niligundua kuwa haoni baada ya kula, kunywa maji na kutembea kwa hisia(yaani anabahatisha kila anachokifanya). Hajawahi...
0 Reactions
0 Replies
695 Views
°Nta °Asali °Maziwa ya nyuki yaani "Royal jelly" °Gundi ya nyuki °Chavusha ya nyuki "Bee pollens" °Hewa ya nyuki Sumu ya nyuki yaani bee Venom Najua wengi wanafahamu kuhusu Asali tu 🙏🏾
2 Reactions
2 Replies
782 Views
MHE. EMMANUEL CHEREHANI - SERIKALI IONDOE MAKATO YA MITI KILIMO CHA TUMBAKU Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Kahama-Shinyanga Mhe. Emmanuel Cherehani katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau habari zenu! Leo naomba nitoe elimu kuhusiana na uvuvi wa dagaa katika ziwa letu pendwa Victoria. Kwa muda kadhaa sasa nipo najihusisha na uvuvi ktk ziwa hili hivyo nimeona niwaletee ukweli...
7 Reactions
28 Replies
6K Views
Naombeni munisaidie ukubwa na namna ya kujenga banda zuri la kisasa ambalo linaweza kkufuga aina yoyote ya kuku (kisasa au kienyeji). Nataraji kuanza na kuku wa kienyeji. Je, nianze na kuku...
10 Reactions
94 Replies
163K Views
Ndugu zanguni naombeni msaada wenu tafadhali. Kilimo cha matango gharama zake zipoje, kuanzia hatua ya kwanza mpaka hatua ya mwisho kwa ekari moja tu. Ukiachana na gharama za kukodi shamba kwani...
2 Reactions
74 Replies
57K Views
Habarini wana Jf. Shamba langu la Mifugo lina Mbuzi, kondoo, kuku, kanga, bata, Mbwa wa kisasa, njiwa na ngombe wawili ambao wanafugwa wakiwa ndani muda wote. Lengo langu ni kuwa na wanyama wa...
0 Reactions
5 Replies
823 Views
UTANGULIZI… -Kutokana na mabadiliko ya tabianchi yaliyopo sasa, zao hili linaweza kuwa mbadala kwa maeneo ya vijijini kwani zao la Mkonge lina sifa za kustahimili hata kwenye maeneo ambayo mazao...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Vyanzo vya miche bora ya Mkonge 1. Maotea/Matoto ya Mkonge Mkubwa (Suckers) 2. Vikonyo vilivyokuzwa katika kitalu Hasara za kutumia maotea 1. Si rahisi kupata miche inayo lingana urefu, umri na...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu, mm ninafuga ndege hao aina tatu. Nilichogundua, bata anahimili magonjwa sana, pia vyakula hachagui sana. Bata wana nyama nyingi sana na wanauzwa hadi 35,000 kwa jogoo mkubwa. Bata hawana...
12 Reactions
51 Replies
10K Views
Back
Top Bottom